Masikini Lowassa, nilihisi haya yatamkuta, yamemkuta

Masikini Lowassa, nilihisi haya yatamkuta, yamemkuta

Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.

Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ninkitabu, tuishi ili wakao kisoma wafurahie hadithi ya maisha yako.

Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki. Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.

Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa.
Maombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowasa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.

Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.

Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.

Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.

Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.

Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.

FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.

Shida ni pale unapokuwa na mentality kuwa KIFO ni laana au Adhabu.

Mention any Pop, Saint , Nabii, Mtume etc etc ambae hajawahi kuwfa kwa kuwa ni mtu Mzuri,

You are such a naive na hizo story za mental slavery , Lowassa muda wake is due Kama wako utakavofika, that does not mean anything

Kama ulilkuwa hujui , Lowassa was a great man and a prophet of our time,

hata hao unaowaita marafiki zake wakubwa, ni ushamba wako …… EDO hajawahi kuwa na urafiki wa karibu na huyo mtu, they just grew up pamoja and known to each other….. that doesn’t mean friendship.

Edo was genuine man , na aki interact na wewe , he interacts with pure heart and love ….. he was such a gentleman and true soul

Hao unaowaita marafiki zake, hajawahi kuwa na urafiki nae , he knew him and helped him mentally and financially to shape his career path…… and ofcourse JK alifanikiwa sana kwa msaada wa EDO.

.wakati Edo anaomba kura ya Urais, he never asked for a favor from him , he tried for his best level , only it did not work , and remained pure man.

Alienda pia kumpongeza JPM kuonesha…. Heshima na akaomba wafuasi wake waisapoti serikali mpya ya JPM

Such a gentleman with maturity , he always wanted peace

Sio hao wengine waliojaza unafiki kwenye nyuso zao na uzandiki

The better thing is that , no one will get alive out of this world .
 
Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.

Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ninkitabu, tuishi ili wakao kisoma wafurahie hadithi ya maisha yako.

Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki. Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.

Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa.
Maombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowasa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.

Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.

Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.

Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.

Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.

Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.

FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Vipi upande wa babake rizi 1 yeye ni msafi?
 
Lala Unono Mzee Lowassa, Medani ya Siasa Tanzania uliitikisa na ukawafanya Wagonjwa wa Moyo kupiga push ups.

Huku wakikuita eti wewe ndio Mgonjwa ukatuthibitishia kuwa Busara na Hekima ni kumnyamazia Mjinga mwenye Betrii Moyoni.

Kamsalimie Wahego mwambie atuambie lilipo Kaburi la Ben Saanane angalao na Roho Ben irest in peace.
 
Shida ni pale unapokuwa na mentality kuwa KIFO ni laana au Adhabu.

Mention any Pop, Saint , Nabii, Mtume etc etc ambae hajawahi kuwfa kwa kuwa ni mtu Mzuri,

You are such a naive na hizo story za mental slavery , Lowassa muda wake is due Kama wako utakavofika, that does not mean anything

Kama ulilkuwa hujui , Lowassa was a great man and a prophet of our time,

hata hao unaowaita marafiki zake wakubwa, ni ushamba wako …… EDO hajawahi kuwa na urafiki wa karibu na huyo mtu, they just grew up pamoja and known to each other….. that doesn’t mean friendship.

Edo was genuine man , na aki interact na wewe , he interacts with pure heart and love ….. he was such a gentleman and true soul

Hao unaowaita marafiki zake, hajawahi kuwa na urafiki nae , he knew him and helped him mentally and financially to shape his career path…… and ofcourse JK alifanikiwa sana kwa msaada wa EDO.

.wakati Edo anaomba kura ya Urais, he never asked for a favor from him , he tried for his best level , only it did not work , and remained pure man.

Alienda pia kumpongeza JPM kuonesha…. Heshima na akaomba wafuasi wake waisapoti serikali mpya ya JPM

Such a gentleman with maturity , he always wanted peace

Sio hao wengine waliojaza unafiki kwenye nyuso zao na uzandiki

The better thing is that , no one will get alive out of this world .
Pengine hujasoma na kuelewa maudhui ya kilchoandikwa.
Watu wanafeli kwa kujump into conclusions.
Kifo ni hitimisho ya maisha magumu aliyopitia mlengwa, tariban miaka 25.
 
