KERO Masikitiko yangu Kilwa road na Chang'ombe road inakwenda kuwa na foleni kubwa sana

KERO Masikitiko yangu Kilwa road na Chang'ombe road inakwenda kuwa na foleni kubwa sana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Sijui hata cha kusema!

Lakini masikitiko yangu matokeo ya ufungaji wa taa za barabari Kilwa road na Chang'ombe road yanaenda kuibua kero kubwa ya msongamano wa magari kuliko ilivyo hata hivi sasa.

Lengo la taa limelenga kuvusha watembea kwa miguu salama lakini kwa upande wa pili linakwenda kuzalisha tatizo la foleni ya kujitakia!

Nashauri badala ya kuweka taa nyingi namna ile! Wangeweka taa sehemu chache ambazo ni muhimu tu na huko kwingine wakaweka matuta standard mapana ili kuruhusu Traffic flow.

Mbali na msongamano itakuja kulazimisha ongezeko la askari kusimama kwenye mataa ili kuruhusu magari ambao wangefanya kazi nyingine.

Siamini kama kweli hawa wanaofunga hawajui kwamba taa kila hatua 100 zinaongeza foleni unless huu mradi ulikuwa na faida kwa baadhi ya watu kupiga!

====
Update ya foleni kutoka kwa wadau

Sasa hivi kuna foleni ya hovyo sana inayochangiwa na ukanjanja wamipango

Aisee hi foleni ni ya kufa mtu.
Hawa watawala wapigaji wafikirie upya
 
Mradi ambao andiko lake kwa wakopwaji WB halijarekebishwa kukidhi hali halisi.
Hili ni tatizo kubwa, ni tatizo qmbalo linaikumba sehemu kama mzunguko wa Kigogo, makutano ya Karume pale.
Hawajui wafanyeje.
 
Mradi ambao andiko lake kwa wakopwaji WB halijarekebishwa kukidhi hali halisi.
Hili ni tatizo kubwa, ni tatizo qmbalo linaikumba sehemu kama mzunguko wa Kigogo, makutano ya Karume pale.
Hawajui wafanyeje.
Ooh
 
Sijui hata cha kusema!

Lakini masikitiko yangu matokeo ya ufungaji wa taa za barabari Kilwa road na Chang'ombe road yanaenda kuibua kero kubwa ya msongamano wa magari kuliko ilivyo hata hivi sasa.

Lengo la taa limelenga kuvusha watembea kwa miguu salama lakini kwa upande wa pili linakwenda kuzalisha tatizo la foleni ya kujitakia!

Nashauri badala ya kuweka taa nyingi namna ile! Wangeweka taa sehemu chache ambazo ni muhimu tu na huko kwingine wakaweka matuta standard mapana ili kuruhusu Traffic flow.

Mbali na msongamano itakuja kulazimisha ongezeko la askari kusimama kwenye mataa ili kuruhusu magari ambao wangefanya kazi nyingine.

Siamini kama kweli hawa wanaofunga hawajui kwamba taa kila hatua 100 zinaongeza foleni unless huu mradi ulikuwa na faida kwa baadhi ya watu kupiga!
Tofauti na njia nyingine na hii ni taa za kuvukia watembea kwa miguu tu, taa nyingine zingewekwa popote. Hivi una prefer gari isimame kupisha mtu randomly au isimame kwa kuongozwa na taa? Randomly magari huwa hayatembei mfano ni pale Manzese ila kukiwa na taa kila mtumiaji ana muda wake. Anyway tusubiri mvua inyeshe tutaona panapovuja.
 
Kuanzia barandari mpaka mbagala rangi tatu ile idadi ya taa za kuongoza magari na watembea kwa miguu kwakweli inatisha ngoja tuone zitakapoanza kutumika
 
Sijui hata cha kusema!

Lakini masikitiko yangu matokeo ya ufungaji wa taa za barabari Kilwa road na Chang'ombe road yanaenda kuibua kero kubwa ya msongamano wa magari kuliko ilivyo hata hivi sasa.

Lengo la taa limelenga kuvusha watembea kwa miguu salama lakini kwa upande wa pili linakwenda kuzalisha tatizo la foleni ya kujitakia!

Nashauri badala ya kuweka taa nyingi namna ile! Wangeweka taa sehemu chache ambazo ni muhimu tu na huko kwingine wakaweka matuta standard mapana ili kuruhusu Traffic flow.

Mbali na msongamano itakuja kulazimisha ongezeko la askari kusimama kwenye mataa ili kuruhusu magari ambao wangefanya kazi nyingine.

Siamini kama kweli hawa wanaofunga hawajui kwamba taa kila hatua 100 zinaongeza foleni unless huu mradi ulikuwa na faida kwa baadhi ya watu kupiga!
Mna wahandisi wasio na akili Wala kujitambua,Kwa nini wasijenge underpass? Yaani Hadi Kigoma inawashind? The likes na Mbeya watafanya hivyo hivyo
 
Tofauti na njia nyingine na hii ni taa za kuvukia watembea kwa miguu tu, taa nyingine zingewekwa popote. Hivi una prefer gari isimame kupisha mtu randomly au isimame kwa kuongozwa na taa? Randomly magari huwa hayatembei mfano ni pale Manzese ila kukiwa na taa kila mtumiaji ana muda wake. Anyway tusubiri mvua inyeshe tutaona panapovuja.
Ile barabara ya morogoro hapo manzese kuna matuta na zebra zinatosha vizuri tu kuvusha watu, kuliko kufunga taa,
Taa inalazimisha kusubiri hata kama hakuna mtu anavuka
 
Kuanzia barandari mpaka mbagala rangi tatu ile idadi ya taa za kuongoza magari na watembea kwa miguu kwakweli inatisha ngoja tuone zitakapoanza kutumika
Lazima tu zitaleta madhara ya foleni halafu watakimbilia kupanga trafiki
 
Sasa hivi kuna foleni ya hovyo sana inayochangiwa na ukanjanja wamipango
 
Back
Top Bottom