Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanachojua makolo ni kujitutumua na kukamia tu wanapocheza na Yanga.Ninaangalia mechi hapa hawana uwezo wa kukucheza counter attack.
Wapo slow wanataka kufunga magoli kwa ufundi ambao hawana.
Ujinga mtupu
Aingie nani!?Amgemtoa KIBU DENNIS...ni kama pumzi imekata
Naona tuna tofauti hapa. Mi naongelea mpira we tayari umenitambua kama shabiki wa Simba. Au mwenzetu unaona clear chances Simba anazotengeneza kwenyw hii mechi?Chama alikuwepo misimu mitatu yote tuliyofanya vibaya, hilo pengi hukuliona!? Acheni kutafuta kichaka cha kujifichia.
Nipo naandikisha watu kwenye daftari la wapiga kura. Kuna nini?
Unazungumzia mechi hii au mechi zote za msimu huu!? Una habari kuwa Simba ndo team iliyotengeneza nafasi nyingi na kufunga magoli mengi msimu huu mpaka muda huu? Fatilia mpira kabla ya kuuzungumzia. Mechi ya leo ningekuona unajitambua kama ungewapa sifa yao mashujaa kwa namna walivyo-approach mechi ya leo.Naona tuna tofauti hapa. Mi naongelea mpira we tayari umenitambua kama shabiki wa Simba. Au mwenzetu unaona clear chances Simba anazotengeneza kwenyw hii mechi?
Simba unayosema ya misimu mitatu nyuma ilikua inatengeneza nafasi nyingi sana haijalishi walikuwa wanamaliza nafasi ya ngapi.
Kidogo wapewe, naona refa kajishtukiaThimba watapewa penati ya mchongo, subiri uone
Gooooooooooooaaaaal simba anaandika bao la kwanza paleNipo naandikisha watu kwenye daftari la wapiga kura. Kuna nini?
Ww kumbe nilidume aisee
Dume la mbegu rijali matata.....Ww kumbe nilidume aisee