G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Siyo kweli. Mmoja ni mzalishaji na mtafiti huku mwingine ni mamlaka ya usimamiziKipindi inaitwa TFDA nafikiri ndo ilikuwa inaendana sana na TBS.
Nimeonelea hii TMDA na NIMRI ziwekwe pamoja maana zote zinabase kwenye madawa.