Na hatimaye amekufa kwa amri ya Mungu.
Wakati wa utoto tulisikia simulizi nyingi sana kumuhusu Castro,ikiwa ni pamoja na kusema huyu jamaa alikuwa akivaa shati lenye vifungo ambavyo akiviunganisha vinatengeneza bastora.
Marafiki zake kama Huggo Chavez,Che Guavara na kina Samora Machel waliuwawa na CIA.Chevez kafa "juzi" tu tukiwa wazee na familia...CIA walimpandikizia liugonjwa lililomuua,na mwaka mmoja kabla ya kifo chake wakampa taarifa kuwa washammaliza,ndio maana siku za mwisho za maisha yake,Chavez alikuwa anawatukana sana Wamarekani na hasa akipata nafasi ya kuhutubia UN..
Marekani sio mtu mzuri hata kidogo,juzi nikaona wale ambao wengi ni mashoga waliokimbilia MIAMI wakishangilia kifo,wakati wale wa CUBA wa kweli wakilia kwa uchungu.