Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Watoto Wa michepuko utawajua kirahisi. Majina ya kufichaficha eti Fidel Castro wakati unaitwa zembwela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
N
Ni kweli mkuu, Mimi mwanangu wakiume nimemuita Sankara.
Nimempa jina hilo kwasababu nilivutiwa Sana na harakati za aliyewahi kua Rais wa Burkina Faso hayati Thomas Sankara.
Yupo rafiki yangu mmoja ambaye amewaita watoto wake wawili majina ya Che Guevara na Ho Chi Minh. Wote ni wa kiume.
Daah kweli upo vizuri. Leta mavitu mkuu mengine.Ho Chi Minh alikuwa ni mmoja wa majasusi wa kutisha wakati ule wa harakati za ukombozi khasa kwa watu wa Vietnam.
Minh alipofikisha umri wa miaka 10 baba yake ambae alikuwa mwalimu alimpa jina la Nguyen Tat Thanh, Nguyen likimaanisha accomplished yaani mtu aliekamilika kwasababu kabla ya kuanza shule rasmi, tayari alikuwa anafahamu kusoma na kuandika.
Minh wakati wa harakati zake aliweza kusafiri kati ya miji ya Brooklyn nchini Marekani, Paris, London na Moscow akitumia majina ya bandia kama Van Ba, Chen Vang, Luy Thuy na hilo la Nguyen.
Mji mkuu wa Vietnam unaitwa Ho Chi Minh City baada ya kubadilishwa kutoka jina la Saigon mwaka 1976.
Baadaya vita ya bay of pigs kuisha na ushindi ukawa wa el comandante fidel castro,marwkan hakuwa tena mshirika wa cuba bali adui nambari one...fidel alifanya mawasiliano ya siri ni waziri mkuu wa akati huo huko ussr aliyeitwa nikita krushchev..nawasliano yao yalikuwa juu ya sovieti kuweka vituo vya silaha nchini cuba ili kuilinda cuba dhidi ya uvamizi wowotte toka marekan....kumbuka wakati huo marekan na sovieti zilikuwa katika vita baridi...Asante De Levis. Tunahitaji wadau walete humu pia simulizi ya "The Cuban Missile Crisis 1962"
Asante De Levis. Tunahitaji wadau walete humu pia simulizi ya "The Cuban Missile Crisis 1962"
Inaitwaje mkuu niitafuteNimemaliza kuangalia aeries inayozungumzia maisha yake, jamaa alikuwa mtu humbled sana lakini ni katili kupita maelezo. Rais Wa watu Wa Medellin.
Inaitwaje mkuu niitafute
Aisee. Kweli. Sirudii tena.Wewe!! Utachapwa!