Masikini tulio wengi tunakula kimazoea, mshahara wako 400k ila una kitambi

Masikini tulio wengi tunakula kimazoea, mshahara wako 400k ila una kitambi

Ni ushauri kwa ajiri ya afya yako masikini kufa kwa ajiri ya bloodpressure sio poa, jua bloodpressure unasababisha na mafuta mengi mwiling mpaka kuleta constral katika mfumo wa mishipa
Angesema tuepuke junk food na sio kutuhesabia milo
 
Back
Top Bottom