Masikini Lowassa, nilihisi haya yatamkuta, yamemkuta

Masikini Lowassa, nilihisi haya yatamkuta, yamemkuta

Kuyataja maovu yako ni kukuhukum? Endeleni na viwanda vya dhambi huko makanisani kwenu eti mkionywa mnahukumiwa.

Mnapoteza muda bora mkanywe pombe tu.
Watu kama wewe na mleta uzi wamekuwepo tangu enzi na enzi watu wenye husuda na unaa mwingi

Ni vema kwanza ukatoa boriti kwenye jicho lako ndipo utoe kibanzi kwenye jicho la nduguyo

Kumsengenya marehemu asiye weza kujitetea ni Zambi kama Zambi ya mauaji.
 
Watu kama wewe na mleta uzi wamekuwepo tangu enzi na enzi watu wenye husuda na unaa mwingi

Ni vema kwanza ukatoa boriti kwenye jicho lako ndipo utoe kibanzi kwenye jicho la nduguyo

Kumsengenya marehemu asiye weza kujitetea ni Zambi kama Zambi ya mauaji.
Mkuu hata Yuda Iskariote hadithi yake imehadithiwa ili binadamu tupate funzo jema.
 
Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.

Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ni kitabu, tuishi vyema ili watakao kisoma kitabu chako cha maisha, wafurahie hadithi ya maisha yako.

Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki.
Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.

Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa, kama sadaka yake.
Naamini kabla ya kutoa ardhi hiyo ,mzee Kilewo aliomba kwa Mungu.

Maaombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowassa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.

Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.

Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.

Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Ilikuwepo supermarket ya Imalaseko, Dry Cleaner na Gym , vyote vimekufa.
Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.

Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.

Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.

FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Wewee acha hizo si ungeandika wakati Yu hai. Futa huu uchafu
 
"Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji."

👆👆

Tangi Bovu kuna Benki ya NBC na siyo NMB. Au NMB nao wana jengo pale?

Halafu ule ukumbi pale unaitwa Salome Hall ni wa mjane wa John Komba Bi. Salome?
 
Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.

Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ni kitabu, tuishi vyema ili watakao kisoma kitabu chako cha maisha, wafurahie hadithi ya maisha yako.

Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki.
Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.

Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa, kama sadaka yake.
Naamini kabla ya kutoa ardhi hiyo ,mzee Kilewo aliomba kwa Mungu.

Maaombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowassa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.

Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.

Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.

Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Ilikuwepo supermarket ya Imalaseko, Dry Cleaner na Gym , vyote vimekufa.
Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.

Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.

Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.

FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Ukimaliza pia useme kuwa Lowassa anaidai CCM Arusha Bil. ngapi

Sawa?
 
Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.

Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ni kitabu, tuishi vyema ili watakao kisoma kitabu chako cha maisha, wafurahie hadithi ya maisha yako.

Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki.
Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.

Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa, kama sadaka yake.
Naamini kabla ya kutoa ardhi hiyo ,mzee Kilewo aliomba kwa Mungu.

Maaombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowassa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.

Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.

Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.

Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.

FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Hii ni taarifa ya uwongo kwa by 100%.

Nilikuwa ni mfanyakazi wa TBL kuanzia mwaka 1987 hadi 2000.

Ukweli ni kwamba TBL ilikuwa inamiliki nyumba na viwanja sehemu kadhaa hapa Dar es Salaam. Mwaka 1993 TBL iliuzwa kwa SAB ambayo baadaye ikabadilika kuwa SABMILLER na sasa InBev.

Executive Managing Director wa mwaka 1994-2000 alikuwa ni Daniel Niemandt (Mkaburu) na Anold Kileo alibakia kama Chief MD (ceremonial tu). Daniel Niemandt ndiye aliyesema kazi ya TBL ni "kutengeneza" bia na siyo ku maintain real estate.

Kwa hiyo akaamuru nyumba za Oysterbay na Ilala Sharifd Shamba ziuzwe na viwanja virudishwe Serikalini.

Arnold Kileo hakuwa na mchango wowote katika KKKT Mbezi Beach kupata kiwanja pale.

Ila ashukuriwe LOWASSA na wana KKKT kwa kuwa akiwa waziri wa ardhi aliwapa kipaumbele wao kwa mamlaka yake kama waziri mwenye dhamana ya ardhi kupata kiwanja pale.

