Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Jeshi la Israel limetoa ripoti yenye mkanganyiko baada ya Hizbullah kurusha maroketi mengi nchini humo.
Katika taarifa mpya jeshi hilo limesema mashule yote katika mji wa Haifa yatabaki yamefungwa mpaka itakapotolewa tangazo jengine.
Maelfu ya watu vile vile walilazimika kujificha kwenye mahandaki kwa muda,
Upande wa maofisi ya serikali na mashirika binafsi wenyewe tu waliamua kutokwenda sehemu zao za kazia kufuatia maroketi hayo kutua jijini humo,
Taarifa hiyo ni tofauti na ile iliyotolewa mwanzoni kwamba jeshi hilo liliona maroketi 10 tu yakivuka mpaka kutoka Lebanon kuingia Israel na kwamba machache kati ya hayo yalianguka ardhini wakati yaliyobaki yalitunguliwa na mifumo ya ulinzi wa anga.
Katika taarifa mpya jeshi hilo limesema mashule yote katika mji wa Haifa yatabaki yamefungwa mpaka itakapotolewa tangazo jengine.
Maelfu ya watu vile vile walilazimika kujificha kwenye mahandaki kwa muda,
Upande wa maofisi ya serikali na mashirika binafsi wenyewe tu waliamua kutokwenda sehemu zao za kazia kufuatia maroketi hayo kutua jijini humo,
Taarifa hiyo ni tofauti na ile iliyotolewa mwanzoni kwamba jeshi hilo liliona maroketi 10 tu yakivuka mpaka kutoka Lebanon kuingia Israel na kwamba machache kati ya hayo yalianguka ardhini wakati yaliyobaki yalitunguliwa na mifumo ya ulinzi wa anga.