Mashule na maofisi jiji la bandari la Haifa vyafungwa.Maelfu ya raia wa Israel waingia kwenye mahandaki

Mashule na maofisi jiji la bandari la Haifa vyafungwa.Maelfu ya raia wa Israel waingia kwenye mahandaki

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Jeshi la Israel limetoa ripoti yenye mkanganyiko baada ya Hizbullah kurusha maroketi mengi nchini humo.
Katika taarifa mpya jeshi hilo limesema mashule yote katika mji wa Haifa yatabaki yamefungwa mpaka itakapotolewa tangazo jengine.
Maelfu ya watu vile vile walilazimika kujificha kwenye mahandaki kwa muda,
Upande wa maofisi ya serikali na mashirika binafsi wenyewe tu waliamua kutokwenda sehemu zao za kazia kufuatia maroketi hayo kutua jijini humo,
Taarifa hiyo ni tofauti na ile iliyotolewa mwanzoni kwamba jeshi hilo liliona maroketi 10 tu yakivuka mpaka kutoka Lebanon kuingia Israel na kwamba machache kati ya hayo yalianguka ardhini wakati yaliyobaki yalitunguliwa na mifumo ya ulinzi wa anga.

Israel army says hundreds of thousands take cover after new Hezbollah barrage

1727049368525.png
 
Umeaahau kiandika vifo 25 vya ng'ombe.. zizini..

Three people were wounded in a rocket strike in Kiryat Bialik Sunday morning. In addition, 25 cows were killed when a rocket struck a dairy farm in Beit She'arim.
 
Afu kuna watu wanawaona jamii yenye akili zaid vita miaka 50 sasa avijawai kukoma amani atak sisi apa tz kuona tu polisi ktk hii yasasa tunapatawasiwasi wao maisha yao kila baada ya miez 3 au 4 kazi inaanza kukimbizana ktk mashimo. Na wanandoto ya siku moja wawashinde adui zao adi waombe pooo.
 
Jeshi la Israel limetoa ripoti yenye mkanganyiko baada ya Hizbullah kurusha maroketi mengi nchini humo.
Katika taarifa mpya jeshi hilo limesema mashule yote katika mji wa Haifa yatabaki yamefungwa mpaka itakapotolewa tangazo jengine.
Maelfu ya watu vile vile walilazimika kujificha kwenye mahandaki kwa muda,
Upande wa maofisi ya serikali na mashirika binafsi wenyewe tu waliamua kutokwenda sehemu zao za kazia kufuatia maroketi hayo kutua jijini humo,
Taarifa hiyo ni tofauti na ile iliyotolewa mwanzoni kwamba jeshi hilo liliona maroketi 10 tu yakivuka mpaka kutoka Lebanon kuingia Israel na kwamba machache kati ya hayo yalianguka ardhini wakati yaliyobaki yalitunguliwa na mifumo ya ulinzi wa anga.

Israel army says hundreds of thousands take cover after new Hezbollah barrage

View attachment 3103252
ila hakuna hata myahudi mmoja amekufa. wameuwa tu shamba la ng'ombe.
 
Din ya Islamic wazungu awajawai kuwajua vizuli imani yao Russian alikimbia Afghanistan akaja USA Russia akamwambia sisi tumepigana vita nyingi lkn apana awajamaa sio kawaida. Utowaweza lkn USA akaenda wataliban wakawa wakijua usa anakalibia kila mji wao wanaondoka waawachia mji adi wakatangaza wameshinda vita kazi ikaanzq apo talatibu awana alaka.
 
Umeaahau kiandika vifo 25 vya ng'ombe.. zizini..

Three people were wounded in a rocket strike in Kiryat Bialik Sunday morning. In addition, 25 cows were killed when a rocket struck a dairy farm in Beit She'arim.
Mijogoo na mabanda ya kuku yamesalimika sa tunambiwa ngo'mbe 25 😄 Watu wao hawafi au sio.


View: https://youtu.be/dMWqXH8BPF0?si=XJevlrcF_R7Jc1yR

Kiwanda cha Rafael vipi kinatotoa mayai bado na kiwanja cha ndege kinacho tumiwa na F16 na drones kinafanya bado 😄
 
Din ya Islamic wazungu awajawai kuwajua vizuli imani yao Russian alikimbia Afghanistan akaja USA Russia akamwambia sisi tumepigana vita nyingi lkn apana awajamaa sio kawaida. Vu Utowaweza lkn USA akaenda wataliban wakawa wakijua usa anakalibia kila mji wao wanaondoka waawachia mji adi wakatangaza wameshinda vita kazi ikaanzq apo talatibu awana alaka.
Wosia wa bwana Yesu huu;
"Ukiamini utauona muujiza wa bwana"
Hakika nawaambia ;ukiwa na Imani yenye ukubwa mfano wa chembe ndogo ya Haridadi utaweza kuuambia mlima huu "sogea"na ukakutii;
 
Wosia wa bwana Yesu huu;
"Ukiamini utauona muujiza wa bwana"
Hakika nawaambia ;ukiwa na Imani yenye ukubwa mfano wa chembe ndogo ya Haridadi utaweza kuuambia mlima huu "sogea"na ukakutii;
Wasia wa Paulo huo Yesu yuko mbali na ujinga wa mafunzo ya Paulo 1=3 hata kondoo anawashangaa 😄

Mlima sogea utasogea kwa iman za 1=3 labda huo ugali wa yanga.


View: https://youtu.be/G6WxTSB7yx0?si=Qo1rXw_bCl-c8td0

Taifa teule wa miungu 3 mmoja wapo Shetani asye na dhambi wanamuita The Holy Ghost wanashindwa zuia drone za Hezbullah leo hi zinakata mbuga juu ya mawingu ya taifa teule la mashoga.
 
Back
Top Bottom