Pengine watu wa kulalamika wangekuwa madhehebu mengine kama RC au Anglican au Jumuiya ya Waislamu kuhusu kutopatiwa kiwanja. Mengine ya yeye na Kimbisa kuwa na viwanja pale ni majungu yasiyo na tija.

RIP Edward Lowassa
 
Hii ni taarifa ya uwongo kwa by 100%.

Nilikuwa ni mfanyakazi wa TBL kuanzia mwaka 1987 hadi 2000.

Ukweli ni kwamba TBL ilikuwa inamiliki nyumba na viwanja sehemu kadhaa hapa Dar es Salaam. Mwaka 1993 TBL iliuzwa kwa SAB ambayo baadaye ikabadilika kuwa SABMILLER na sasa InBev.

Executive Managing Director wa mwaka 1994-2000 alikuwa ni Daniel Niemandt (Mkaburu) na Anold Kileo alibakia kama Chief MD (ceremonial tu). Daniel Niemandt ndiye aliyesema kazi ya TBL ni "kutengeneza" bia na siyo ku maintain real estate.

Kwa hiyo akaamuru nyumba za Oysterbay na Ilala Sharifd Shamba ziuzwe na viwanja virudishwe Serikalini.

Arnold Kileo hakuwa na mchango wowote katika KKKT Mbezi Beach kupata kiwanja pale.

Ila ashukuriwe LOWASSA na wana KKKT kwa kuwa akiwa waziri wa ardhi aliwapa kipaumbele wao kwa mamlaka yake kama waziri mwenye dhamana ya ardhi kupata kiwanja pale.

Pengine watu wa kulalamika wangekuwa madhehebu mengine kama RC au Anglican au Jumuiya ya Waislamu kuhusu kutopatiwa kiwanja. Mengine ya yeye na Kimbisa kuwa na viwanja pale ni majungu yasiyo na tija.

RIP Edward Lowassa

UKWELI MTUPU

Hapa nimekuelewa vizuri sana
 
Upuuzi mtupu, eti laana ilipoanzia!!? Hivi unajua huyu binadamu anaukwasi kiasi gani? Unajua Mwalimu nyerere aliwahi kuwa na mashaka na ukwasi wake? Unajua amezishika pesa tangu utawala wa Mwalimu? Yani lowasa adhulumu eka 1½ ya kanisa? Umerogwa?
Kanisa lenyewe lipi hilo? Kanisa linalichaguliwa maaskofu na ssirikali? Hilo kanisa?
Kanisa ni moja tu Duniani, Roman Catholic basi, gusa huo moto unase.
E. Lowassa anaidai CCM Arusha zaidi ya Bil. 5 alizowakopesha, kama kuna Mjumbe yeyote wa CCM hapa akanushe
 
Shida ni pale unapokuwa na mentality kuwa KIFO ni laana au Adhabu.

Mention any Pop, Saint , Nabii, Mtume etc etc ambae hajawahi kuwfa kwa kuwa ni mtu Mzuri,

You are such a naive na hizo story za mental slavery , Lowassa muda wake is due Kama wako utakavofika, that does not mean anything

Kama ulilkuwa hujui , Lowassa was a great man and a prophet of our time,

hata hao unaowaita marafiki zake wakubwa, ni ushamba wako …… EDO hajawahi kuwa na urafiki wa karibu na huyo mtu, they just grew up pamoja and known to each other….. that doesn’t mean friendship.

Edo was genuine man , na aki interact na wewe , he interacts with pure heart and love ….. he was such a gentleman and true soul

Hao unaowaita marafiki zake, hajawahi kuwa na urafiki nae , he knew him and helped him mentally and financially to shape his career path…… and ofcourse JK alifanikiwa sana kwa msaada wa EDO.

.wakati Edo anaomba kura ya Urais, he never asked for a favor from him , he tried for his best level , only it did not work , and remained pure man.

Alienda pia kumpongeza JPM kuonesha…. Heshima na akaomba wafuasi wake waisapoti serikali mpya ya JPM

Such a gentleman with maturity , he always wanted peace

Sio hao wengine waliojaza unafiki kwenye nyuso zao na uzandiki

The better thing is that , no one will get alive out of this world .
Well put bro!! Cheers 🍻
 
Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.

Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ni kitabu, tuishi vyema ili watakao kisoma kitabu chako cha maisha, wafurahie hadithi ya maisha yako.

Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki.
Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.

Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa, kama sadaka yake.
Naamini kabla ya kutoa ardhi hiyo ,mzee Kilewo aliomba kwa Mungu.

Maaombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowassa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.

Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.

Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.

Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Ilikuwepo supermarket ya Imalaseko, Dry Cleaner na Gym , vyote vimekufa.
Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.

Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.

Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.

FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Nilijua mtasema na yeye kauwawa,
kumbe kadhulum tu. mbona kudhulum nijambo la kawaida. Even Daudi the man of God alidhulumu mke wa mtu, na bible inatuambia kuwa Yuko heaven now with God.
 
Hii ni taarifa ya uwongo kwa by 100%.

Nilikuwa ni mfanyakazi wa TBL kuanzia mwaka 1987 hadi 2000.

Ukweli ni kwamba TBL ilikuwa inamiliki nyumba na viwanja sehemu kadhaa hapa Dar es Salaam. Mwaka 1993 TBL iliuzwa kwa SAB ambayo baadaye ikabadilika kuwa SABMILLER na sasa InBev.

Executive Managing Director wa mwaka 1994-2000 alikuwa ni Daniel Niemandt (Mkaburu) na Anold Kileo alibakia kama Chief MD (ceremonial tu). Daniel Niemandt ndiye aliyesema kazi ya TBL ni "kutengeneza" bia na siyo ku maintain real estate.

Kwa hiyo akaamuru nyumba za Oysterbay na Ilala Sharifd Shamba ziuzwe na viwanja virudishwe Serikalini.

Arnold Kileo hakuwa na mchango wowote katika KKKT Mbezi Beach kupata kiwanja pale.

Ila ashukuriwe LOWASSA na wana KKKT kwa kuwa akiwa waziri wa ardhi aliwapa kipaumbele wao kwa mamlaka yake kama waziri mwenye dhamana ya ardhi kupata kiwanja pale.

Pengine watu wa kulalamika wangekuwa madhehebu mengine kama RC au Anglican au Jumuiya ya Waislamu kuhusu kutopatiwa kiwanja. Mengine ya yeye na Kimbisa kuwa na viwanja pale ni majungu yasiyo na tija.

RIP Edward Lowassa
Kanusho lako lina utata kwa 100%, wakubaliana halafu kujipinga tena. Kwamba Arnold Kilewo alikuwa Kiongozi TBL, umesahihisha cheo tu .
Hujakanusha kuwa eneo hilo lilitolewa na Kilewo kwa KKKT Mbezi.
Hujakanusha kuwa eneo nusu alijimilikisha Lowasa na ndugu na dada yake, na marafiki wa karibu kama Kimbisa.

Kiujumla hujakanusha kitu, ukweli uko pale pale.
 
Hii ni taarifa ya uwongo kwa by 100%.

Nilikuwa ni mfanyakazi wa TBL kuanzia mwaka 1987 hadi 2000.

Ukweli ni kwamba TBL ilikuwa inamiliki nyumba na viwanja sehemu kadhaa hapa Dar es Salaam. Mwaka 1993 TBL iliuzwa kwa SAB ambayo baadaye ikabadilika kuwa SABMILLER na sasa InBev.

Executive Managing Director wa mwaka 1994-2000 alikuwa ni Daniel Niemandt (Mkaburu) na Anold Kileo alibakia kama Chief MD (ceremonial tu). Daniel Niemandt ndiye aliyesema kazi ya TBL ni "kutengeneza" bia na siyo ku maintain real estate.

Kwa hiyo akaamuru nyumba za Oysterbay na Ilala Sharifd Shamba ziuzwe na viwanja virudishwe Serikalini.

Arnold Kileo hakuwa na mchango wowote katika KKKT Mbezi Beach kupata kiwanja pale.

Ila ashukuriwe LOWASSA na wana KKKT kwa kuwa akiwa waziri wa ardhi aliwapa kipaumbele wao kwa mamlaka yake kama waziri mwenye dhamana ya ardhi kupata kiwanja pale.

Pengine watu wa kulalamika wangekuwa madhehebu mengine kama RC au Anglican au Jumuiya ya Waislamu kuhusu kutopatiwa kiwanja. Mengine ya yeye na Kimbisa kuwa na viwanja pale ni majungu yasiyo na tija.

RIP Edward Lowassa
Uzi ufungwe
 
Back
Top Bottom