Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

Hio ndogo ya mayai 150 inaweza patikana kwa bei gani????

Incubator zinategemeana bei kulingana na manufacture, Ila ushauri wangu na kwa wengine wote kuliko kuchukua incubator ya mayai 150-300 bora kuchukua incubator ya mayai 880 -1000 na zaidi.

SABABU KUU NI KWAMBA Gharama za kutumika kutengeneza incubator ya mayai 150-300 ni sawa na gharama za kutengeneza incubator ya mayai 800 na kuendelea, kinacho zitofautisha ni ile body ambayo hata hivyo sio gharama sana vitu vingine vyote ni sawa.

Chukulia mfano wa Memory card, flash au external, utaona kwamba bei ya external ya GB 500 inatofautiana kidogo sana bei na external ya GB 1000
 
Tehe tehe, mkuu ukitaka kufaidi tengeneza parents wako mwenyewe, ndo suluhisho pekee, kununua mayai kwa watu yataka moyo make unaweza nunua mayai ukaambiwa ni fertilized baada ya kuweka kwenye mashine unakuja kugundua sio, au yanaweza kuwa fertilized lakini yakawa yamepitiliza mudawake yaani yana zaidi ya siku 7, hivyo mayai ya kuyaamini ni yale unayo yatoa kwenye kuku wako, haya ya kununua ni 50%

Umeongea neno hapo, maana mimi nilienda nunua mayai wakanipa kumbr trey 1 nzima haitoi kitu thanks God mashine imetoa yaliyobakia kazi imebaki kwangu kutunza.

Nataka ninunue kubwa ya mayai 880
 
Incubator zinategemeana bei kulingana na manufacture, Ila ushauri wangu na kwa wengine wote kuliko kuchukua incubator ya mayai 150-300 bora kuchukua incubator ya mayai 880 -1000 na zaidi. SABABU KUU NI KWAMBA Gharama za kutumika kutengeneza incubator ya mayai 150-300 ni sawa na gharama za kutengeneza incubator ya mayai 800 na kuendelea, kinacho zitofautisha ni ile body ambayo hata hivyo sio gharama sana vitu vingine vyote ni sawa.

Chukulia mfano wa Memory card, flash au external, utaona kwamba bei ya external ya GB 500 inatofautiana kidogo sana bei na external ya GB 1000

Kamanda i salute you..kila nikisoma post zako uwa ni pana sana na hazina longo longo..naomba nisaidie kitu kimoja,ninataka kuingiza incubator toka China,i have a friend there anaekaribia kumaliza masomo yake,so ameniambia naweza iweka hiyo machine kwenye container yake ikaja na vitu vyake,nakua na shaka juu ya ushuru wa hiyo kitu pale bandarini,hiyo incubator ni ya maya 524,pia sehemu ninayotaka kufanyia project yangu ni Morogoro wilaya ya Kilosa,tatizo hakuna umeme wa uhakika,je naweza nunua solar kwa kusukuma incubator hiyo?natanguliza shukrani zangu!
 
Kamanda i salute you..kila nikisoma post zako uwa ni pana sana na hazina longo longo..naomba nisaidie kitu kimoja,ninataka kuingiza incubator toka China,i have a friend there anaekaribia kumaliza masomo yake,so ameniambia naweza iweka hiyo machine kwenye container yake ikaja na vitu vyake,nakua na shaka juu ya ushuru wa hiyo kitu pale bandarini, hiyo incubator ni ya maya 524, pia sehemu ninayotaka kufanyia project yangu ni Morogoro wilaya ya Kilosa, tatizo hakuna umeme wa uhakika, je naweza nunua solar kwa kusukuma incubator hiyo?natanguliza shukrani zangu!

Unapo sema hakuna umeme wa uhakika sielewi kwa sababu Tanzania haijawahi kuwa na umeme wa uhakika, je umeme upo au haupo? Kama upo ni tofauti na kutokuwepi kabisa, kama umeme haupo kabisa unatakiwa kuwa na solar zenye nguvu kubwa zinazo fua umeme mwingi kuliko inayo tumia mashine hapo unaweza tumia solar 24 hours ingawa ni vizuri vile vile ukawa na genereta ndogo ili solar ikileta shida utumie genereta, mashine ya mayai 540 inahitaji genereta ndogo hizi zinasukuma bila shida, Ila kama umeme upo ila unakatika basi genereta ni nzuri kuliko solar, ila kama umeme hakuna kabisa tumia solar.

Ushuru bandalini upo, walicho ondoa ni import Duty ila VAT iko pale pale na chaji zingine zipi kama gharama za meli sijui kupakua, kuhifadhi, TBS na kazalika.
 
