Masikini chid benz afya yake inazidi kudhoofika

Masikini chid benz afya yake inazidi kudhoofika

Umeandika nini ?

Nakusaidia, nimeuliza kwa vijana wanaoshinda mitaa hii ya Shoppers Plaza...pita kijinjia jirani na ofisi za XCAR, mbele kidogo kuna kuna kanisa ( hili kanisa lipo chini ya wakorea).
Ukiwa mitaa hiyo kuna sehemu vijana wanacheza Playstation games hapo waulize Kibanda cha chips.
Utamuona Chid Benz baada ya hapo njoo tena na Shudu za Ray -C. Si hampendi kuambiwa ukweli; Mwenzenu kaisha anakula vyakula vya Magengeni Msasani na kugongea Juu..



Mkuu usikasirike...vijana ama watanzania wengi huwa hawapendi kuambiwa ukweli. Binafsi I couldn't care less for Chid Benz, watu wengi tu walitaka kumsaidia yeye analeta utemi. Atajiju!
 
Habari zenu Wanaukumbi.
Wadau sanaa, kwa siku mbili hizi nilizokuwa na shughuli kadha wa kadha mitaa ya Mikocheni (Shoppers Plaza) nimepata pishana kama kusalimiana na Msanii huyu nguli wa Hip Hop.

Chid Benz anahitaji msaada wa Haraka sana, kama ni hivi vilevi vyao (Sembe) hatua aliyofikia sio nzuri. Anatia huruma, mwili umekosa afya kabisa siyo yule anayeng'aa kwenye Luninga.
Najua humu wadau wake mpo wengi ... Tafadhali sana tafuteni jinsi ya kumrudisha kwenye Mstari wa Maisha huyu kijana.

Kuna mengi sana nimeyaona kwa huyu kijana, na yanaumiza kweli.

ImageUploadedByJamiiForums1408510530.836822.jpg
Huyu hapo mkuu!!


Sent from my iPad Air using JamiiForums
 
Safi sana acha achoke awe kizee kama tid....labda akili itakuja,watu wanaotaka kumsaidia anawatukana au kuwapiga.

Sikulifahamu hili aisee! Kwajinsi alivyo sidhani Kama anaweza mudu ugomvi hata Madame B anaweza mtoa nishai
 
Last edited by a moderator:
Karibu sanaaa
Kvoo's Multimedia
Tutumie kazi ya muziki wako au filamu yako kupitia kvoosmultimedia@gmail.com ipate nafasi ya kushiriki tuzo za KILAMWEZI CONTEST AWARD zitakaonza rasmi tarehe 1 september 2014. Kwa maelezo zaidi tupigie 0717342232 au 0656613030. Tafadhali sambaza ujumbe huu kwa watu Uwapendao ili kusaidia vipaji na sanaa ya Tanzania kukuwa zaidi.
 
Tunapaswa kuwasaidia. Kama unauwezo wa kumsaidia huyo dogo fanya hima ndugu yangu.

Chidi Benz kachoka hadi anatia huruma, kuna wapuuzi humu ndani wanashindwa toa mchango wa mawazo nini kifanyike kuwasaidia hawa vijana wao wanaweka koment za Kipuuzi.
Cc appoh

Mkuu hiyo inategemea mtu na mtu, mfano Tid ukianza tu kumshauri kuacha unga mnagombana hapo hapo, atakukosea adabu kwa maneno machafu na kuondoka.
 
Last edited by a moderator:
Ulivyojibu tuu sio kwamba unataka afe ila humfill tu Chid benzi.Ulishaomba kolabo wkt underground akakutosa nini?Just imagination don't take serious.

Napenda miziki yake,,,sijawah tarajia niwe mwanamuzikii hata siku mojaa,
 
Back
Top Bottom