Weka na mda wako wa kufa hapa kama sio maneno ya kitoto hayo
Eti alikuwa na miaka 20 mbele
Jamani mimi sina uhakika kama ntaamka asubuhi ila wewe unapanga kabisa maisha

Simjui huyu mzee personally ila alikuwa binadamu ambae mda wake wake wa kuishi umefika
Sina haja ya kukumbusha kuwa sio kifo tu bali maisha yote ni fumbo na anakufa mtu kwa umri wowote ule
Huijui siku yako na hatuwezi kujipangia pia bali tuombe mwisho mwema
 
Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.

Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ninkitabu, tuishi ili wakao kisoma wafurahie hadithi ya maisha yako.

Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki. Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.

Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa.
Maombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowasa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.

Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.

Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.

Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.

Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.

Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.

FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Poor thinking capacity, unataka kusema kuwa kila mtu akufaye ni laana!?
 
Nafikiri hujasoma ni You are committing a FALACY! >
Nilichoeleza ni kweli tupu na umeshindwa kupresent a counter argument.
Kwa kuthibitisha kuwa uko weak upstairs, nikusahihishe tu kuwa neno linaitwa fallacy na si falacy. Pili my presentation of facts and historical narration is correct, na hujaipinga popote kwa "falacy" yako.
 
Ila usihukumu mkuu hakuna mtu au binadamu ambaye hataonja mauti wewe mwenyewe au mimi hivyo tusiwe wepesi kuhukumu mkuu
 
Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.

Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ninkitabu, tuishi ili wakao kisoma wafurahie hadithi ya maisha yako.

Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki. Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.

Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa.
Maombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowasa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.

Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.

Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.

Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Ilikuwepo supermarket ya Imalaseko, Dry Cleaner na Gym , vyote vimekufa.
Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.

Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.

Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.

FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Pale mjini kulikuwa na jengo maarufu lililojulikana kama Nyumba ya Sanaa, yule mama mzungu aliyekuwa ndio msimamizi wa mradi ule hadi anakufa alikuwa analalamika kuwa Edo ndie aliwadhurumu lile jengo na hadi likabomolewa na kujengwa benki ya NMB, pia tunamkumbuka Nape alipokuwa Nape kweli kuhusu sakata la kiwanja cha Jumuia ya Umoja wa Vijana ambapo sasa wahindi wamepomoromosha mijengo, pale Nashera Morogoro hadithi ni hizohizo kama ilivyo kwa wanasiasa wengi Edo hakuwa msafi hata kidogo nadhani tunamkumbuka mwalimu JK Nyerere alipomkataa na kuwaambia akina Rashidi kama mnapenda mkampikie chai. Kuna yule mzee wa Musoma alikuwa katibu wa Nyerere aliwahi kuandika juu ya ''usafi'' wa Edo na kisa cha kwanini Nyerere alimkataa.
 
Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.

Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ninkitabu, tuishi ili wakao kisoma wafurahie hadithi ya maisha yako.

Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki. Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.

Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa.
Maombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowasa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.

Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.

Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.

Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Ilikuwepo supermarket ya Imalaseko, Dry Cleaner na Gym , vyote vimekufa.
Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.

Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.

Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.

FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.
Pumzika kwa amani. Ulisingiziwa mengi sana ili usipate uraisi. Nyumba zote zilizokuwa zinajengwa zilikuwa za fisadi Lowasa. Hata kama umeondoka, Mungu akulipie kisasi😢
 
Mkuu mleta mada hii story kama ulishindwa kuileta kipindi ana hama ccm kwenda chadema mpk kugombea urais ...basi mie nakushauri waambie mods waifute tu...maana hata kama ni kweli ila huna ushahidi zaidi ya lile jengo pale pembeni kuonekana halina wapangaji ambao nao sio ushahidi vile vile
 
Masikini Mh Edward Ngoyai Lowassa, mwanasiasa machachari tuliyemjua kwa miaka mingi, ametangulia mbele za haki.

Si vizuri kumuongelea vibaya marehemu, lakini hata Rais Mwinyi aliwahi kusema, maisha ninkitabu, tuishi ili wakao kisoma wafurahie hadithi ya maisha yako.

