Masikitiko makubwa Ziara yangu ya siku 2 Hifadhi ya Serengeri

Masikitiko makubwa Ziara yangu ya siku 2 Hifadhi ya Serengeri

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi,

Nimekuwa na utaratibu wa kutembelea hifadhi zetu za wanyama kwa muda mrefu sasa labda huu ni mwaka wa 10 au zaidi.

Nimetembelea hifadhi ya Serengeti zaidi ya mara nne au tano,mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2016.

Ukweli mchungu sisi waafrika sijui tuna laana gani ?.

Kumekuwa na utaratibu wa ajabu ajabu wa majenzi ya Camps sites nyingi hadi nature imeanza kuondoka au imeshaondoka.Usiku taa zinawaka pengine ungefikiri upo Washington au majiji mengine makubwa.Camp Site nyingi na Lodges zimejengwa hovyo hovyo kiasi ungefikri labda kuna mpango mahsusi wa kuiua Serengeti.

Ikiwa hata kusimamia nature tu inatushinda nini tutaweza !.

Kama hali ya majenzi holela holela itaachiwa iendelee ndani ya miaka mitano au chini ya hapo Serengeti itakuwa haina tofauti na majiji tunayoyaona leo.

Hakika nimesikitika na kushangazwa jinsi tunavyoshindwa kuilinda na kuisimamia Serengeti pengine na hifadhi nyingine.

Ngongo kwasasa Kilima Tembo.
 
Tunataka watalii wengi lakini hatujajipanga kupokea makundi makubwa ya watu hifadhini.
Hicho ulichokiona kisipofanyiwa kazi kuna hatari ya kuangamiza raslimali zote kwenye mapori yetu.
 
Heshima sana wanajamvi,

Nimekuwa na utaratibu wa kutembelea hifadhi zetu za wanyama kwa muda mrefu sasa labda huu ni mwaka wa 10 au zaidi.

Nimetembelea hifadhi ya Serengeti zaidi ya mara nne au tano,mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2016.

Ukweli mchungu sisi waafrika sijui tuna laana gani ?.

Kumekuwa na utaratibu wa ajabu ajabu wa majenzi ya Camps sites nyingi hadi nature imeanza kuondoka au imeshaondoka.Usiku taa zinawaka pengine ungefikiri upo Washington au majiji mengine makubwa.Camp Site nyingi na Lodges zimejengwa hovyo hovyo kiasi ungefikri labda kuna mpango mahsusi wa kuiua Serengeti.

Ikiwa hata kusimamia nature tu inatushinda nini tutaweza !.

Kama hali ya majenzi holela holela itaachiwa iendelee ndani ya miaka mitano au chini ya hapo Serengeti itakuwa haina tofauti na majiji tunayoyaona leo.

Hakika nimesikitika na kushangazwa jinsi tunavyoshindwa kuilinda na kuisimamia Serengeti pengine na hifadhi nyingine.

Ngongo kwasasa Kilima Tembo.
Utalii umekuwa, wanasiasa hao ndiyo zao, wanaiba serikalini na kujenga mahekalu mbugani.
 
Tunataka watalii wengi lakini hatujajipanga kupokea makundi makubwa ya watu hifadhini.
Hicho ulichokiona kisipofanyiwa kazi kuna hatari ya kuangamiza raslimali zote kwenye mapori yetu.
Ndiyo maana wamasai wanahamishwa.
 
Dunia ya sasa habari bila picha video clip sw na takataka TU




KAZI ni kipimo cha UTU
 
Heshima sana wanajamvi,

Nimekuwa na utaratibu wa kutembelea hifadhi zetu za wanyama kwa muda mrefu sasa labda huu ni mwaka wa 10 au zaidi.

Nimetembelea hifadhi ya Serengeti zaidi ya mara nne au tano,mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2016.

Ukweli mchungu sisi waafrika sijui tuna laana gani ?.

Kumekuwa na utaratibu wa ajabu ajabu wa majenzi ya Camps sites nyingi hadi nature imeanza kuondoka au imeshaondoka.Usiku taa zinawaka pengine ungefikiri upo Washington au majiji mengine makubwa.Camp Site nyingi na Lodges zimejengwa hovyo hovyo kiasi ungefikri labda kuna mpango mahsusi wa kuiua Serengeti.

Ikiwa hata kusimamia nature tu inatushinda nini tutaweza !.

Kama hali ya majenzi holela holela itaachiwa iendelee ndani ya miaka mitano au chini ya hapo Serengeti itakuwa haina tofauti na majiji tunayoyaona leo.

Hakika nimesikitika na kushangazwa jinsi tunavyoshindwa kuilinda na kuisimamia Serengeti pengine na hifadhi nyingine.

Ngongo kwasasa Kilima Tembo.
Kwani hizo mbuga bado zipo kwa miliki ya Watanzania..!!??
 
Back
Top Bottom