NoreformNoelection
JF-Expert Member
- Jan 29, 2025
- 302
- 333
Red card ya mkomboziTuambie red card ipi Au penalty ipi sio halali kwa game ya majuzi ya Simba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Red card ya mkomboziTuambie red card ipi Au penalty ipi sio halali kwa game ya majuzi ya Simba
Usiwe kama mwanamke wewe,,mwanamke ndio uwa anabadilika mdomoni sio mwanaume,,yanga angefungwa ungekuja na ubwekaji mwingine hapaHuu uzi ulikuwa mtego.
Mechi ina makosa kibao ya wazi ya kiuamuzi achilia mbali Mashujaa wanacheza dakika 90 bila kuoonekana kucheza kama wanatafuta ushindi.
Timu inadhaminiwa na Haier, G-Boost, SportPesa na GSM ndiyo iende kuifunga Utopolo kuvuruga harakati zake za ubingwa?
Kajinyonge mcha-MBUZI uchwara.Huu uzi ulikuwa mtego.
Mechi ina makosa kibao ya wazi ya kiuamuzi achilia mbali Mashujaa wanacheza dakika 90 bila kuoonekana kucheza kama wanatafuta ushindi.
Timu inadhaminiwa na Haier, G-Boost, SportPesa na GSM ndiyo iende kuifunga Utopolo kuvuruga harakati zake za ubingwa?
Redcard imefutwaTuambie red card ipi Au penalty ipi sio halali kwa game ya majuzi ya Simba
Hata hivi ni demu kweli anafanya kazi kitambaa cheupe.Usiwe kama mwanamke wewe,,mwanamke ndio uwa anabadilika mdomoni sio mwanaume,,yanga angefungwa ungekuja na ubwekaji mwingine hapa
Salamaleko.Tunajua Mashujaa ni moja ya timu zenye udhamini wa GSM na tunajua yale yanayofanyika nyuma ya pazia kwa timu zote zinazodhaminiwa na GSM pale zinapocheza na Yanga. Hili halina ubishi maana tumepata ushahidi usio na shaka.
Hata hivyo, katika mechi hii inayokuja ya Mashujaa vs Yanga inayoenda kuchezwa mwisho wa reli, Mashujaa inaenda kukaza na itaifunga Yanga.
Sitaenda ndaani sana kuelezea sababu ya hili kutokea ila kama una nyumba ya urithi weeekaaa, kama unaweza kukopa kwenye kikoba au hata kausha damu weeekaaa mzigo wote, kama kuna mtu amekupa pesa yake umshikie weeekaaa, kama unaweza kuchukua pesa ya mwajiri wako weekaaa. Utakuja kunishukuru baadae.
Wewe mpuuzi umeonaTunajua Mashujaa ni moja ya timu zenye udhamini wa GSM na tunajua yale yanayofanyika nyuma ya pazia kwa timu zote zinazodhaminiwa na GSM pale zinapocheza na Yanga. Hili halina ubishi maana tumepata ushahidi usio na shaka.
Hata hivyo, katika mechi hii inayokuja ya Mashujaa vs Yanga inayoenda kuchezwa mwisho wa reli, Mashujaa inaenda kukaza na itaifunga Yanga.
Sitaenda ndaani sana kuelezea sababu ya hili kutokea ila kama una nyumba ya urithi weeekaaa, kama unaweza kukopa kwenye kikoba au hata kausha damu weeekaaa mzigo wote, kama kuna mtu amekupa pesa yake umshikie weeekaaa, kama unaweza kuchukua pesa ya mwajiri wako weekaaa. Utakuja kunishukuru baadae.
Unataka timu zisipate udhamini ili ziwe na nguvu ya kipesa, muwe mnawahongaTimu inadhaminiwa na Haier, G-Boost, SportPesa na GSM ndiyo iende kuifunga Utopolo kuvuruga harakati zake za ubingwa?
Hii kitu umejua baada ya ushindi wa yanga au kabla? Kama ulijua tangu zamani basi Uzi wako ni wa kipumbavuTimu inadhaminiwa na Haier, G-Boost, SportPesa na GSM ndiyo iende kuifunga Utopolo kuvuruga harakati zake za ubingwa?
Kwaiyo ulitaka wakadhamini marefarii kama Mo anavyodhamini marefarii?Timu inadhaminiwa na Haier, G-Boost, SportPesa na GSM ndiyo iende kuifunga Utopolo kuvuruga harakati zake za ubingwa?
Uwa anacheza na matukio,,upepo unakoelekea na yeye anapita mule mule!Huyu jamaa huwa ananifurahisha sana
Kwani kmc na yeye anadhaniniwa na gsm? Vipi Simba nae ana nembo ya gsm? Vipi fountain gate na yeye anayo nembo ya gsm? Timu zote hizo zimechezea vichapo sio chini ya goli 4 upo hapo!Ushindi wenu ni wa utata...unataka uthibitisho? Basi ulizia timu zenye nembo ya gsm