Masikini akiona tajiri anakula nyama bila ugali yeye anaona Kama jamaa anaharibu mboga

Masikini akiona tajiri anakula nyama bila ugali yeye anaona Kama jamaa anaharibu mboga

Raymanu KE

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2022
Posts
8,611
Reaction score
16,118
Jamani tutafuteni pesa kwa bidii tuache kuendekeza chuki na wivu kwa wenzetu waliofanikiwa.

Mwenzio yupo tu sawa anakula nyama kavu bila ugali afu wewe unahisi Kama jamaa anaharibu mboga πŸ˜‚
 
Jamani tutafuteni pesa kwa bidii tuache kuendekeza chuki na wivu kwa wenzetu waliofanikiwa.

Mwenzio yupo tu sawa anakula nyama kavu bila ugali afu wewe unahisi Kama jamaa anaharibu mboga πŸ˜‚
Mkuu kwani kula nyama NDIO utajiriπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£

Kuna mitaa flani kariakoo Kuna restaurant ya WAMASAI Kuna supu za maana nyama safi πŸ˜‚ mishikaki mizuri sana imenona na mikubwa mikubwa...

Ndipo nilikuja kuamini 😊 WAMASAI wanapenda nyama aiseeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Mkuu kwani kula nyama NDIO utajiriπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£

Kuna mitaa flani kariakoo Kuna restaurant ya WAMASAI Kuna supu za maana nyama safi πŸ˜‚ mishikaki mizuri sana imenona na mikubwa mikubwa...

Ndipo nilikuja kuamini 😊 WAMASAI wanapenda nyama aiseeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Masikini kamwe hawezi kumudu kula nyama pekee yake,Hilo lipo wazi Sana.
 
Masikini kamwe hawezi kumudu kula nyama pekee yake,Hilo lipo wazi Sana.

img_2_1688020939304_1.jpg

Karibu mkuu πŸ˜ŠπŸ€“
 
Back
Top Bottom