Mashirika mbona hayatoi gawio kama tulivyozoea wakati wa awamu ya tano?

Mashirika mbona hayatoi gawio kama tulivyozoea wakati wa awamu ya tano?

Ile ilikuwa ni sanaa Mzee na wewe uliamini kuna gawio.

Kumbuka CAG alisema mashirika mengi yalikuwa yanapata hasara mfano TTCL na ATCL ambayo nayo yslikuwa mstari wa mbele kutoa gawio.

Sasa hilo gawio lilikuwa linatoka kwenye faida ipi kama sio usanii wa kufuraisha watu!!

Yule jamaa ilibidi kaburi lake lifukuliwe atandikwe viboko kwa kutudanganya.

Alituokota sana.
 
Ile ilikuwa ni sanaa Mzee na wewe uliamini kuna gawio.

Kumbuka CAG alisema mashirika mengi yalikuwa yanapata hasara mfano TTCL na ATCL ambayo nayo yslikuwa mstari wa mbele kutoa gawio.

Sasa hilo gawio lilikuwa linatoka kwenye faida ipi kama sio usanii wa kufuraisha watu!!

Yule jamaa ilibidi kaburi lake lifukuliwe atandikwe viboko kwa kutudanganya.

Alituokota sana.
Nauunga mkono hoja
 
Tumieni ubongo kujibu Kuna tofauti gani Kati ya ttcl na Vodacom iweje upate hasara wewe ttcl au tanesco inayonunua umeme pale songas na kumuuzia mwananchi kwa Bei ya Juu
 
Tumieni ubongo kujibu Kuna tofauti gani Kati ya ttcl na Vodacom iweje upate hasara wewe ttcl au tanesco inayonunua umeme pale songas na kumuuzia mwananchi kwa Bei ya Juu
 
Tumieni ubongo kujibu Kuna tofauti gani Kati ya ttcl na Vodacom iweje upate hasara wewe ttcl au tanesco inayonunua umeme pale songas na kumuuzia mwananchi kwa Bei ya Juu
TTCL na vodacom vinatofauti sana kwenye swala la biashara. Kwanza angalia kwenye biashara imecover eneo kubwa kiasi gan (idadi ya wateja walionao) alaf utambue mapato na matumizi yao
 
Kuna mlevi hapa anasema "huwa hakuna gawio kwenye hasara"
Sijui ni kweli!?
 
Ile ilikuwa ni sanaa Mzee na wewe uliamini kuna gawio.

Kumbuka CAG alisema mashirika mengi yalikuwa yanapata hasara mfano TTCL na ATCL ambayo nayo yslikuwa mstari wa mbele kutoa gawio.

Sasa hilo gawio lilikuwa linatoka kwenye faida ipi kama sio usanii wa kufuraisha watu!!

Yule jamaa ilibidi kaburi lake lifukuliwe atandikwe viboko kwa kutudanganya.

Alituokota sana.
[emoji1787][emoji1787]
 
Nashangaa kwa Sasa hakuna shirika la umma linalotoa gawio kwa serikali ni Upuuzi na Ujinga kuamini kwamba tanesco Haina fedha za nguzo Sasa wanafanya biashara au wanatoa huduma???
Alafu board meeting wanaenda kufanyia Dubai
 
Ile ilikuwa ni sanaa Mzee na wewe uliamini kuna gawio.

Kumbuka CAG alisema mashirika mengi yalikuwa yanapata hasara mfano TTCL na ATCL ambayo nayo yslikuwa mstari wa mbele kutoa gawio.

Sasa hilo gawio lilikuwa linatoka kwenye faida ipi kama sio usanii wa kufuraisha watu!!

Yule jamaa ilibidi kaburi lake lifukuliwe atandikwe viboko kwa kutudanganya.

Alituokota sana.
Kama yanapata hasara mbona mishahara yao bado ni mikubwa kuliko Halmashauri ambao wanaingiza mabilioni kwa mwaka?
 
Tumieni ubongo kujibu Kuna tofauti gani Kati ya ttcl na Vodacom iweje upate hasara wewe ttcl au tanesco inayonunua umeme pale songas na kumuuzia mwananchi kwa Bei ya Juu
Na kama kuna hasara kwanini waendelee kulipana mishahara mikubwa kuliko watumishi wa Halmashauri ambapo halmashauri nyingine kama Kinondoni, Temeke, Mafinga wanaingiza mabilioni ya makusanyo kwa mwaka?
 
Back
Top Bottom