Kula mwanawane wee kula tuu maisha haya haya...hakuna kifo hakina sababu. Kisukari na presha nazo sababuMkumbuke na sisi wa kazi ngumu kila siku. Msitupangie maisha.... me nakula milo minne kwa siku na hamuezi nifanya kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula mwanawane wee kula tuu maisha haya haya...hakuna kifo hakina sababu. Kisukari na presha nazo sababuMkumbuke na sisi wa kazi ngumu kila siku. Msitupangie maisha.... me nakula milo minne kwa siku na hamuezi nifanya kitu
NakaziaKula mwanawane wee kula tuu maisha haya haya...hakuna kifo hakina sababu. Kisukari na presha nazo sababu
Hapo nimeelewaUnajua mda anao lala huyu professor, ana research za kufanya usiku, huenda anallala kuanzia saa sita ucku.
Masikini wengi wanapenda misiba itokee kwa majirani zao ili wapate kubadili mlo.Masikini wengi tunapenda sanaa kula hata tukiwa hatuna jaa, mtu anaenda msibani kisa kula.
mwanangu lazima apate breakfast ya nguvu mayai,maziwa ,matunda kwa Santa Mimi baba yake nimekuwa hivyo nipo mtu mzima na nipo fit.Kwani kijana wako wa 18yrs anaupungufu gani wa afya unao mlazimisha mpaka anywe chai kila siku? Hapo unafikili hao wenye 50+ walianzia hapo hawajawihi kua 18yrs matatizo mengi ya afya huanzia udogoni mkuu.
chakula kinapikwa msibani ili watu wale si ndo hivyo,Masikini wengi wanapenda misiba itokee kwa majirani zao ili wapate kubadili mlo.
Sawa kabisa kichwa kimoja kipo deep sana kwenye meditation..Tabia mbaya ya ulaji ni hatari sana, siku hizi Kuna hii tabia ya "visahani" unakuta watu watatu wanashughulika na sinia kubwa lenye kila chakula, vyakula vingi vya kwenye hivyo visinia ni Fat + wanga kwa wingi hapo afya ya moyo inakuwa matatani.
Ulaji huu ni msukumo wa ulafi na tamaa isiyo na kiasi.
Tusimbeze Dr. Janabi, ni mudau wa afya aliyeamua kuusema ukweli.
Katika hili msikilize pia jamaa mmoja mhindi anaitwa Sandhguru.
Ndiyo, lakini kisipopikwa chakula kitamu watu wanalalamika.chakula kinapikwa msibani ili watu wale si ndo hivyo,
Afya bora inajengwa kuanzia umri mdogo..ushauri wake ni kwa watu wa Rika lote au anatoa ushauri kwa wazee 50+
maana kijana wangu wa 18 years unashauri asinywe chai,huyu Prof sijamuelewa kabisa?
Aseeh ni kweli lakini mazingira ndo yanatufanya tutoe macho kwenye sherehe misibani , au ugenini kisa ni pilau au waliNdiyo, lakini kisipopikwa chakula kitamu watu wanalalamika.
Hapo ndio unapokoseakunywa pombe sio lazima ushauri wa bure Dr......
Unafuata maelekezo yote ya mlo kisha unakuja kufa kwa ajali ya Bodaboda!Jamani hebu tupunguze masharti hakuna atakae ishi miaka 200, usipende kuweka tumasharti masharti katika kula jasho yako.
Kumbuka pesa yako ni hiyo unayoila hizi vitu na mali tutaviacha na wataviuzi na wao wale.
Usiendekeza maneno ya watu kuhusu kunenepa kwako.
“Ushauri wangu hauna gharama lakini kuna kupunguziwa gharama, wangapi mmekunywa chai , chai sio lazima na msije mkasema Janabi amekataza kunywa chai.
Breakfast maana yake kukatiza mlo sio unakula sana, mimi binafsi chochote nachokula wasaidizi wangu wanajua nakula saa 6, halafu usiku nakula saa2 usiku, kuna siku naanza kula saa8 mchana matunda halafu nakula saa12 mpaka kesho”, Prof.Mohamed Janabi, Mshauri wa Rais na mkurugenzi Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Ndio maana mna matumbo makubwaa kama furushiMkumbuke na sisi wa kazi ngumu kila siku. Msitupangie maisha.... me nakula milo minne kwa siku na hamuezi nifanya kitu