Masikini Lowassa, nilihisi haya yatamkuta, yamemkuta


Tukiomba ushahidi wa ulichoandika utaanza kula kucha.
Nenda eneo husika. Jengo lakaribia ghorofa nne, mkabala na kituo cha OilCom ni la mwamba marehemu. Jengo la ghorofa linatamana na majengo ya kanisa ni la rafiki yake marehemu, Kimbisa.
Eneo hilo lote , block nzima liliporwa kutoka eneo la kanisa.
 
Nenda eneo husika. Jengo lakaribia ghorofa nne, mkabala na kituo cha OilCom ni la mwamba marehemu. Jengo la ghorofa linatamana na majengo ya kanisa ni la rafiki yake marehemu, Kimbisa.
Eneo hilo lote , block nzima liliporwa kutoka eneo la kanisa.
Duh πŸ™„!
Pumzi huwa inatudanganya sana sisi binadamu !πŸ™
 
Wewe ni MPUMBAVU tu. Ni nani kakuambia kuwa hayo majengo hayana biashara? Kwani unajuwa soko la Real Estate likoje nchini kwa sasa?

Usitegemee Tangi bovu ikue kibiashara kama ilivyo Makumbusho au Mwenge. Kila mahali pana factors zake zinazoathiri biashara lakini siyo hizo PUMBA zako
 
Na wewe ukiwemo,huna jipya labda kufua kondom
 
maelezo meeeeengi lakini pumba tupu!
 
Waeleze wajinga wenzio wakapange pale.
 
Hili lilio ruhusu baraka kwa mashoga au lipi?
 
maisha ni vita ndugu yangu
halafu huwenda alitubu
Kutubu inawezekana mtu akatubu lakini katika toba huwa tunatakiwa tuyajutie yote tuliyoyatenda yale ya dhambi na kuahidi kutoyatenda tena makosa yale !
Kwa wanasiasa Naona hii toba haiwahusu maana wanasiasa bila fitna fitna na kudhalilisha wale wanaowaogopa katika maslahi yao ya kisiasa ni kitu hakiwezekani kabisa kabisa !!
πŸ˜…πŸ˜…πŸ™πŸ™πŸ™.
Kwahiyo toba kwao ni ngumu sana πŸ˜…πŸ˜…πŸ™πŸ™
 
Hata familia yetu alitunyang'anya kiwanja mbezi beach kipindi hicho, alikuwa mrafi , mwizi na mporaji .Mungu amuweke palipostahili
 
Humjuu Eddo wewe na Lutherani! Nenda monduli alitoa eneo kubwa Sana kwa ajiri ya kanisa!!. Na kanisa walitaka kujenga vyuo pale ila serikali ukakataa na kudai itavitaifisha!. Kumuongeleo Eddo vibaya juu ya lutheri ni kupotosha umma.
 
E. Lowassa anaidai CCM Arusha zaidi ya Bil. 5 alizowakopesha, kama kuna Mjumbe yeyote wa CCM hapa akanushe
Mjinga wewe, alikuwa na biashara gani kuwekeza bilioni 5.
Na angezirudisha vipi?
Mnaotetea wezi mnatutia kichefu chefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…