Mashujaa waivua nguo Simba Taifa, timu 32 zafuzu simba haimo

Hakuna lolote unataka kuhamisha magoli tu. Ukweli ni kwamba Simba yenye Kichuya, Chama 'Mwamba Wa Lusaka' imefungwa na timu isiyoeleweka. Yaani simba yenye hao wachezaji imekuwa timu ya ajabu dhidi ya hicho kitimu cha mchangani!? Usitafute sympathy Simba imefungwa
 
"Huyu refa wa Leo, Tff wamfukuze.
Haiwezekani aongeze dakika 7 zote mpaka tumefungwa goli" [emoji23] [emoji23]
 
japo walibebwa nyau wale hd dakika ya 103, lakini hawakutoka pumbavu zao, nilcheka pale chama alipopaisha ile freekick ndani ya box.

kweli msiba wa shoga hauna matanga
 
Huyu siyo kocha kabisa.Billion 5 bado tunafungwa na watoto wa Kigoma chaa!
 
"Hizi ni HUJUMA, inasemekana Yule refa wa Leo Kamuoa binamu yake Linex wa KASULU"
SHABIKI-SIMBA KINDAKI-NDAKI[emoji23] [emoji23] [emoji41] [emoji115]
 
Simba watapindua Meza, wana 2 za ugenini, mashujaa watakoma wakija mechi ya marudiano.
Kikosi ni kipana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…