Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Imbombo ngafuAchana nao kenge hao....yaan inashangaza sana “wewe umepata tuliza komwe bas,ya nini kuangaika na asiye nacho” Hizi mambo za kushupalia maisha za watu mtakuja kukutana na mnachokitaka
Ni upumbavu kuishi kwa kusikilizia maneno ya wapumbavu.Ni jambo linaloonekana kama la kawaida lakini kwa upande mwingine linasononesha na kuvunja mioyo ya watu walioamua kujenga familia.
👋 Hi!Imbombo ngafu
Niambie mrembo wa kinyakyusa👋 Hi!
Nipo tu nasubiri ndoa yangu tu mi na we,sijui nijichubue mapema ili siku hiyo ning’ae?!😒😊Niambie mrembo wa kinyakyusa
Mrembo wa kinyakyusa hivyo hivyo ulivyo umeumbika ni suala la muda tu mimi kutimba Mbeya kung'oa chuma changu safi cha kinyaki.Nipo tu nasubiri ndoa yangu tu mi na we,sijui nijichubue mapema ili siku hiyo ning’ae?!😒😊
🤣🤣👋🙌🏿unavyotupondea sikuzote unakuwa unaota?Mrembo wa kinyakyusa hivyo hivyo ulivyo umeumbika ni suala la muda tu mimi kutimba Mbeya kung'oa chuma changu safi cha kinyaki.
Hakuna wanawake wazuri kama wanyakyusa
Mimi sijawahi kuwa pondea kabisa warembo wa kinyakyusa mnanikosha moyo wangu.🤣🤣👋🙌🏿unavyotupondea sikuzote unakuwa unaota?
😂😂 kazi unayoNakutana nazo sana kwenye matukio ya kijamii,kiukweli niliplan kuoa 2014 ila niiyekuwa nae alimpata mwengine alivyo enda kusoma nikaplan tena 2017 still demu akarudi kwa ex-wake. Yaani mpaka sasa sijui nitaoa lini kwani hawa ambao ninao kutana nao wote vichomi, unaweza ukasema wanatumia template moja ya ujinga,kuendesha mahusiano.
Kuna dem mmoja tu alikuwa rafiki yangu kipindi nipo O-Level na Advance, yule nahisi ndiye kama alikuwa mke wangu. Sema ndio hivyo uoga plus udomo zege kipindi hiko,baadae tukawa tunasoma sehemu tofauti then sasa hivi kaolewa.
Ila swala la kuoa nimemuachia Mungu, sometimes unataka kuforce ila vichomi unavyo kutana navyo bora ubaki single.
Ukifikisha miaka 30 hujaolewa,utabadilisha hyo kauli yako...njoo nikuoe dogo kabla hujawa singo mazaAfu kuolewa sio basic need bhana khaaaaaa
Kwa wanawake wa siku hizi itampa lawama anaye kutafutia na kumlaumu kila siku.😂😂 kazi unayo
Ila wewe special case unahitaji kuchukua hatua madhubuti, kama uli plan kuoa 2014 mpaka leo ni 2014 ni miaka 10 mbele hii sio kawaida inaonekana age impending pia...Fanya utafuta wa kuoa kwa njia ile ya zamani kwa recommendation ya mwanamke kutoka kwa wanaqake watu wazima.
Amina mkuu nimefarijikaMama ni mama hata anatembelea fimbo na bibi ni Bibi hata kama anavaa kimini.......
Kila jambo na wakati wake.....
Kujiamini ni hulka yangu.nahitaji jibulako mrembo.unajiamini sana?
Mbona nina 34Ukifikisha miaka 30 hujaolewa,utabadilisha hyo kauli yako...njoo nikuoe dogo kabla hujawa singo maza
Huna,muongo dogo!Mbona nina 34
Umenena Kweli kbsa mkuuMtu asipooa au asipoolewa hafanyi kosa lolote kimaadili. Hilo si kosa la kimaadili wala la kisheria.
Sio dhambi kutokuoa au kutoolewa.
Lililo kosa la kimaadili au kosa dhidi ya akili yaani dhambi ni: KUVUNJIKA KWA NDOA au TALAKA, UZINZI NA UASHERATI; PONOGORAFIA, MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE. Haya ndio mambo watu tunatakiwa tutafakari, tuyachunguze, tufuatilie; tujue yanasabishwa na nini, na kwa nini; halafu tuamue.
Hebu fikiria ni ndoa ngapi zinavunjika? Jiulize: ni ngapi? Jiulize; ni mateso kiasi gani watoto wanapata na kupitia kiakili na kimwili kwa wazazi kutalakiani? Ni wangapi wanateseka kwa makosa haya ya wazazi kutalakiana, magonvi, au kutengana? Madhara yake ni nini? Jiulize!!
Kwa kufanya uzinzi na uasherati, ni wanawake wangapi wamezalishwa na kutelekezwa? Wanawake wangapi wamepigwa mimba na kutelekezwa? Wangapi? Hao watoto wanatunzwa na nani? Haya sio mateso? Huu sio uuaji? Na hivi ndivyo mambo au mpango unapaswa kuwa? Hili ndilo lengo?
Huyo Mungu ambae waafrika mnapenda kumrejelea na kuficha udhaifu au ukatili au ubaya au mapungufu yenu, kwa kukosa kwenu uelewa wa mambo na elimu ya vitu, hakuna mahali amesema watu lazima waoe na kuolewa au wazaee. Hakuna!
Mwenye huu uthibitisho alete hapa.
Watanzania ni watu ambao hawatumii akili kabisa, ukiacha hekima na busara. Wanafungisha ndoa huko wanakoita makanisani na misikitini, lakini hawasimamii hizo ndoa walizozifungisha. Watu wanatalakiana, wanaachana kila siku. Kila uchao ni ugomvi, mafarakano kwenye hizo ndoa.
Wasivyo na akili, hekima, na busara, wameshindwa kushughulikia matatizo ya ndoa, sasa wanataka kuwabagua watu wasio na kosa kimaadili, yaani wale wasiooa na wasioolewa.
Huu ni wendawazimu mkubwa.
Ndugu zangu watanzania acheni kushikilia mambo na kudhani kwamba haya ni mambo yetu; na yale ni mambo yao.
Tupende kufikiri, kuchunguza, kufuatilia na kisha kuamua. Tuache kuchukua mambo kama yalivyo bila kujua yalianza vipi, wapi na kwanini.
Hivi kweli suala la mtu kutokuoa au kutoolewa nalo ni jambo zito linalohangaisha jamii au familia, kwamba mtoto wangu hajaoa au hajaolewa?
Mtu asieoa au asieolewa ana kosa nini kimaadili au kiakili; au hata kimwili?
Na wewe uoe sasa unazeeka.[mention]Kelsea [/mention] pita huku