Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utawasikia "alimpiga Ateba! Mara ooh alimshika Ateba! Mara ooh alimtukana mwamuzi!" Yaani hata wanufaika wenyewe eti hawaelewi kama mwamuzi alikuwa anarudisha majibu ya bahasha aliyopewa.Red card ya Derick Mkombozi alifanya tukio Gani?
Tunapigwa na nani?? Sema mnatumia uchawi kwa SimbaNa nyinyi mnakosa kweli nembo ya GSM? Mbona kila mkikutana na Yanga mnapigwa tu!
Utakaukwa kooo kaka yanguUtawasikia "alimpiga Ateba! Mara ooh alimshika Ateba! Mara ooh alimtukana mwamuzi!" Yaani hata wanufaika wenyewe eti hawaelewi kama mwamuzi alikuwa anarudisha majibu ya bahasha aliyopewa.
Ateba mwenyewe anashangaa kwa nini jamaa alipewa red! Linatokea bumunda moja linasema eti alipigwa!Alimpiga kibao Ateba.
Yanga bingwa 😜😜Tunajua Mashujaa ni moja ya timu zenye udhamini wa GSM na tunajua yale yanayofanyika nyuma ya pazia kwa timu zote zinazodhaminiwa na GSM pale zinapocheza na Yanga. Hili halina ubishi maana tumepata ushahidi usio na shaka.
Hata hivyo, katika mechi hii inayokuja ya Mashujaa vs Yanga inayoenda kuchezwa mwisho wa reli, Mashujaa inaenda kukaza na itaifunga Yanga.
Sitaenda ndaani sana kuelezea sababu ya hili kutokea ila kama una nyumba ya urithi weeekaaa, kama unaweza kukopa kwenye kikoba au hata kausha damu weeekaaa mzigo wote, kama kuna mtu amekupa pesa yake umshikie weeekaaa, kama unaweza kuchukua pesa ya mwajiri wako weekaaa. Utakuja kunishukuru baadae.
Labda Bingwa wa kutembeza bahashaYanga bingwa 😜😜
NEVER EVERTunajua Mashujaa ni moja ya timu zenye udhamini wa GSM na tunajua yale yanayofanyika nyuma ya pazia kwa timu zote zinazodhaminiwa na GSM pale zinapocheza na Yanga. Hili halina ubishi maana tumepata ushahidi usio na shaka.
Hata hivyo, katika mechi hii inayokuja ya Mashujaa vs Yanga inayoenda kuchezwa mwisho wa reli, Mashujaa inaenda kukaza na itaifunga Yanga.
Sitaenda ndaani sana kuelezea sababu ya hili kutokea ila kama una nyumba ya urithi weeekaaa, kama unaweza kukopa kwenye kikoba au hata kausha damu weeekaaa mzigo wote, kama kuna mtu amekupa pesa yake umshikie weeekaaa, kama unaweza kuchukua pesa ya mwajiri wako weekaaa. Utakuja kunishukuru baadae.
Msimsikilizee, huyu ni LBL masaliaTunajua Mashujaa ni moja ya timu zenye udhamini wa GSM na tunajua yale yanayofanyika nyuma ya pazia kwa timu zote zinazodhaminiwa na GSM pale zinapocheza na Yanga. Hili halina ubishi maana tumepata ushahidi usio na shaka.
Hata hivyo, katika mechi hii inayokuja ya Mashujaa vs Yanga inayoenda kuchezwa mwisho wa reli, Mashujaa inaenda kukaza na itaifunga Yanga.
Sitaenda ndaani sana kuelezea sababu ya hili kutokea ila kama una nyumba ya urithi weeekaaa, kama unaweza kukopa kwenye kikoba au hata kausha damu weeekaaa mzigo wote, kama kuna mtu amekupa pesa yake umshikie weeekaaa, kama unaweza kuchukua pesa ya mwajiri wako weekaaa. Utakuja kunishukuru baadae.
Dar waamzi tena dah misamiati mipyaYote ni matokeo ya mpira.
Yanga hatuhongi waamzi kama 5imba
Ushindi wetu hauna red card, penalties za ajabu kama watani
Yanga bingwa
Wala usishangae sana. Hayo ndiyo madhara ya elimu yetu ya sasa.Dar waamzi tena dah misamiati mipya
Kikubwa ni bigwa haijalishi ameshindaje 🤣🤣🤣Labda Bingwa wa kutembeza bahasha
Sawa. Ila mkiishia makundi msiwe mnalalamika.Kikubwa ni bigwa haijalishi ameshindaje 🤣🤣🤣
Makolo bwanaa sasa kulalamika tunalalamika sisi nyie mnapungukiwa nini l? 🤣🤣🤣🤣🤣Sawa. Ila mkiishia makundi msiwe mnalalamika.
Makolo bwanaa sasa kulalamika tunalalamika sisi nyie mnapungukiwa nini l? 🤣🤣🤣🤣🤣
🙅♀️🙅♀️🙅♀️🙅♀️🙅♀️🙅♀️🙅♀️sidanganyiki na kolo mimi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bebi njoo inbox nikwambie ninachopungukiwa.
Kocha kama ana mkataba na timu bila shaka ananunua mkataba wake yeye mwenyewe..Makocha Huwa wanafanyaje ili kuwa kwenye timu?
Kwa hiyo ningekuwa uto ungekuja fasta, si ndiyo?🙅♀️🙅♀️🙅♀️🙅♀️🙅♀️🙅♀️🙅♀️sidanganyiki na kolo mimi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Subutu 😂😂😂Kwa hiyo ningekuwa uto ungekuja fasta, si ndiyo?
Kitu kikithaminishwa na pesa ndo kuuzaKocha kama ana mkataba na timu bila shaka ananunua mkataba wake yeye mwenyewe..
Ila klabu inayomtaka hakuna biashara ya kuzungumza na klabu mmiliki eti tupeni kiasi hiki ama kile tuwaachie.
Hiyo sijawahi kusikia popote pale duniani.