KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Upigaji mkubwa uko kwenye procurement. Mataa hayo ni dili la wahuni wachache.Sasa hivi kuna foleni ya hovyo sana inayochangiwa na ukanjanja wamipango
KERO - Masikitiko yangu Kilwa road na Chang'ombe road inakwenda kuwa na foleni kubwa sana
Sijui hata cha kusema! Lakini masikitiko yangu matokeo ya ufungaji wa taa za barabari Kilwa road na Chang'ombe road yanaenda kuibua kero kubwa ya msongamano wa magari kuliko ilivyo hata hivi sasa. Lengo la taa limelenga kuvusha watembea kwa miguu salama lakini kwa upande wa pili linakwenda...www.jamiiforums.com