Unaletewa habari kutoka vyanzo vyao unasema uongo.Uongo mtupu wavaa kobazi hamna akili
Bro baada ya kulewa ulikunywa supu kukata hangover!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaletewa habari kutoka vyanzo vyao unasema uongo.Uongo mtupu wavaa kobazi hamna akili
kwani Mungu wa israeli hakuyaona haya makombora mpk wateule wetu wanakimbia kimbia ndani ya nchi yaoJeshi la Israel limetoa ripoti yenye mkanganyiko baada ya Hizbullah kurusha maroketi mengi nchini humo.
Katika taarifa mpya jeshi hilo limesema mashule yote katika mji wa Haifa yatabaki yamefungwa mpaka itakapotolewa tangazo jengine.
Maelfu ya watu vile vile walilazimika kujificha kwenye mahandaki kwa muda,
Upande wa maofisi ya serikali na mashirika binafsi wenyewe tu waliamua kutokwenda sehemu zao za kazia kufuatia maroketi hayo kutua jijini humo,
Taarifa hiyo ni tofauti na ile iliyotolewa mwanzoni kwamba jeshi hilo liliona maroketi 10 tu yakivuka mpaka kutoka Lebanon kuingia Israel na kwamba machache kati ya hayo yalianguka ardhini wakati yaliyobaki yalitunguliwa na mifumo ya ulinzi wa anga.
Israel army says hundreds of thousands take cover after new Hezbollah barrage
View attachment 3103252
Wanateseka sana kwakweliHaya ndio maisha yao waliyojichagulia.
Tumuulize Allah kwanza kwa nini amewatelekeza Wapalestina?kwani Mungu wa israeli hakuyaona haya makombora mpk wateule wetu wanakimbia kimbia ndani ya nchi yao