kyula
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 698
- 458
Freemasonry wakutupwa haoNaona mzee Trump mwenyewe analiheshimu kanisa Katoliki Kama taasisi imara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Freemasonry wakutupwa haoNaona mzee Trump mwenyewe analiheshimu kanisa Katoliki Kama taasisi imara
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] impossibleNi kweli Castro alikuwa anatembea na mwanamke mpya kila siku na harudii tena! Yasemekana alitimiza takribani wanawake elfu 30.
Anayejua atujuze juu ya hili.
Umesahau wa sita LipumbaWa nne mpe jina la hashim rungwe sipunda, wa tano jecha
duuuhKama Mungu anakujaalia Mtoto wa kiume, italeta raha kumuita majina kama Fidel au Castro. Sio Juma.
Kama Mungu anakujaalia Mtoto wa kiume, italeta raha kumuita majina kama Fidel au Castro. Sio Juma.
Kifo cha JFK kina utata kina stori nyingi sana, ila stori kubwa ambayo naona kidogo ina mantiki ni ya kuuliwa na familia ya Rockefeller.Wengine wanadai J F Kennedy aliuwawa na maafisa wa CIA wenyewe baada ya kutaka kuudhibiti CIA kwamba imekuwa ni serikali ndani ya serikali ya Marekani so wakamuwahi kabla hajatekeleza mpango wake kwa mujibu wa hapahapa JF so which is which wakuu??
mhh sipati picha balaa la shemeji yetu kulea hao watukutuMwanangu wa kwanza nimempa jina fidel Castro.
Mwanangu wa pili nimempa jina Ghadafi.
Mwanangu wa tatu nimempa jina Thomas sankara.