Mashitaka dhidi ya Paulo Makonda ni njama za mafisadi, wauza unga na wapinzani wapenda uovu aliowadhibiti wakati akiwa RC Dar es Salaam

Mashitaka dhidi ya Paulo Makonda ni njama za mafisadi, wauza unga na wapinzani wapenda uovu aliowadhibiti wakati akiwa RC Dar es Salaam

Sasa kila kitu kimeanza kuwa wazi kuwa kumbe hili taifa lina watu wasiofaa kabisa.

Ukiwadhibiti ili wasifanye uovu watakuvizia kwa kila namna ili mradi tu walipe kisasi sababu tu uliwadhibiti wasifanye uovu.

Makonda aliwadhibiti wanasiasa waovu, wauza unga, wakora wa kila aina. Sasa ndio wanataka kupata kuungwa mkono na umma wa Watanzania ili walipe kisasi chao.

Wananchi wa kawaida hawataki upuuzi kama huu.
Makonda alikuwa jambazi na mhalifu kama vibaka wengine mwache ajibu mashtaka!
 
Sasa kila kitu kimeanza kuwa wazi kuwa kumbe hili taifa lina watu wasiofaa kabisa.

Ukiwadhibiti ili wasifanye uovu watakuvizia kwa kila namna ili mradi tu walipe kisasi sababu tu uliwadhibiti wasifanye uovu.

Makonda aliwadhibiti wanasiasa waovu, wauza unga, wakora wa kila aina. Sasa ndio wanataka kupata kuungwa mkono na umma wa Watanzania ili walipe kisasi chao.

Wananchi wa kawaida hawataki upuuzi kama huu.
THIBISHA acha kumtetea MUOVU

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Sasa kila kitu kimeanza kuwa wazi kuwa kumbe hili taifa lina watu wasiofaa kabisa.

Ukiwadhibiti ili wasifanye uovu watakuvizia kwa kila namna ili mradi tu walipe kisasi sababu tu uliwadhibiti wasifanye uovu.

Makonda aliwadhibiti wanasiasa waovu, wauza unga, wakora wa kila aina. Sasa ndio wanataka kupata kuungwa mkono na umma wa Watanzania ili walipe kisasi chao.

Wananchi wa kawaida hawataki upuuzi kama huu.
Sasa we ndugu, kama alichokuwa anafanya ni sahihi na kisheria mahakama si ipo kuamua kwa haki kwanini ajifiche?

Kama alivyofanya ni kwa mujibu wa sheria naamini anapaswa kujipigapiga kifua na kwenda mahakamani.

Hivi kesi ya makonda na ya Mbowe ipi imekaa kulipoza kisasi? Mbona Mbowe haogopi?
 
Sio wajinga ila wanajua wanachofanya. Hii nchi iliunzwa.

Tuna Gesi, ila hatupati hata senti tano gesi yoyote. Nani amesaini huo mkataba.

Tunanunua gesi nchi za nje. Mpuuzu mmmoja aliiuza nchi kwa maslahi ya famililia yake.
Uvunaji wa gesi umeanza lini? Kwa mwaka cubic metre ngapi inasafirishwa nje ya nchi? Inasafirishwa nchi gani? Kampuni gani inafanya hiyo export? Uchakataji hapa nchini unafanyikia wapi manake hakuna popote tumewahi kuona gas processing plants zikizinduliwa?
 
Makonda alikuwa jambazi na mhalifu kama vibaka wengine mwache ajibu mashtaka!
Kumbe wakati ule mlikuwa mkimshabikia kinaaa na hatimaye mumemuruka, kweli nyie hamwaminiki nanyie ndio chichiemu🤔🤔.
 
Sasa kila kitu kimeanza kuwa wazi kuwa kumbe hili taifa lina watu wasiofaa kabisa.

Ukiwadhibiti ili wasifanye uovu watakuvizia kwa kila namna ili mradi tu walipe kisasi sababu tu uliwadhibiti wasifanye uovu.

Makonda aliwadhibiti wanasiasa waovu, wauza unga, wakora wa kila aina. Sasa ndio wanataka kupata kuungwa mkono na umma wa Watanzania ili walipe kisasi chao.

Wananchi wa kawaida hawataki upuuzi kama huu.
Mbona hujasema alitaka ku kwepa kodi?
 
Sasa mbona haendi kujitetea
Makonda ni invisible kwenye system zetu za utawala.
Kamlamba vibao Waziri Mkuu Jaji Warioba mbele ya umati wa watu Ubungo Plaza mamlaka hayakumfanya kitu bali JK alimbembeleza alimhonga uDC Kinondoni.

Kaja Mjomba Magu hata kabla ya kufanya nae kazi alisikika akimsifia kuwa best DC nchini.
Magu kampandisha hadi RC lakini alishindwa kumdhibiti akabakia kumbebeleza.
Hata pale alipompa friendly warning asigombee ubunge Kigamboni, Makonda alikaidi na akagombea.

Nchi kubwa ya Pompeo ilipomuweka Makonda katika kundi la watu hatari,serikali ya Magu iligwaya kama ilivyodhalilishwa na Makonda kuvamia Clouds na kuwa na vyeti fake vya shule.

