ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Bei haikuwekwa waziSawa kwa Bei gani? Mmeuza Kocha wenu?
Je unaenda kinyume na Taarifa ya club yenu?
Sio kila mauziano yanawekwa wazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei haikuwekwa waziSawa kwa Bei gani? Mmeuza Kocha wenu?
Je unaenda kinyume na Taarifa ya club yenu?
Kasomee urefaRed card ya Derick Mkombozi alifanya tukio Gani?
Me ni refereeKasomee urefa
Kwa mujibu wa hii taarifa nani ameuza Nani amenunua?Bei haikuwekwa wazi
Sio kila mauziano yanawekwa wazi
Daraja lipiMe ni referee
Kitu chochote kikithaminishwa na pesa ni kuuza tuKwa mujibu wa hii taarifa nani ameuza Nani amenunua?
Inakuhusu Nini?Daraja lipi
Kwa jibu hili huwezi simamia mpira hata ligi ya kombe la kukuInakuhusu Nini?
Kwanini?Kwa jibu hili huwezi simamia mpira hata ligi ya kombe la kuku
Kitu chochote kikithaminishwa na pesa ni kuuza tu
Hata ukimtolea mahari mkeo ujue umenunua
Pesa inanua
Mkataba wa kocha ili uvunjwe lazima iwepo thamani ya pesa, hapo ndo kuuza
SWALI jingine?
Kwa hiyo Yanga imepanga kufungwa?Tunajua Mashujaa ni moja ya timu zenye udhamini wa GSM na tunajua yale yanayofanyika nyuma ya pazia kwa timu zote zinazodhaminiwa na GSM pale zinapocheza na Yanga. Hili halina ubishi maana tumepata ushahidi usio na shaka.
Hata hivyo, katika mechi hii inayokuja ya Mashujaa vs Yanga inayoenda kuchezwa mwisho wa reli, Mashujaa inaenda kukaza na itaifunga Yanga.
Sitaenda ndaani sana kuelezea sababu ya hili kutokea ila kama una nyumba ya urithi weeekaaa, kama unaweza kukopa kwenye kikoba au hata kausha damu weeekaaa mzigo wote. Utakuja kunishukuru baadae.
We jamaa hivi kweli umeenda shule?Kwa bei gani? Haya kocha wa Singida mmenunua kwa bei gani?
We jamaa hivi kweli umeenda shule?
Soma
Buy out clause
Release clause
Sell on clause
Jielimishe kuhusu biashara ya mpira na usajili dogo langu
Makocha Huwa wanafanyaje ili kuwa kwenye timu?Hamna kocha anauzwa mdogo wangu,wala kusajiliwa JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala you.
Makocha Huwa wanafanyaje ili kuwa kwenye timu?
Hapa usipoelewa lipia Ada dogoMakocha Huwa wanafanyaje ili kuwa kwenye timu?
😃😃😃Hapa usipoelewa lipia Ada dogo