Masikini Lowassa, nilihisi haya yatamkuta, yamemkuta

Masikini Lowassa, nilihisi haya yatamkuta, yamemkuta

Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.

Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ninkitabu, tuishi ili wakao kisoma wafurahie hadithi ya maisha yako.

Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki. Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.

Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa.
Maombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowasa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.

Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.

Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.

Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Ilikuwepo supermarket ya Imalaseko, Dry Cleaner na Gym , vyote vimekufa.
Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.

Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.

Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.

FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Dah!..
 
Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.

Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ninkitabu, tuishi ili wakao kisoma wafurahie hadithi ya maisha yako.

Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki. Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.

Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa.
Maombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowasa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.

Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.

Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.

Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Ilikuwepo supermarket ya Imalaseko, Dry Cleaner na Gym , vyote vimekufa.
Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.

Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.

Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.

FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Lowassa namfahamu kwa sababu nimefanya naye kazi akiwa kijana Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu. Alikuwa na mori wa kazi. Alisaidia watu wengi. Ukitaja makosa yake ni namna nyingine tu ya kusema alikuwa binadamu, siyo malaika. Kila binadamu ana makosa yake ingawa wenzetu wenye madaraka makubwa makosa yao yana madhara makubwa zaidi. Vianzo vya makosa ni vingi. Kutokujua, kudanganywa. Tumwombee Lowassa kheri na pia tumwombe Mungu na sisi hatimaye tuwe na mwisho mwema. RIP Edward Lowassa.
 
Nilichoeleza ni kweli tupu na umeshindwa kupresent a counter argument.
Kwa kuthibitisha kuwa uko weak upstairs, nikusahihishe tu kuwa neno linaitwa fallacy na si falacy. Pili my presentation of facts and historical narration is correct, na hujaipinga popote kwa "falacy" yako.

Kiazi kabisa and slave

Kama ningeandika neno mzshi badala mzushi , would you comment the same thing ?

Hivi nyie RANGI nyeusi hasa mnaoishi huko third world , why kwenye English inapokuja suala hata la typing error or grammar ishu linaleta attention sana kwenu? Ni utumwa au ?

Dogo English sio akili , it is just a language , just note that. una sound akili yako ipo kwenye sandwich.

Nina hakika huwezi kuongea daki 5 straight English bila kuuma uma, and that is not a problem ndugu….. ni lugha tu hiyo. Badili mtazamo wa akili ndogo
 
Kiazi kabisa and slave

Kama ningeandika neno mzshi badala mzushi , would you comment the same thing ?

Hivi nyie RANGI nyeusi hasa mnaoishi huko third world , why kwenye English inapokuja suala hata la typing error or grammar ishu linaleta attention sana kwenu? Ni utumwa au ?

Dogo English sio akili , it is just a language , just note that. una sound akili yako ipo kwenye sandwich.

Nina hakika huwezi kuongea daki 5 straight English bila kuuma uma, and that is not a problem ndugu….. ni lugha tu hiyo. Badili mtazamo wa akili ndogo
Watanzania wanapenda kujikita kwenye petty issues sana
Kuongea kingereza ndo kipimo cha akili
 
Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.

Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ninkitabu, tuishi ili wakao kisoma wafurahie hadithi ya maisha yako.

Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki. Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.

Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa.
Maombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowasa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.

Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.

Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.

Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Ilikuwepo supermarket ya Imalaseko, Dry Cleaner na Gym , vyote vimekufa.
Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.

Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.

Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.

FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Ups & downs ktk harakati za maisha ya mtu yeyote si justification ya laana.

"Laana" ni dhana ya mtu mwenyewe kichwani mwake.

Usii - justify dhana yako potofu kwa maisha ya mzee huyu. Kama ni dhambi fulani aliifanya, wewe huwezi kuwa mhukumu wa dhambi hiyo Bali ni Mungu mwenyewe aliyemuumba.

Na honestly, story yako ni maneno tu yasiyoweza kuthibitishwa na ushahidi wowote kama kweli unao. Possibly umesikia tu na ukayabeba hivyo hivyo..

By the way, hata kama ndiyo hivyo, kwani ni nani amhesabiaye mtu haki au dhambi?

Na Je, ni nani anayesamehe dhambi? Je, si ni Mungu Yehova mwenyewe?

Wewe unajua Edward Ngoyai Lowassa ametengeneza vipi na Mungu wake bila wewe kujua pamoja na hayo unayoyaona wewe ni makosa au dhambi zake?

