Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well said, ila kama nakumbuka vizuri Robert Kennedy alikuwa Attorney General chini ya kaka yake, akuwahi kuwa Mkurugenzi mkuu wa CIA au Waziri wa Ulinzi - sasa Kaka yake alimpa jukumu ya kumumaliza Castro akiwa chini ya kitengo/mwamvuli hupi au alitaka ku hire a private snipper!!
Actually imekuja kudhilika juzi juzi hapa kwamba muuaji hakuwa Oswald, Oswald aliwekwa kama chambo tu kupoteza lengo, muuaji alisi alikuwa ni former Marine ambaye alikuwa ni namba one katika jeshi la Merikani katika masula ya kulenga shabaha, alifanyiwa mpango wa kujificha nyuma ya shrubs za Glass Knoll mjino Dallas Texas ukiwa chini ya uangalizi wa FBI, alifyatua risasi aina ya dum dum ikafumua kichwa cha Kennedy baada ya kutekeleza mauuji akafungia silaha yake kwenye mkoba wake na kuondoka nayo kwenda Hotelini - makachero wa FBI na Polisi wakimwangalia tu bila ya kumchukulia hatua yoyote! Kumbe FBI na Polisi walikuwa planted sehemu hiyo na Edgar Hoover ili wamlinde muuaji mpaka atakapo tekeleza mauuaji ya Rais wa nchi!!
Ukisoma maelezo ya kina ya muuaji huyo akikiri ukweli huo kabla hajafa mwaka juzi, ndiyo utaona kwamba Amerika wakati mwingine ni Taifa la ajabu sana - Yaani makamu wako wa Urais anashirikiana na wamiliki wa Military Industry Complex na ma Bankers kumuua Rais ili waendeleze vita vya VietNam na kuuza silaha!!
Kama Mungu anakujaalia Mtoto wa kiume, italeta raha kumuita majina kama Fidel au Castro. Sio Juma.
pale unapogundua wabaya wako wanataka kukuua.[emoji1619]![]()
Ukimpa mtoto wako hili jina unakaribisha nuksi nyumbaniWA nne mpe jina LA jpmmmm
Mkuu GENTAMYCINE na habari zako za Makumbusho kweli hizi habari hukuwa unafahamu?Duh...kumbe Marehemu Che Guavara alishakaa hadi Dar! Shikamoo Mkuu.
fuatilia 'the magic bullet' aliyopgwa kenedy,kenedy hakupgwa risasi moja na wala oswald hahusikiEl Comandante de'levis tunakusubiri
Japo sijui ni kweli Fidel alikuwa na taarifa za mipango ya kumuua Kennedy ,kuna aide wake Fiorentino Aspillaga wanasema huyu alikuwa kwenye jumba fulani la mawasiliano na alipewa kazi maalumu ya kufuatilia mawasiliano ya CIA na ile siku ya mauaji basi Fiorentino akapewa order asiendelee kufuatilia hayo mawasiliano ..na badala yake akusanye taarifa zozote kutoka Texas kumbuka Kennedy alipigwa risasi Dallas
Ingawa wakati Fidel anapewa taarifa za kupigwa risasi Kenedy wakati akiwa kwenye beach house yake wakila chakula cha mchana alijua kwa vyovyote lazima atahusishwa na mauaji ya Kennedy hivyo hakuwa na uoga wowote kwa sababu siku zote za maisha yake alikuwa kwenye hatari pamoja na hayo alipata hofu kwamba kumuua raisi wa Marekani sio jambo dogo ,Marekani inagusa karibia dunia nzima hivyo kupotelewa kwa raisi sio tu kutaathiri Cuba bali dunia nzima
Ila pia wanahisi Castro alihusika kwa sababu huyu Oswald aliyempiga risasi Kennedy kuna wakati aliomba visa ya kwenda Cuba kwenye embassy yao iliyopo Mexico akanyimwa visa basi kwa hasira akaropoka atampiga Kennedy risasi ...na inaaminika ubalozi huo wa Mexico ulikuwa center ya ujasusi ya Cuba hivyo chochote kinachofanyika pale Castro lazima anajua
KGB itakua walikua wakimpga tafu,kumbuka ussr walikuwa na makombora cuba kwa ajili ya kukata ngebe za marekaniUmetupa habari nyeti ambayo hatukuijua ,huyu Fidel alikuwa jasusi la kimataifa hizi njama za kumuuwa zilifanywa kwa ustadi mkubwa lakini watu wake walimsaidia yeye kuwa salama.
Mwanamapinduzi halisi. Waambie wawasome hao, ili wajue kwa nini wanaitwa majina hayo.Mwanangu wa kwanza nimempa jina fidel Castro.
Mwanangu wa pili nimempa jina Ghadafi.
Mwanangu wa tatu nimempa jina Thomas sankara.
Fidel "fredwaa wa clouds na Castro Mumbara mchezaji wa zamani wa Yanga.Kama Mungu anakujaalia Mtoto wa kiume, italeta raha kumuita majina kama Fidel au Castro. Sio Juma.
Huyu mtu nampenda kuliko navyojipenda mwenyewe. Huwa nikikaa kumsoma mpaka machozi yananitoka. Kwangu mimi ni mtu ambaye ataishi daima kwenye fikra zangu siku zote za maisha yangu.Thomas sankara sio mchezo
umemsoma kwenye kitabu gani mkuu na sisi tumegee kidogoHuyu mtu nampenda kuliko navyojipenda mwenyewe. Huwa nikikaa kumsoma mpaka machozi yananitoka. Kwangu mimi ni mtu ambaye ataishi daima kwenye fikra zangu siku zote za maisha yangu.