RC gani anaweza akaleta meli kubwa ya Kijeshi yenye Hospitali ya Kichina harafu hao mawaziri husika wawe watazamaji tu?( waziri wa Afya,Waziri wa ulinzi,Waziri wa Foreign Affairs na labda hata Raisi mweyewe Magu)

Hata kesi iliopo Mahakamani ni ya kibinafsi serikali ya SSH nayo ipo kimya under test ya Makonda.
 
Amka kutoka usingizini ile ilikuwa mmoja ya kampeni za upigaji...
IMG-20220209-WA0022.jpg
 
Sasa kila kitu kimeanza kuwa wazi kuwa kumbe hili taifa lina watu wasiofaa kabisa.

Ukiwadhibiti ili wasifanye uovu watakuvizia kwa kila namna ili mradi tu walipe kisasi sababu tu uliwadhibiti wasifanye uovu.

Makonda aliwadhibiti wanasiasa waovu, wauza unga, wakora wa kila aina. Sasa ndio wanataka kupata kuungwa mkono na umma wa Watanzania ili walipe kisasi chao.

Wananchi wa kawaida hawataki upuuzi kama huu.
MAKONDA mwenyewe ni Fisadi, Muuza unga, n.k. Acha apate anachostahili!.
 
Sasa kila kitu kimeanza kuwa wazi kuwa kumbe hili taifa lina watu wasiofaa kabisa.

Ukiwadhibiti ili wasifanye uovu watakuvizia kwa kila namna ili mradi tu walipe kisasi sababu tu uliwadhibiti wasifanye uovu.

Makonda aliwadhibiti wanasiasa waovu, wauza unga, wakora wa kila aina. Sasa ndio wanataka kupata kuungwa mkono na umma wa Watanzania ili walipe kisasi chao.

Wananchi wa kawaida hawataki upuuzi kama huu.
Sasa si ajitokeze ili Mahakama IKAMSAFISHE dhidi ya hizo tuhuma za uongo? Shida iko wapi ndugu mpambe chawa?
 
Kumbe
Sasa kila kitu kimeanza kuwa wazi kuwa kumbe hili taifa lina watu wasiofaa kabisa.

Ukiwadhibiti ili wasifanye uovu watakuvizia kwa kila namna ili mradi tu walipe kisasi sababu tu uliwadhibiti wasifanye uovu.

Makonda aliwadhibiti wanasiasa waovu, wauza unga, wakora wa kila aina. Sasa ndio wanataka kupata kuungwa mkono na umma wa Watanzania ili walipe kisasi chao.

Wananchi wa kawaida hawataki upuuzi kama huu.
 
Sasa kila kitu kimeanza kuwa wazi kuwa kumbe hili taifa lina watu wasiofaa kabisa.

Ukiwadhibiti ili wasifanye uovu watakuvizia kwa kila namna ili mradi tu walipe kisasi sababu tu uliwadhibiti wasifanye uovu.

Makonda aliwadhibiti wanasiasa waovu, wauza unga, wakora wa kila aina. Sasa ndio wanataka kupata kuungwa mkono na umma wa Watanzania ili walipe kisasi chao.

Wananchi wa kawaida hawataki upuuzi kama huu.
mwambie shoga yako aende mahakamani kusikiliza kesi mahakama itatenda haki, asijifiche
 
Sasa kila kitu kimeanza kuwa wazi kuwa kumbe hili taifa lina watu wasiofaa kabisa.

Ukiwadhibiti ili wasifanye uovu watakuvizia kwa kila namna ili mradi tu walipe kisasi sababu tu uliwadhibiti wasifanye uovu.

Makonda aliwadhibiti wanasiasa waovu, wauza unga, wakora wa kila aina. Sasa ndio wanataka kupata kuungwa mkono na umma wa Watanzania ili walipe kisasi chao.

Wananchi wa kawaida hawataki upuuzi kama huu.
lkn hii nchi...ni bora wangeweka test ya kupima IQ kabla ya kuuziwa smartphone au laptop😛😛😛😛😛😛
 
Sasa kila kitu kimeanza kuwa wazi kuwa kumbe hili taifa lina watu wasiofaa kabisa.

Ukiwadhibiti ili wasifanye uovu watakuvizia kwa kila namna ili mradi tu walipe kisasi sababu tu uliwadhibiti wasifanye uovu.

Makonda aliwadhibiti wanasiasa waovu, wauza unga, wakora wa kila aina. Sasa ndio wanataka kupata kuungwa mkono na umma wa Watanzania ili walipe kisasi chao.

Wananchi wa kawaida hawataki upuuzi kama huu.
Ajitokeze mbele ya Pilato akayathibitishe haya... mbona simple tu?
 
Kuna usemi unasema ukishinda unaua mijinga hata utumie mwaka mmoja haitaisha maana ukiua moja yanazaliwa kumi, yani mtu ana guts kabisaaa za kumtetea bashite. Unga huo wa mahindi au? kiufupi lile jamaa ni jizi na limedhulumu watu wengi sana , aende mahakamani acheni upuusi
 
Back
Top Bottom