Sijui hata cha kusema!
Lakini masikitiko yangu matokeo ya ufungaji wa taa za barabari Kilwa road na Chang'ombe road yanaenda kuibua kero kubwa ya msongamano wa magari kuliko ilivyo hata hivi sasa.
Lengo la taa limelenga kuvusha watembea kwa miguu salama lakini kwa upande wa pili linakwenda kuzalisha tatizo la foleni ya kujitakia!
Nashauri badala ya kuweka taa nyingi namna ile! Wangeweka taa sehemu chache ambazo ni muhimu tu na huko kwingine wakaweka matuta standard mapana ili kuruhusu Traffic flow.
Mbali na msongamano itakuja kulazimisha ongezeko la askari kusimama kwenye mataa ili kuruhusu magari ambao wangefanya kazi nyingine.
Siamini kama kweli hawa wanaofunga hawajui kwamba taa kila hatua 100 zinaongeza foleni unless huu mradi ulikuwa na faida kwa baadhi ya watu kupiga!
====
Update ya foleni kutoka kwa wadau
Lakini masikitiko yangu matokeo ya ufungaji wa taa za barabari Kilwa road na Chang'ombe road yanaenda kuibua kero kubwa ya msongamano wa magari kuliko ilivyo hata hivi sasa.
Lengo la taa limelenga kuvusha watembea kwa miguu salama lakini kwa upande wa pili linakwenda kuzalisha tatizo la foleni ya kujitakia!
Nashauri badala ya kuweka taa nyingi namna ile! Wangeweka taa sehemu chache ambazo ni muhimu tu na huko kwingine wakaweka matuta standard mapana ili kuruhusu Traffic flow.
Mbali na msongamano itakuja kulazimisha ongezeko la askari kusimama kwenye mataa ili kuruhusu magari ambao wangefanya kazi nyingine.
Siamini kama kweli hawa wanaofunga hawajui kwamba taa kila hatua 100 zinaongeza foleni unless huu mradi ulikuwa na faida kwa baadhi ya watu kupiga!
====
Update ya foleni kutoka kwa wadau
Sasa hivi kuna foleni ya hovyo sana inayochangiwa na ukanjanja wamipango
KERO - Masikitiko yangu Kilwa road na Chang'ombe road inakwenda kuwa na foleni kubwa sana
Sijui hata cha kusema! Lakini masikitiko yangu matokeo ya ufungaji wa taa za barabari Kilwa road na Chang'ombe road yanaenda kuibua kero kubwa ya msongamano wa magari kuliko ilivyo hata hivi sasa. Lengo la taa limelenga kuvusha watembea kwa miguu salama lakini kwa upande wa pili linakwenda...www.jamiiforums.com
Aisee hi foleni ni ya kufa mtu.
Hawa watawala wapigaji wafikirie upya