MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Acha kulazimisha upumbavu wako uonekane ni ujanja.Wajua kuwa game drive ni early in the morning?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kulazimisha upumbavu wako uonekane ni ujanja.Wajua kuwa game drive ni early in the morning?
Ukiwa huna hoja utaishia kuita watu wapumbavuAcha kulazimisha upumbavu wako uonekane ni ujanja.
Nikiwa ndani ya Hifadhi nilijaribu kuuliza baadhi ya wafanyakazi kulikoni wengi walinijibu siasa imekuwa kubwa sana kiasi hata wataalam wanadarauliwa.
Ndo ina die kwa sasa..Wenyewe wana msemo wao wanasema "Serengeti shall never die "
Hakuna uvunaji au uwindaji wanyama kwenye National park zote.Hizo hotel Ni machaka ya majingili wanaotuibia rasilimali wanyama poro yetu Mana huwezi ukaiba ukachuna ngozi ya kenge usiku huo huo na kusafirisha ssa wanajenga mahoteli ili watufilisi mazima
Hayo mambo ya mipango ya hovyo sisi Tanzania ndio magwiji dunia nzima, wacha nisiende huko manake naweza kuchoma moto camp za watu.Heshima sana wanajamvi,
Nimekuwa na utaratibu wa kutembelea hifadhi zetu za wanyama kwa muda mrefu sasa labda huu ni mwaka wa 10 au zaidi.
Nimetembelea hifadhi ya Serengeti zaidi ya mara nne au tano,mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2016.
Ukweli mchungu sisi waafrika sijui tuna laana gani ?.
Kumekuwa na utaratibu wa ajabu ajabu wa majenzi ya Camps sites nyingi hadi nature imeanza kuondoka au imeshaondoka.Usiku taa zinawaka pengine ungefikiri upo Washington au majiji mengine makubwa.Camp Site nyingi na Lodges zimejengwa hovyo hovyo kiasi ungefikri labda kuna mpango mahsusi wa kuiua Serengeti.
Ikiwa hata kusimamia nature tu inatushinda nini tutaweza !.
Kama hali ya majenzi holela holela itaachiwa iendelee ndani ya miaka mitano au chini ya hapo Serengeti itakuwa haina tofauti na majiji tunayoyaona leo.
Hakika nimesikitika na kushangazwa jinsi tunavyoshindwa kuilinda na kuisimamia Serengeti pengine na hifadhi nyingine.
Ngongo kwasasa Kilima Tembo.