M MPANGAPANGA Member Joined Sep 11, 2024 Posts 82 Reaction score 103 Dec 12, 2024 #61 Covax said: Wewe ndo dskitari nani mkuu? Au ni maoni yako kutokana na jinsi unavo penda. Click to expand... elimu yangu ya sayansi kimu enzi za kambarage inanitosha siitaji udakitari ili kujua nimeshashiba wali maharagwe😂
Covax said: Wewe ndo dskitari nani mkuu? Au ni maoni yako kutokana na jinsi unavo penda. Click to expand... elimu yangu ya sayansi kimu enzi za kambarage inanitosha siitaji udakitari ili kujua nimeshashiba wali maharagwe😂
Hamumu JF-Expert Member Joined Jul 12, 2021 Posts 1,439 Reaction score 3,587 Dec 12, 2024 #62 Covax said: Ni ushauri kwa ajiri ya afya yako masikini kufa kwa ajiri ya bloodpressure sio poa, jua bloodpressure unasababisha na mafuta mengi mwiling mpaka kuleta constral katika mfumo wa mishipa Click to expand... Angesema tuepuke junk food na sio kutuhesabia milo
Covax said: Ni ushauri kwa ajiri ya afya yako masikini kufa kwa ajiri ya bloodpressure sio poa, jua bloodpressure unasababisha na mafuta mengi mwiling mpaka kuleta constral katika mfumo wa mishipa Click to expand... Angesema tuepuke junk food na sio kutuhesabia milo
Wagumu Tunadumu JF-Expert Member Joined Dec 10, 2022 Posts 5,276 Reaction score 17,354 Dec 12, 2024 #63 Lastmost said: Hahahaha boss,wewe Ni kichwa Cha familiya,panga naye jinsi ya kukuandalia,ajue unachotaka na usichotaka,akubembelezee hivyo unavyotaka Click to expand... Unazan huwa anaelewa,kuna wakat ananiletea chakula mpaka kitandani
Lastmost said: Hahahaha boss,wewe Ni kichwa Cha familiya,panga naye jinsi ya kukuandalia,ajue unachotaka na usichotaka,akubembelezee hivyo unavyotaka Click to expand... Unazan huwa anaelewa,kuna wakat ananiletea chakula mpaka kitandani
Davidson david JF-Expert Member Joined Jul 26, 2023 Posts 1,029 Reaction score 1,051 Dec 12, 2024 #64 Hahahah