Unapo sema hakuna umeme wa uhakika sielewi kwa sababu Tanzania haijawahi kuwa na umeme wa uhakika, je umeme upo au haupo? Kama upo ni tofauti na kutokuwepi kabisa, kama umeme haupo kabisa unatakiwa kuwa na solar zenye nguvu kubwa zinazo fua umeme mwingi kuliko inayo tumia mashine hapo unaweza tumia solar 24 hours ingawa ni vizuri vile vile ukawa na genereta ndogo ili solar ikileta shida utumie genereta,mashine ya mayai 540 inahitaji genereta ndogo hizi zinasukuma bila shida, Ila kama umeme upo ila unakatika basi genereta ni nzuri kuliko solar, ila kama umeme hakuna kabisa tumia solar.
Ushuru bandalini upo, walicho ondoa ni import Duty ila VAT iko.pale pale na chaji zingine zipi kama gharama za meli sijui kupakua, kuhifadhi, TBS na kazalika,

Umenifurahisha ulipoweka fact kua nchi haijawahi kuwa na umeme wa uhakika!ni kweli kabisa mkuu!eneo ninalotaka kuanza hiyo project umeme haujafika kabisa!je ni solar ya ukubwa gani yaweza kuendesha hii incubator?ukubwa wa incubator ni watts 800 kwa volts 240,natanguliza shukrani zangu mkuu,na samahani kwa usumbufu!
 
Tehe tehe, mkuu ukitaka kufaidi tengeneza parents wako mwenyewe, ndo suluhisho pekee, kununua mayai kwa watu yataka moyo make unaweza nunua mayai ukaambiwa ni fertilized baada ya kuweka kwenye mashine unakuja kugundua sio, au yanaweza kuwa fertilized lakini yakawa yamepitiliza mudawake yaani yana zaidi ya siku 7, hivyo mayai ya kuyaamini ni yale unayo yatoa kwenye kuku wako, haya ya kununua ni 50%

naomba utaalamu wa kutengeneza kuku wazazi, na jinsi ya kuongeza tabia fulani kwa kupandisha baina ya kuku wenye tabia tofauti mfano kuongeza idadi ya mayai, kuongeza uwezo wa kukua kwa haraka, au rangi ya manyoya n.k.
 
Umenifurahisha ulipoweka fact kua nchi haijawahi kuwa na umeme wa uhakika!ni kweli kabisa mkuu!eneo ninalotaka kuanza hiyo project umeme haujafika kabisa!je ni solar ya ukubwa gani yaweza kuendesha hii incubator?ukubwa wa incubator ni watts 800 kwa volts 240,natanguliza shukrani zangu mkuu,na samahani kwa usumbufu!

Nunua solar ya 1000w.

Complet unaweza kuipata kwa 5milion.au 6m inategemea aina ya pannel na betri utakazonunia.
 
Duh yangu hadi sasa vifaranga wametoka tayari ila naingiza ya vifaranga 880 december backup system ya solar au generator
 
naomba utaalamu wa kutengeneza kuku wazazi, na jinsi ya kuongeza tabia fulani kwa kupandisha baina ya kuku wenye tabia tofauti mfano kuongeza idadi ya mayai, kuongeza uwezo wa kukua kwa haraka, au rangi ya manyoya n.k.

Mkuu huwezi ongeza mayai kwa haraka, kama ni kuku wa kienyeji utagaji utabakia pale pale, na kama ni wa kisasa nao utabakia pale pale, kwenye cross breeding ni kweli unaweza pandisha na kupata tabia fulani sana sana ni kuku wa kienyeji kwa wa kigeni.

Kwa upande wangu sioni rangi za kuku kama zina mata kinacho mata ni ubora wa kuku, kuku anawerza kuwa na rangi nzuri kama kasuku na still akawa hana ubora wa aina yoyote ile
 
Umenifurahisha ulipoweka fact kua nchi haijawahi kuwa na umeme wa uhakika!ni kweli kabisa mkuu!eneo ninalotaka kuanza hiyo project umeme haujafika kabisa!je ni solar ya ukubwa gani yaweza kuendesha hii incubator?ukubwa wa incubator ni watts 800 kwa volts 240,natanguliza shukrani zangu mkuu,na samahani kwa usumbufu!

Kama ni watts 800 basi solar inatakiwa iwe na watts 1500-2000 ndo unaweza itumia 24 hours, Ila unaweza weka mashine yako sehemu yenye umeme na shamba ikawa sehemu nyingine, si lazima shamba na mashine zikae sehemu moja, mashine inaweza kuwa mjini shamba likawa bushi huko na kuku wakaishi huko bushi na vifaranga wakitotolewa town wanapelekwa huko shamba.
 
Kampuni ya MGE yenye makao yake makuu jijini Dar es salaam inapenda kuwatangazia wananchi wote kuwa itashiriki ktk maonyesho ya nane nane kitaifa yatakayofanyika ktk viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.

Tutakuwa na baadhi ya bidhaa za mashine za kutotoleshea mayai (Incubator) zinazotumia mafuta ya taa, na zinazotumia umeme.

