Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Linaongea upuuzi...taarifa za Simba zinawaumaSasa unaleta mambo ya kimat@cq wakati tunazungumza mpira,we unaakili kweli wewe
Hii ni sehem ya Ujinga wako unaoandikaga alafu hujui lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linaongea upuuzi...taarifa za Simba zinawaumaSasa unaleta mambo ya kimat@cq wakati tunazungumza mpira,we unaakili kweli wewe
Hii ni sehem ya Ujinga wako unaoandikaga alafu hujui lolote
Linaongea upuuzi...taarifa za Simba zinawauma
Kauulize mpira utakua na la kuwajibu kw sbb mna majibu yenuRed card ya Derick Mkombozi alifanya tukio Gani?
Ni mkimbizi...Jinga kweli hili toto sijui la mkoa gani?
Ushindi wenu mnaongea na technical benchi ya Timu pinzani ili mpangawe kikosi rojorojo. Kocha akigoma mnamwambia boss wenu wote GSM ili aongee na bosi wa Timu pinzani ...kocha anashushiwa rungu..upuuzi kabisa.Yote ni matokeo ya mpira.
Yanga hatuhongi waamzi kama 5imba
Ushindi wetu hauna red card, penalties za ajabu kama watani
Yanga bingwa
Hajamsukuma. Angalia alipokuwa mlingo wakati mpanzu anaanguka.Mpanzu alikua na mpira ndani ya 18, sixibat mlingo akamsukuma akiwa nyuma,mpanzu akaanguka Unasemaje sio penalty ?
Tulia mremboSasa unaleta mambo ya kimat@cq wakati tunazungumza mpira,we unaakili kweli wewe
Hii ni sehem ya Ujinga wako unaoandikaga alafu hujui lolote
Rage aliwaita mbumbumbu Wanachama wa SimbaUshindi wenu mnaongea na technical benchi ya Timu pinzani ili mpangawe kikosi rojorojo. Kocha akigoma mnamwambia boss wenu wote GSM ili aongee na bosi wa Timu pinzani ...kocha anashushiwa rungu..upuuzi kabisa.
Leta majibuKauulize mpira utakua na la kuwajibu kw sbb mna majibu yenu
Tulia mrembo
Sasa wewe utajulia wapi na akili zako hizoHuna ujuzi wa mpira mropokaji wewe,Kocha anauzwa tangu lini?
Sasa wewe utajulia wapi na akili zako hizo
Kwani kuuza ni kifanyaje?
Kamuulize Refa...Leta majibu
Mkombozi alitenda kosa gani?
Mpe darsa huyoNgoja nikupe shule dogo.
Ili biashara ifanyike kwa maana kuuza au kununua lazima kuwe na haya
Bidhaa/huduma
Bei
Muuzaji
Mnunuaji
Tunakubaliana mpaka hapo?
Ukitia bidhaa ukalipwa pesa umeuzaNgoja nikupe shule dogo.
Ili biashara ifanyike kwa maana kuuza au kununua lazima kuwe na haya
Bidhaa/huduma
Bei
Muuzaji
Mnunuaji
Tunakubaliana mpaka hapo?
Akirudi mniambie jamani
Rafa alihongwa na 5imbaKamuulize Refa...
Ukitia bidhaa ukalipwa pesa umeuza
Mtakuwa wajinga mpaka lini?
Kocha wako timu imemhitaji ikalipa pesa hapo umeuza tayari