IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,317
ponda mali au sio?Kama Mungu anakujaalia Mtoto wa kiume, italeta raha kumuita majina kama Fidel au Castro. Sio Juma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ponda mali au sio?Kama Mungu anakujaalia Mtoto wa kiume, italeta raha kumuita majina kama Fidel au Castro. Sio Juma.
Njoo ukamue tena jamaa yangu nakusubiri..... historia ya huyu jemedari marekani wanaipotosha sana hawa
hahahaaaaaa wewe jamaa umenichekesha sana..... acha uhuni..... Hashim Rungwe nae Castro wa bongo si unacheki ndevu hizoWa nne mpe jina la hashim rungwe sipunda, wa tano jecha
Wanne bila shaka utamwita maghufuliMwanangu wa kwanza nimempa jina fidel Castro.
Mwanangu wa pili nimempa jina Ghadafi.
Mwanangu wa tatu nimempa jina Thomas sankara.
unazingua......Kama Mungu anakujaalia Mtoto wa kiume, italeta raha kumuita majina kama Fidel au Castro. Sio Juma.
Utashitakiwa kwa uchochez maana hilo jina la juma linataka kufanana na la john....mi simo!!!!Kama Mungu anakujaalia Mtoto wa kiume, italeta raha kumuita majina kama Fidel au Castro. Sio Juma.
Wangu nategemea kumuita rolah nkunda sio juma maharagweMwanangu wa kwanza nimempa jina fidel Castro.
Mwanangu wa pili nimempa jina Ghadafi.
Mwanangu wa tatu nimempa jina Thomas sankara.
WA nne mpe jina LA jpmmmmMwanangu wa kwanza nimempa jina fidel Castro.
Mwanangu wa pili nimempa jina Ghadafi.
Mwanangu wa tatu nimempa jina Thomas sankara.
Mkuu nashukuru kwa habari njema.huyo lee oswald ni raia wa nchi gani? maana naskia J F Kennedy alikua anataka kuondoa mifumo ya kibenki marekani inayomilikiwa na wayahudu kwa hiyo kwa namna yoyote hawa wayahudi wasingeweza kukubali hata sasa hawatakubali maana wamekwepo mwrekani karne kadhaa. Kwa hali hiyo wengi wanafahamu kennedy aliuawa na wayahudu.
Pili urafiki wa Castro na The late Pope John Paul na wasiwasi nao huenda kupitia ile agency yao ya jesuist ndio walitekeleza hayo mauaji. Picha zipo nyingi sana popoe john paul na castrol wakiwa pamoja waki shake hands.
Dah....ongeza mmoja bana.....mbona unajibanabana[emoji13] [emoji13]Mwanangu wa kwanza nimempa jina fidel Castro.
Mwanangu wa pili nimempa jina Ghadafi.
Mwanangu wa tatu nimempa jina Thomas sankara.
Na ukumbuke kuwa Jesuit Fathers ni shirika la Kipapa la Wamisionari maalumu kwa ajili ya Ulinzi wa kanisa.Hawa ndio majasusi wa kanisa katoliki.Ni shirika ambalo huchukua watu/Mapadre wenye IQ kubwa sana,ktk shirika hili,zaidi ya masomo ya kawaida ya Falsafa na Theolojia ambayo mapadre wote husoma,hawa Jesuit Fathers husoma masomo ya zaida ya "elimu dunia".Na huchukua hata miaka 20 kwa mtu kupewa upadre.Mkuu nashukuru kwa habari njema.huyo lee oswald ni raia wa nchi gani? maana naskia J F Kennedy alikua anataka kuondoa mifumo ya kibenki marekani inayomilikiwa na wayahudu kwa hiyo kwa namna yoyote hawa wayahudi wasingeweza kukubali hata sasa hawatakubali maana wamekwepo mwrekani karne kadhaa. Kwa hali hiyo wengi wanafahamu kennedy aliuawa na wayahudu.
Pili urafiki wa Castro na The late Pope John Paul na wasiwasi nao huenda kupitia ile agency yao ya jesuist ndio walitekeleza hayo mauaji. Picha zipo nyingi sana popoe john paul na castrol wakiwa pamoja waki shake hands.
kisha wanashindwa.....pale unapogundua wabaya wako wanataka kukuua.[emoji1619]![]()
umeanza uchokozi shekhe.Kama Mungu anakujaalia Mtoto wa kiume, italeta raha kumuita majina kama Fidel au Castro. Sio Juma.