Pia tutakuwa na Inverter full automatic ambazo zinaendesha vyombo vikubwa vya umeme kama friji nk.

Wateja wetu walioko mikoa ya Mtwara, Ruvuma, Lindi tunawaalika wafike kuona bidhaa zetu na kununua.

Kampuni inawalenga watu mbali mbali bila kujali wanaishi mjini au vijijini.

Tutakuwa ktk banda la SIDO Mtwara ambao ni walezi wa kampuni na ktk banda la halmashauri ya wilaya ya Masasi.

Wasiliana nasi:
Makao makuu Dar es salaam:
Mwl.Eliasante Mwakalinga 0784413039;
(mwakalingaeli@gmail.com)

Tawi la Masasi:Mwl.Magoa Keula 0787150720.
(mkeula@yahoo.com)

"KARIBUNI SANA"
PICT0237.JPG
 
Kampuni ya MGE yenye makao yake makuu jijini Dar es salaam inapenda kuwatangazia wananchi wote kuwa itashiriki ktk maonyesho ya nane nane kitaifa yatakayofanyika ktk viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.

Tutakuwa na baadhi ya bidhaa za mashine za kutotoleshea mayai (Incubator) zinazotumia mafuta ya taa, na zinazotumia umeme.

Pia tutakuwa na Inverter full automatic ambazo zinaendesha vyombo vikubwa vya umeme kama friji nk.

Wateja wetu walioko mikoa ya Mtwara, Ruvuma, Lindi tunawaalika wafike kuona bidhaa zetu na kununua.

Kampuni inawalenga watu mbali mbali bila kujali wanaishi mjini au vijijini.

Tutakuwa ktk banda la SIDO Mtwara ambao ni walezi wa kampuni na ktk banda la halmashauri ya wilaya ya Masasi.

Wasiliana nasi:
Makao makuu Dar es salaam:
Mwl.Eliasante Mwakalinga 0784413039;
(mwakalingaeli@gmail.com)

Tawi la Masasi:Mwl.Magoa Keula 0787150720.
(mkeula@yahoo.com)

"KARIBUNI SANA"
994599_0_original.jpg
Cabinet-Incubator.jpg
 
Nahtaji Rating za Bei mkuu. nijue ntaa4d ipi kwa kiwango cha Income yangu na kias cha mayai na ubora wake. Simple.
 
Yangu ni automatic imported JN96.
Mayai yameniangusha kwani niliuziwa mayai mabovu hayajatoa kitu.
 
Naombaaa Kujuaaa..Bei ya machine ya kutotosha Mayai ya kuku (Incubator) bei yake na jinsi inavyoweza kufanya Kazi!!!...Yaani idadi ya mayai....
 
Bei inategemea na idadi ya mayai, mimi niliagiza ambayo ni automatic inayogeuza upande wa mayai kila baada ya masaa mawili.

Niliyo nayo ni JN96 nilinunua 270,000 kabla ya usafiri na kodi,usafiri nilikuja nayo mwenyewe kutoka huko juu TRA pale airport walichukua 35,000.

Ni nzuri kiasi yangu unaweka maji kila baada ya siku tatu ili humidity ndani ya incubator iwe btn 60-70.

Nimeshatotolesha mayai ila wajinga walinipa mayai mabovu nimebahatisha 25 tu.
 
Nataka nunua kubwa ya mayai 3000 ambayo ni kama 700,000/ kabla ya kodi na usafiri na mambo mengine, inaweza fika milioni kadhaa hivi ila haitafika 3
 
Bei inategemea na idadi ya mayai, mimi niliagiza ambayo ni automatic inayogeuza upande wa mayai kila baada ya masaa mawili.
Niliyo nayo ni JN96 nilinunua 270,000 kabla ya usafiri na kodi,usafiri nilikuja nayo mwenyewe kutoka huko juu TRA pale airport walichuku35,000.
Ni nzuri kiasi yangu unaweka maji kila baada ya siku tatu ili humidity ndani ya incubator iwe btn 60-70.
Nimeshatotolesha mayai ila wajinga walinipa mayai mabovu nimebahatisha 25 tu.

Samahani uliagiza kutoka nchi gni na suppllier anaitwa nani
 
Bei inategemea na idadi ya mayai, mimi niliagiza ambayo ni automatic inayogeuza upande wa mayai kila baada ya masaa mawili.
Niliyo nayo ni JN96 nilinunua 270,000 kabla ya usafiri na kodi,usafiri nilikuja nayo mwenyewe kutoka huko juu TRA pale airport walichukua 35,000.
Ni nzuri kiasi yangu unaweka maji kila baada ya siku tatu ili humidity ndani ya incubator iwe btn 60-70.
Nimeshatotolesha mayai ila wajinga walinipa mayai mabovu nimebahatisha 25 tu.



naomba utupe ful detail, ikiwemo inatumia siku ngap, idadi ya mayai, na tunaweza tukaipataje.
 
Back
Top Bottom