Masimango na kejeli kwa wanaoonekana wamechelewa kuoa/ kuolewa na kupata watoto uzeeni au umri ukiwa umekwenda

😂😂 kazi unayo

Ila wewe special case unahitaji kuchukua hatua madhubuti, kama uli plan kuoa 2014 mpaka leo ni 2014 ni miaka 10 mbele hii sio kawaida inaonekana age impending pia...Fanya utafuta wa kuoa kwa njia ile ya zamani kwa recommendation ya mwanamke kutoka kwa wanaqake watu wazima.
 
Kwa wanawake wa siku hizi itampa lawama anaye kutafutia na kumlaumu kila siku.

Ila atapatikana tuu.
 
Umenena Kweli kbsa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…