Hisia zangu ni ile miaka ya 94-2000 ambapo Lowassa alikuwa waziri wa Ardhi.
Alitenda kosa ambalo kimsingi nikajiambia, huyu mzee kajichotea laana isiyosameheka.
Lowassa kama watu wengi wa kaskazini wanapenda sana ardhi, iwe ya kudhulumu au haki. Katika hili nasikitika kusema alidhulumu ardhi ya KKKT Mbezi Beach, pale Tangi Bovu.

Mzee mmoja maarufu anaitwa Arnold Kileo, alikuwa Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Breweries. Mzee Kileo alitoa ardhi yote karibia eka tatu au nne kwa kanisa.
Maombi yalipoenda wizarani kubadili jina, kiwanja kikakatwa nusu bin nusu.
Nusu moja akajimilikisha kwake Lowasa, ndugu zake na marafiki, kina Kimbisa, na nusu ndiyo akakibakishia kanisa.

Waumini wa hapo walishangaa kwani walijua Lowasa ni Mluteri, kwa nini afanye vile?
Wakamwomba Baba Askofu Sendoro akamwone waziri na kumsihi arudishe ile nusu ya eneo, Lowassa alikataa.

Alipokataa Baba Askofu alishukuru na kumtakia heri, Lawassa asijue kuwa hapo tayari ndipo laana ilipotoka.

Cha kushangaza, kila aliyeweka mradi katika kile kiwanja kilichoporwa, mradi ulikufa, TANESCO walikodi ofisi pale wakaishia kuhama. Ilikuwepo supermarket ya Imalaseko, Dry Cleaner na Gym , vyote vimekufa.
Hata jengo lililo na benki ya NMB pale nayo linakosa wapangaji.

Tukija kwa ndugu yetu Lowassa ,safari yake ya kisiasa ilienda kusuasua. Hata zlipochaguliwa waziri Mkuu, hakudumu.
Lowassa akakosana na rafikiye mkubwa, Jakaya Kikwete, na marafiki hao wakawa maadui.
Mwisho alihama CCM kabisa, na uamuzi bado haukuwa na tija, akarudi.
Lowassa akawa kama mwanasiasa anayetangatanga nyikani.

Pale kanisa la Mbezi KKKT, Lowassa hakuwahi kuslikwa shughuli yoyote ya harambee, ingawaje Sumaye alialikwa mara nyingi.

FUNZO, jamani tumwogope Mungu na tumtumikie hata tukiwa na vyeo vikubwa.
Kwa kufariki akiwa na miaka 70, Lowassa alikuwa bado mdogo mwenye miaka si chini ya 15-20 mbele. Lakini yote ni mapenzi ya Mungu RIP Edward Ngoyai Lowassa.


Kwanini hujatuma hii topic jana🤔
 
Pale mjini kulikuwa na jengo maarufu lililojulikana kama Nyumba ya Sanaa, yule mama mzungu aliyekuwa ndio msimamizi wa mradi ule hadi anakufa alikuwa analalamika kuwa Edo ndie aliwadhurumu lile jengo na hadi likabomolewa na kujengwa benki ya NMB, pia tunamkumbuka Nape alipokuwa Nape kweli kuhusu sakata la kiwanja cha Jumuia ya Umoja wa Vijana ambapo sasa wahindi wamepomoromosha mijengo, pale Nashera Morogoro hadithi ni hizohizo kama ilivyo kwa wanasiasa wengi Edo hakuwa msafi hata kidogo nadhani tunamkumbuka mwalimu JK Nyerere alipomkataa na kuwaambia akina Rashidi kama mnapenda mkampikie chai. Kuna yule mzee wa Musoma alikuwa katibu wa Nyerere aliwahi kuandika juu ya ''usafi'' wa Edo na kisa cha kwanini Nyerere alimkataa.
Du.... nyumba ya Sanaa, ule msonge, wewe kweli kijana mwenzangu wa siku nyingi!
Wengi kiuhalisia hawamjui Lowassa, umemuelezea kiukweli kabisa.
 
Back
Top Bottom