Hayo unayoyaona kama ups and downs za mzee Lowassa haziwezi kuwa ni justification ya hicho ambacho wewe umekiita "laana"..

Hakuna mtu ambaye maisha yake ni tambarare tu. Kila mtu ana ups & downs zake. Na hiyo ndiyo raha na radha ya maisha ilipo!

Wewe hapo ulipo una ups & downs za kutosha za maisha yako. Wewe hapo failures & successes za kutosha za maisha yako.

Je, tuseme nini mahali ambapo uli - fail au uliangukia pua?

Ni kwa sababu umelaaniwa?

Looh!.... Kama unaamini hivyo, basi una shida upstairs!!
 
Ku
Poleni sana, kwa kweli kibinadamu nawahurumia. Lakini historia huwa wakati mwingine ina mafunzo machungu.
Na ningependa kukuambia, Jane, kuwapost hii si ya kumchafua marehemu, bali kueleza yaliyotokea kweli na matokeo yake kiimani.
Kumbe ndio maana hakufanikiwa kisiasa.
Mi nilijua ni sababu zingine zaidi ya hizo.
 
Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.

Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ninkitabu, tuishi ili wakao kisoma wafurahie hadithi ya maisha yako.

Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki. Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.

Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa.
Maombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowasa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.

Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.

Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.

Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Ilikuwepo supermarket ya Imalaseko, Dry Cleaner na Gym , vyote vimekufa.
Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.

Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.

Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.

FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Dah, na wewe umedumu nalo moyoni muda mrefu sana bila shaka ulikua ukiomba sana hili lililotokea litokee ndipo utoe nyongo dah 🐒

Hata na hivyo Lazima limekupa madhara kiasi moyoni maana uponyaji na ahuweni ya gubu huwa ni msamaha, kung'ag'ana nalo muda wote huo dah, si mchezo...

Hata na hivyo hayupo aliemkamilifu.
Mzee ameumaliza mwendo.
Mwenyezi Mungu ampokee na kumuweka mahali anapostahili...
 
"Laana" ni dhana ya mtu mwenyewe kichwani mwake. Hii ni dhana yako tu na wala usiipachike kwa mzee wa watu..

Maana story yako ni maneno tu yasiyoweza kuthibitishwa na Ushahidi wowote kama kweli unao..

By the way, hata kama ndiyo hivyo, kwani amhesabiaye mtu dhambi?

Na Je, ni nani anayesamehe dhambi? Je, si ni Mungu Yehova mwenyewe?

Wewe unajua Edward Ngoyai Lowassa ametengeneza vipi na Mungu wake bila wewe kujua pamoja na hayo unayoyaona wewe ni makosa au dhambi zake?

Hayo unayoyaona kama ups and downs za mzee Lowassa haziwezi kuwa ni justification ya hicho ambacho wewe umekiita "laana"..

Hakuna mtu ambaye maisha yake ni tambarare tu. Kila mtu ana ups & downs zake. Na hiyo ndiyo raha na radha ya maisha ilipo!

Wewe hapo ulipo una ups & downs za kutosha za maisha yako. Wewe hapo failures & successes za kutosha za maisha yako.

Je, tuseme nini mahali ambapo uli - fail au uliangukia pua?

Ni kwa sababu umelaaniwa?

Looh!.... Kama unaamini hivyo, basi una shida upstairs!!
Ishini vizuri na watu acha maneno mengi

Tuwe tayari kujifunza na sio kupinga pinga tu
 
Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.

Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ninkitabu, tuishi ili wakao kisoma wafurahie hadithi ya maisha yako.

Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki. Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.

Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa.
Maombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowasa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.

Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.

Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.

Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Ilikuwepo supermarket ya Imalaseko, Dry Cleaner na Gym , vyote vimekufa.
Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.

Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.

Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.

FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.

Dunia hii haina mbabe. Na siku zetu zinahesabika. Mpaka leo hii watu wachache bado wanawadhulumu watanzania kwa kutumia mali na madaraka wanayopewa kwa hila na dhuluma. Kama vile wao na wajukuu zao wataishi milele.

Muda unafundisha mengi. Baadae tunajikuta tunabaki kujilaumu na kusikitika. Majuto mjukuu. Cha kushangaza ni kama vile bado hatujifunzi.
RIP Mzee Lowasa. It has never been easy anyway...ndio maisha
 
Back
Top Bottom