Masikini wanaroho mbaya sana

Masikini wanaroho mbaya sana

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Ndugu zangu masikini tuna roho mbaya sana, ajabu tunachukiana wenyewe kwa wenyewe.

Masikini hapendi kabisa kuona mwenzie kapiga hatua kumaisha. Masikini wanaumia hata ukiwa unavaa vizuri, masikini wanaumia kuona wewe unasomesha wanao shule nzuri.

Ukijibana ukafanikiwa kujenga kakibanda kako cha kuishi watasema yule ni mwizi pesa katoa wapi? Masikini hapendi kumuinua masikini mwenzie kila siku anapenda awe nacho yeye tu, masikini tuna roho mbaya sana.
 
Ndugu zangu masikini tuna roho mbaya sana, ajabu tunachukiana wenyewe kwa wenyewe.

Masikini hapendi kabisa kuona mwenzie kapiga hatua kumaisha. Masikini wanaumia hata ukiwa unavaa vizuri, masikini wanaumia kuona wewe unasomesha wanao shule nzuri.

Ukijibana ukafanikiwa kujenga kakibanda kako cha kuishi watasema yule ni mwizi pesa katoa wapi? Masikini hapendi kumuinua masikini mwenzie kila siku anapenda awe nacho yeye tu, masikini tuna roho mbaya sana.
Ndio maana kwenye maisha kuna hatua kuzifikia inakubidi kwanza uwe bize sana na mambo yako ili kuepuka wivu na hasadi. Halafu wivu watu wote wanao, unahitaji sababu tu ya kujidhihirisha.
Hivyo ni vizuri kila mtu at some point awe serious na maisha yake na awe na mipaka ya mazoea ili kuepusha mambo ya wivu.
 
Ndugu zangu masikini tuna roho mbaya sana, ajabu tunachukiana wenyewe kwa wenyewe.

Masikini hapendi kabisa kuona mwenzie kapiga hatua kumaisha. Masikini wanaumia hata ukiwa unavaa vizuri, masikini wanaumia kuona wewe unasomesha wanao shule nzuri.

Ukijibana ukafanikiwa kujenga kakibanda kako cha kuishi watasema yule ni mwizi pesa katoa wapi? Masikini hapendi kumuinua masikini mwenzie kila siku anapenda awe nacho yeye tu, masikini tuna roho mbaya sana.
Kabisa mkuu!

Hebu angalia hawa maskini wasiozidi 20 wa humu jf wanavyohangaika na mafanikio ya dp world na serikali ya mama Samia inayoongozwa na mama samia mwenyewe wasiyempenda. Wanahangaika kumchafua lakini issue kubwa ni roho ngumu tu ya kwanini waliyonayo inayochochewa na umaskini wao. Maskini hawa wa jf wanaboa sana!!!
 
Umasikini ni laana sana .
Utazaliwa kwenye ukoo wa masikini utajikongoja usome kwa tabu na shida wakisikia shuleni unafaulu watafurah usoni wanaumia moyon

Utamaliza chuo watafurahi kukuona bila kazi ilihali na wao hawana kazi , ukipata watasema unaringa siku hizi , wakikaa kwenye vikao vyao ajabu ni kuwa watazungukana kuja kwako kukopa kwa siri na kusema fulani anakusema kumbe walikusema wote .

Mwisho watatamani siku moja uachishwe kazi waje kukupa pole yaan umasikini hauna jema .

Ndugu ukizaliwa kwenye ukoo wa kimasikini pambana sana utoboe ila kaa mbali na ndugu toa msaada ukiamua sio wao wakupelekeshe lakin usiweke ukaribu na ndugu zako masiki hata kidogo sio wema hata kidogo .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Umasikini ni laana sana .
Utazaliwa kwenye ukoo wa masikini utajikongoja usome kwa tabu na shida wakisikia shuleni unafaulu watafurah usoni wanaumia moyon

Utamaliza chuo watafurahi kukuona bila kazi ilihali na wao hawana kazi , ukipata watasema unaringa siku hizi , wakikaa kwenye vikao vyao ajabu ni kuwa watazungukana kuja kwako kukopa kwa siri na kusema fulani anakusema kumbe walikusema wote .

Mwisho watatamani siku moja uachishwe kazi waje kukupa pole yaan umasikini hauna jema .

Ndugu ukizaliwa kwenye ukoo wa kimasikini pambana sana utoboe ila kaa mbali na ndugu toa msaada ukiamua sio wao wakupelekeshe lakin usiweke ukaribu na ndugu zako masiki hata kidogo sio wema hata kidogo .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
siwasaidii ndugu zangu masikini,, nilijifunza muda tu labda mtu baki.
 
siwasaidii ndugu zangu masikini,, nilijifunza muda tu labda mtu baki.
Mungu akubariki na akuongezee maarifa zaidi kuna siri ya mafaniko katika kutowasaidia hawa watu .

Kwenye ukoo ungana na nduguzo matajiri na waliokwisha kombolewa kifikra ila hawa mbembenya watakuvuta chini.

Umenifurahisha safi kabisa .

Vipi bwana utakuja taifa tarehe 6 eti yupo Ali kiba nataka nilipe tukaenjoy pale VVIP maana kuna hela nimepiga

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Mbona mimi bado ni maskini ila sina roho mbaya na wivu kwa kiumbe yoyote yule?
 
Umasikini ni laana sana .
Utazaliwa kwenye ukoo wa masikini utajikongoja usome kwa tabu na shida wakisikia shuleni unafaulu watafurah usoni wanaumia moyon

Utamaliza chuo watafurahi kukuona bila kazi ilihali na wao hawana kazi , ukipata watasema unaringa siku hizi , wakikaa kwenye vikao vyao ajabu ni kuwa watazungukana kuja kwako kukopa kwa siri na kusema fulani anakusema kumbe walikusema wote .

Mwisho watatamani siku moja uachishwe kazi waje kukupa pole yaan umasikini hauna jema .

Ndugu ukizaliwa kwenye ukoo wa kimasikini pambana sana utoboe ila kaa mbali na ndugu toa msaada ukiamua sio wao wakupelekeshe lakin usiweke ukaribu na ndugu zako masiki hata kidogo sio wema hata kidogo .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
ukweli mtupu
 
- utajengaje ghorofa halafu jirani yako anakaa kwenye chumba kimoja, lazima ulogwe tu muwe sawa 😂
 
ukweli mtupu
Ishi humo yaani jitu ulilisaidia sana na ulipambana liishi vyema .

Siku umeiba tuhela kidogo kazini wakakubananisha kwenye kumi na nane gereza likakuhusu ndy mwanzo wa kujua ndugu sio watu ni wanyama yaani hata kuniletea wali nyama huko magereza hakuna ni mwendo wa kuwatuma marafiki eti Mungu mwema tunamuombea [emoji848]



Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Mimi nilishajifunza watu ni masnitch tu kuna kipindi maisha yalinitandika nikazidisha kidogo mjani huku najitafuta kuna mijamaa ikawa inasambaza taarifa eti natumia madawa nimeisha, ndugu wakawa wananitenga eti nimekuwa mfano mbaya kwa jamii
 
Huu uzi Masikini tumesemwa sanaa heeee!


AF14DA9D-1532-45D2-BCDC-5FCB28534027.jpeg
 
Back
Top Bottom