Mashushushu wa Fidel Castro walikuwa na hisia ya sita(Sixth Sense)

Mashushushu wa Fidel Castro walikuwa na hisia ya sita(Sixth Sense)

kuna story nilipokuwa mdogo nimekuwa nikiisikia kwamba Cuba na Islael ndo nchi zenye na zinaotoa mafunzo bora na ya hali ya juu kabisa kwa makomand,je mkuu ukweli upoje katika hilo?
 
Makala mazuri sana!Taaluma iliyoenda shule na historia nzuri
 
Nashukuru Mungu kuwa kupitia ' uzi ' huu naanza sasa kuwajua wana ' Eagle Wing House ' wa Tanzania kwani ni ukweli usiopingika kuwa kama huna ' experience ' ya ' kutukuka ' ya hiyo ' Fani ' kabisa huwezi kuyajua hayo mambo ya ' Kijasusi ' na ambayo ni ya ' Kitaalam ' kabisa na kuja ' kutiririka ' nayo humu. Akhsante mno muanzisha ' uzi ' umenisaidia sana katika ' utafiti ' wangu usio rasmi ninaoufanya sasa kupitia huu huu ' uzi ' wako.
Umeshamtambua yeye ni Nani!!![emoji2] hongera maana hicho kinaitwa kipaji cha utambuzi!!!!
 
Wengine wanadai J F Kennedy aliuwawa na maafisa wa CIA wenyewe baada ya kutaka kuudhibiti CIA kwamba imekuwa ni serikali ndani ya serikali ya Marekani so wakamuwahi kabla hajatekeleza mpango wake kwa mujibu wa hapahapa JF so which is which wakuu??
 
Huyu ndio mwanaume co kukaa tu kuvuta bang na kujisifia eti una dushele kubwa.
[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji3] umenichekesha sana eti kujisifu kuwa na dushelele kubwa hata hivyo dushelele nalo lina umuhimu wake mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom