MPANGAPANGA
Member
- Sep 11, 2024
- 82
- 103
elimu yangu ya sayansi kimu enzi za kambarage inanitosha siitaji udakitari ili kujua nimeshashiba wali maharagwe😂Wewe ndo dskitari nani mkuu? Au ni maoni yako kutokana na jinsi unavo penda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
elimu yangu ya sayansi kimu enzi za kambarage inanitosha siitaji udakitari ili kujua nimeshashiba wali maharagwe😂Wewe ndo dskitari nani mkuu? Au ni maoni yako kutokana na jinsi unavo penda.
Angesema tuepuke junk food na sio kutuhesabia miloNi ushauri kwa ajiri ya afya yako masikini kufa kwa ajiri ya bloodpressure sio poa, jua bloodpressure unasababisha na mafuta mengi mwiling mpaka kuleta constral katika mfumo wa mishipa
Unazan huwa anaelewa,kuna wakat ananiletea chakula mpaka kitandaniHahahaha boss,wewe Ni kichwa Cha familiya,panga naye jinsi ya kukuandalia,ajue unachotaka na usichotaka,akubembelezee hivyo unavyotaka