Mashushushu wa Fidel Castro walikuwa na hisia ya sita(Sixth Sense)

Mashushushu wa Fidel Castro walikuwa na hisia ya sita(Sixth Sense)

Ni kweli Castro alikuwa anatembea na mwanamke mpya kila siku na harudii tena! Yasemekana alitimiza takribani wanawake elfu 30.

Anayejua atujuze juu ya hili.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] impossible
 
Jamaa alikuwa noma... N.Korea ndiyo naona anarithi hii mikoba
 
Wengine wanadai J F Kennedy aliuwawa na maafisa wa CIA wenyewe baada ya kutaka kuudhibiti CIA kwamba imekuwa ni serikali ndani ya serikali ya Marekani so wakamuwahi kabla hajatekeleza mpango wake kwa mujibu wa hapahapa JF so which is which wakuu??
Kifo cha JFK kina utata kina stori nyingi sana, ila stori kubwa ambayo naona kidogo ina mantiki ni ya kuuliwa na familia ya Rockefeller.
 
Mwanangu wa kwanza nimempa jina fidel Castro.
Mwanangu wa pili nimempa jina Ghadafi.

Mwanangu wa tatu nimempa jina Thomas sankara.
mhh sipati picha balaa la shemeji yetu kulea hao watukutu
 
huwa ktk mitando ya kijamii napenda sana jamii forum alafu whatsap coz najifunza mengi nikiwa INTELIGANCE
 
Back
Top Bottom