The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
Nimecheka [emoji23][emoji23] watanzania sijui huwa mnafikiria niniSiri ya kuishi miaka 80 ni kutochukua ardhi ya kkkt.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka [emoji23][emoji23] watanzania sijui huwa mnafikiria niniSiri ya kuishi miaka 80 ni kutochukua ardhi ya kkkt.
Hilo ndio swala lilalolifanya issue nzima kuwa interesting.Mchagga anaachia Ardhi?!
Nimecheka sana
Hao akina Kileo huko Sanya Juu wanamgombania Ardhi ndio waje waiachie Mbezi beach?Hilo ndio swala lilalolifanya issue nzima kuwa interesting.
Upande mmoja kuna mcha Mungu na upande wa pili kuna mpora ardhi bila aibu, hata sadaka ya ardhi kwa Mungu.
Jibu la Mungu tumeliona.
Hata asingepora angekufa tu. Walikufa Mitume itakuwa Lowassa.Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.
Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ni kitabu, tuishi vyema ili watakao kisoma kitabu chako cha maisha, wafurahie hadithi ya maisha yako.
Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki.
Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.
Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa, kama sadaka yake.
Naamini kabla ya kutoa ardhi hiyo ,mzee Kilewo aliomba kwa Mungu.
Maaombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowassa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.
Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.
Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.
Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Ilikuwepo supermarket ya Imalaseko, Dry Cleaner na Gym , vyote vimekufa.
Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.
Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.
Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.
FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Loooh...!!Dah, na wewe umedumu nalo moyoni muda mrefu sana bila shaka ulikua ukiomba sana hili lililotokea litokee ndipo utoe nyongo dah 🐒
Hata na hivyo Lazima limekupa madhara kiasi moyoni maana uponyaji na ahuweni ya gubu huwa ni msamaha, kung'ag'ana nalo muda wote huo dah, si mchezo...
Hata na hivyo hayupo aliemkamilifu.
Mzee ameumaliza mwendo.
Mwenyezi Mungu ampokee na kumuweka mahali anapostahili...
kwahiyo ndugu yangu Uzima Tele leo nimeandika kwa hekima na busara sana, right?Loooh...!!
Leo nimekushangaa sana ndugu Tlaatlaah maana umeandika kwa hekima na busara sana mpaka nimefurahi...
Hongera sana. Tuko pamoja
Kama hujui, hujui tu.Uzandiki wa kiwango cha Dreamliner huu, kadanganye wanao na wajinga wenzao. Arnold Kileo alikuwa anapata wapi guts za kugawa kiwanja cha TBL wakati huo?
Ninachojua kwenye ubinafsishaji wawekezaji huwa hawana interests na majumba bali core business tu. Hata NBC walikuwa na estate za majumba huko Kijichi na ilipobinafsishwa, yakauzwa.
Kwa mujibu wa sheria za ardhi mwenye mamlaka ni Kamishna wa Hati, Waziri wa Ardhi na Rais katika suala zima la umiliki. USIPOTOSHE ukweli kumchafua Edward Ngoyai Lowassa (RIP).
KILEO hana mchnago wowote hapo, yeye alikuwa muajiriwa tu wa TBL
I see.....Kuyataja maovu yako ni kukuhukum? Endeleni na viwanda vya dhambi huko makanisani kwenu eti mkionywa mnahukumiwa.
Mnapoteza muda bora mkanywe pombe tu.
Nawe kama walivyo Tomaso wengi, mtashangaa mkimwona Kilewo akipita tundu la sindani kwa imani huku wewe unamshangilia kama zuzu aliyeiba sadaka ya ardhi.Hao akina Kileo huko Sanya Juu wanamgombania Ardhi ndio waje waiachie Mbezi beach?
Kicheko cha karne 😂😂😂😂
Hisia za kijinga tu, wapo wengi wamefanya mabaya zaidi na wamefanikiwa zaidi, nalaani kitendo alichofanya, ila hayo mengine ni imani yako tuMasikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.
Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ni kitabu, tuishi vyema ili watakao kisoma kitabu chako cha maisha, wafurahie hadithi ya maisha yako.
Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki.
Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.
Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa, kama sadaka yake.
Naamini kabla ya kutoa ardhi hiyo ,mzee Kilewo aliomba kwa Mungu.
Maaombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowassa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.
Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.
Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.
Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Ilikuwepo supermarket ya Imalaseko, Dry Cleaner na Gym , vyote vimekufa.
Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.
Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.
Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.
FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Absolutely, umeandika kwa hekima na akili sana..!kwahiyo ndugu yangu Uzima Tele leo nimeandika kwa hekima na busara sana, right?
na umenikalia kimya kumbe siku zingine hiyo kitu sinaga kabisa na imeonekana leo tu? na ukakaa kimya? dah nimeshangaa sana...
hata na hivyo tupo pamoja kiongozi kwenye maombolezo,
Mzee wetu ENL ametangulia mbele ya haki, tulobaki maisha lazima yaendeleee na ukweli usemwe....
Usipojifunza kupitia makosa ya waliotangulia, utakuwa mpumbavu wa kiwango cha lami!I see.....
Ina maana wewe Bush Dokta na mwenzako mleta mada Jidu La Mabambasi pamoja na wenzenu wenye mitazamo hii potofu kazi yenu ni kuwatafuta wenye dhambi na kuwaonya siyo?
Kwanini msitumie muda huu kujionya na kujiponya wenyewe kwa shida, makosa na dhambi zenu wenyewe kwanza kabla ya kuwaparamia wengine na kuwaita "wenye dhambi" huku zenu mkiwa mmezitia mfukoni?
Sikiliza bwana Bush Dokta.
Unaponyooshea wenzako kidole kimoja👉👉. Vile vinne vyote vinakuwa vinakunyookea wewe!!
Kaliibie kanisa na wewe ili uwaumbue Anania na Safira!Hisia za kijinga tu, wapo wengi wamefanya mabaya zaidi na wamefanikiwa zaidi, nalaani kitendo alichofanya, ila hayo mengine ni imani yako tu
Havihusiani mbonaMasikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.
Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ni kitabu, tuishi vyema ili watakao kisoma kitabu chako cha maisha, wafurahie hadithi ya maisha yako.
Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki.
Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.
Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa, kama sadaka yake.
Naamini kabla ya kutoa ardhi hiyo ,mzee Kilewo aliomba kwa Mungu.
Maaombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowassa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.
Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.
Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.
Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Ilikuwepo supermarket ya Imalaseko, Dry Cleaner na Gym , vyote vimekufa.
Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.
Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.
Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.
FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
🤣🤣unanifanya nishindwe kujizuia kucheka msibani...Absolutely, umeandika kwa hekima na akili sana..!
Likely, hata hizo "siku zingine" hii hekima na busara natambua na kujua kuwa huwa unayo..
Kwa sasa hebu tuomboleze msiba kwanza wa Mzee wetu Edward maana wewe huchelewagi kuanza kurusha mawe iwapo utaigusa CCM na Makonda wao🚶🚶🚶🚶😂😂😂
Makosa yapi ya Edward Lowassa ya kujifunza toka kwake?Usipojifunza kupitia makosa ya waliotangulia, utakuwa mpumbavu wa kiwango cha lami!
Baba yako amekufa na miaka mingapi?hauna ndugu amekufa below 70?Wote walipata Laana toka Kkkt?Compare na Mwinyi, 90's
Lowasa amesaidia Makanisa na Misikiti kupata Viwanja na Siyo KKKT tuNawe kama walivyo Tomaso wengi, mtashangaa mkimwona Kilewo akipita tundu la sindani kwa imani huku wewe unamshangilia kama zuzu aliyeiba sadaka ya ardhi.
Huku alipora ardhi, pengine wewe alikupatia kiwanja kule kwingine alikopora.Lowasa amesaidia Makanisa na Misikiti kupata Viwanja na Siyo KKKT tu
Yawezekana Wewe ni Kijana wa Baghdad 🐼
Bado una hasira....