Masikitiko makubwa Ziara yangu ya siku 2 Hifadhi ya Serengeri

Nikiwa ndani ya Hifadhi nilijaribu kuuliza baadhi ya wafanyakazi kulikoni wengi walinijibu siasa imekuwa kubwa sana kiasi hata wataalam wanadarauliwa.

Kuna mambo mengi yanatia woga na kuleta masikitiko sana. Sijui nini kinaendelea kwenye nchi yetu. Ngumu kujua na kusema
 
Mkuu Mgongo

Kipindi cha Hando Serengeti ilikuwa the best National Park duniani katika kusimamia Management Plan...

Viongozi wameingilia na kuweka Maslahi yao huko ukigangamala sheria za uhifadhi unafukuzwa mbali..Vilima vyote vimevamiwa ....kuna wakati unasikia aibu mbele ya wageni maswali wanayouliza baada ya kushuhudia ujenzi holela...Hata hiyo 4seasons ni uharibifu tu haipo kwenye Management Plan ya Senapa


Ngongo
 
Ukitaka kuishi kwa amani usiyachukulie mambo too personal.

Be serious only on you and yourself!
 
Hizo hotel Ni machaka ya majingili wanaotuibia rasilimali wanyama poro yetu Mana huwezi ukaiba ukachuna ngozi ya kenge usiku huo huo na kusafirisha ssa wanajenga mahoteli ili watufilisi mazima
 
Hizo hotel Ni machaka ya majingili wanaotuibia rasilimali wanyama poro yetu Mana huwezi ukaiba ukachuna ngozi ya kenge usiku huo huo na kusafirisha ssa wanajenga mahoteli ili watufilisi mazima
Hakuna uvunaji au uwindaji wanyama kwenye National park zote.
 
Hayo mambo ya mipango ya hovyo sisi Tanzania ndio magwiji dunia nzima, wacha nisiende huko manake naweza kuchoma moto camp za watu.
 
halafu baadae tutalalamika wazungu na waarabu wametufanyia ukoloni na kuchukua rasilimali zetu

Watu weusi wamelaanika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…