Masika imeanza...

Sisi wa kugombea daladala hatuna chetu!

Wewe uko kwenye kundi la bimmer, hayo nayo ni ugonjwa wangu.... Nakumbuka X6 ilivyonitoa udenda Joberg hadi nikaipata aahahahahaaa Kasie mie...looh.
 
Haya bana mkuu msalimieni Tally Hunter.
 
Wewe uko kwenye kundi la bimmer, hayo nayo ni ugonjwa wangu.... Nakumbuka X6 ilivyonitoa udenda Joberg hadi nikaipata aahahahahaaa Kasie mie...looh.
Maneno ya mtandaoni tu yasikuingize chaka...so you are pushing X6 now?
 
Usimsahau na Kasie

Wee baba Batalingaya weeweee, yaani unaninadi hivi hivi najiona na hali ya hewa hii...
Ntaweza kukataa kweli...

Mabungo hutaki kuniletea wala sanvita, ila kuninadi aaahhh....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…