Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

Automatic egg incubator made by mge

Kwanini usiweke thread moja ya incubator zako? tuna waogopa sasa. tunashindwa tumuamini nani, au na ww ni tapeli? kila kona ww tu. au incubator siku hizi imekuwa dili sana?
 
Labda ninyi mnaosoma ndo hamfungui matangazo yetu vizuri,sio kweli kabisa kuwa kila kona tupo,inategemeana na chombo unachotumia kufungua jamii forum kina uwezo gani.,vinginevyo zitakuchanganya sana.

Jambo la pili tapeli ni tapeli tu,na tapeli haweki matangazo kila kona kama unavyosema,tapeli anaweza kuwa hata kama wewe,watu wakaona umesema la maana,wakakuamini,ukawatapeli.

Sisi mge sio matapeli,na ninaomba sana utuombe radhi kwa kauli hiyo isiyo ya kiustarabu.kama ungetaka kutushauri ungetupigia hata simu au kuandika inbox,lakini si kama ulivyofanya.

Sisi sio matapeli,ni kampuni iliyosajiliwa kisheria,na kama unahitaji taarifa zetu wasiliana nasi kupitia sido mtwara,sido dar es salaam,au karibu ofisini.
Au tupigie simu.
 
Ndio inatumia battery, ni sh laki 7, made in iran....100% good performance@ magazijuto
 
Nasi pia tunauza Automatic incubator mayai 7, 48, 96, 106 kutoka China.Anaehitaji aweza kuni PM
 

Mkuu mko wapi hapa dar?
 
Heloo,habari jamani.natafuta fundi wa incubator nipi dar es salaam.
Anisaidie kuiunga.
Ani pm namba zake
 

Mawasiliano tafadhali
 
Napenda kutoa onyo kwa wale wote wenye tabia ya kuchomeka matangazo yao kwenye thread zangu, wakati biashara ni hiyohiyo.

Natoa onyo kali kwa atakaerudia.
 
Napenda kutoa onyo kwa wale wote wenye tabia ya kuchomeka matangazo yao kwenye thread zangu,wakati biashara ni hiyohiyo.Natoa onyo kali kwa atakaerudia.

Mkuu utawachukulia hatua gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…