mliverpool
JF-Expert Member
- Jan 6, 2015
- 1,565
- 2,944
Wanangu wa kwanza lipumba wapili Pombe ,watatu jecha!mwanangu wa kiume japo jina lake la ubatizo ni la kikristu,siku nikiwa nimefurahi napenda kumuita Osama aka geronimo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanangu wa kwanza lipumba wapili Pombe ,watatu jecha!mwanangu wa kiume japo jina lake la ubatizo ni la kikristu,siku nikiwa nimefurahi napenda kumuita Osama aka geronimo.
ACHA DHARAU ZA KIJINGA KENGE WEWE,IQ YA MTU HAITOKANI NA JINAKama Mungu anakujaalia Mtoto wa kiume, italeta raha kumuita majina kama Fidel au Castro. Sio Juma.
Acha mawazo yakipumbavu, tumia akiri kuropoka mkuu.Kama Mungu anakujaalia Mtoto wa kiume, italeta raha kumuita majina kama Fidel au Castro. Sio Juma.
Kama wewe ulivotumia kabang vizuri!Acha mawazo yakipumbavu, tumia akiri kuropoka mkuu.
Sawa juma.ACHA DHARAU ZA KIJINGA KENGE WEWE,IQ YA MTU HAITOKANI NA JINA
samahani kama nimekutamkia maneno makali nila haujatenda haki kwa kukashifu majina ya wengineSawa juma.
Maisha ya nanInaitwaje mkuu niitafute
Umeshamtambua yeye ni Nani!!![emoji2] hongera maana hicho kinaitwa kipaji cha utambuzi!!!!Nashukuru Mungu kuwa kupitia ' uzi ' huu naanza sasa kuwajua wana ' Eagle Wing House ' wa Tanzania kwani ni ukweli usiopingika kuwa kama huna ' experience ' ya ' kutukuka ' ya hiyo ' Fani ' kabisa huwezi kuyajua hayo mambo ya ' Kijasusi ' na ambayo ni ya ' Kitaalam ' kabisa na kuja ' kutiririka ' nayo humu. Akhsante mno muanzisha ' uzi ' umenisaidia sana katika ' utafiti ' wangu usio rasmi ninaoufanya sasa kupitia huu huu ' uzi ' wako.
Of course hakuna kitu rahisi duniani!!Ujasusi ni mgum sana
Duh...kumbe Marehemu Che Guavara alishakaa hadi Dar! Shikamoo Mkuu.
Kwa huo uzao, hata shetani hataisogelea familia yako!Wanangu wa kwanza lipumba wapili Pombe ,watatu jecha!
[emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji3]Sasa wewe ki.laza ungejiungaje angali kule wanahitajika watu wenye Iq kubwa..?
[emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji3] umenichekesha sana eti kujisifu kuwa na dushelele kubwa hata hivyo dushelele nalo lina umuhimu wake mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu ndio mwanaume co kukaa tu kuvuta bang na kujisifia eti una dushele kubwa.