Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Heshima sana wanajamvi,
Nimekuwa na utaratibu wa kutembelea hifadhi zetu za wanyama kwa muda mrefu sasa labda huu ni mwaka wa 10 au zaidi.
Nimetembelea hifadhi ya Serengeti zaidi ya mara nne au tano,mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2016.
Ukweli mchungu sisi waafrika sijui tuna laana gani ?.
Kumekuwa na utaratibu wa ajabu ajabu wa majenzi ya Camps sites nyingi hadi nature imeanza kuondoka au imeshaondoka.Usiku taa zinawaka pengine ungefikiri upo Washington au majiji mengine makubwa.Camp Site nyingi na Lodges zimejengwa hovyo hovyo kiasi ungefikri labda kuna mpango mahsusi wa kuiua Serengeti.
Ikiwa hata kusimamia nature tu inatushinda nini tutaweza !.
Kama hali ya majenzi holela holela itaachiwa iendelee ndani ya miaka mitano au chini ya hapo Serengeti itakuwa haina tofauti na majiji tunayoyaona leo.
Hakika nimesikitika na kushangazwa jinsi tunavyoshindwa kuilinda na kuisimamia Serengeti pengine na hifadhi nyingine.
Ngongo kwasasa Kilima Tembo.
Nimekuwa na utaratibu wa kutembelea hifadhi zetu za wanyama kwa muda mrefu sasa labda huu ni mwaka wa 10 au zaidi.
Nimetembelea hifadhi ya Serengeti zaidi ya mara nne au tano,mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2016.
Ukweli mchungu sisi waafrika sijui tuna laana gani ?.
Kumekuwa na utaratibu wa ajabu ajabu wa majenzi ya Camps sites nyingi hadi nature imeanza kuondoka au imeshaondoka.Usiku taa zinawaka pengine ungefikiri upo Washington au majiji mengine makubwa.Camp Site nyingi na Lodges zimejengwa hovyo hovyo kiasi ungefikri labda kuna mpango mahsusi wa kuiua Serengeti.
Ikiwa hata kusimamia nature tu inatushinda nini tutaweza !.
Kama hali ya majenzi holela holela itaachiwa iendelee ndani ya miaka mitano au chini ya hapo Serengeti itakuwa haina tofauti na majiji tunayoyaona leo.
Hakika nimesikitika na kushangazwa jinsi tunavyoshindwa kuilinda na kuisimamia Serengeti pengine na hifadhi nyingine.
Ngongo kwasasa Kilima Tembo.