Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Unapodharau mradi wa REA umedharau hadhi yetu, utu wetu, ubinadamu wetu unataka wanaonufaika na umeme huo waone kawaida wewe Tundu Lisu tutakuadhibu tar 28/10/2020 kwenye sanduku la kura "Tuachie shujaa wetu Magufuli atusambazie umeme vijiji vyote Tanzania"
Unapodharau miundombinu ya Bwawa la umeme ina maana huna huruma na vijana wanaoteseka kukosa ajira ina maana unataka watu waendelee kutozwa umeme kwa bei kubwa ww Tundu Lisu acha unafiki, anayetuhurumia na kutambua hadhi yetu ni yule anayeona umuhimu wa sisi kupunguziwa umeme maana gharama za umeme zinatesa sana watu " Magufuli shujaaa wetu kanyaga twende"
Unapopuuza ujenzi wa Reli ya kisasa wewe mnafiki wewee Tundu Lissu lopolopo unamaanisha unataka watu waendelee kuteseka na Usafiri wa Mabasi wa kutwa nzima usiku kucha tunahangaika "Rais Magufuli shujaa wetu kanyaga twende"
Magufuli ameleta hadhi na heshima ya Mtanzania ameiheshimisha Tanzania
Magufuli ameleta hadhi na utu wa mtanzania tunaheshimika sasa popote tuendako
Huruma ya Magufuli imeonakana kwa Machinga, mamantilie, bodaboda, wakulima na wafugaji
Miradi ya Magufuli ya maji inamtua ndoo mama
# Octoba2020 tutampa Magufuli ushindi wa 100%
Unapodharau miundombinu ya Bwawa la umeme ina maana huna huruma na vijana wanaoteseka kukosa ajira ina maana unataka watu waendelee kutozwa umeme kwa bei kubwa ww Tundu Lisu acha unafiki, anayetuhurumia na kutambua hadhi yetu ni yule anayeona umuhimu wa sisi kupunguziwa umeme maana gharama za umeme zinatesa sana watu " Magufuli shujaaa wetu kanyaga twende"
Unapopuuza ujenzi wa Reli ya kisasa wewe mnafiki wewee Tundu Lissu lopolopo unamaanisha unataka watu waendelee kuteseka na Usafiri wa Mabasi wa kutwa nzima usiku kucha tunahangaika "Rais Magufuli shujaa wetu kanyaga twende"
Magufuli ameleta hadhi na heshima ya Mtanzania ameiheshimisha Tanzania
Magufuli ameleta hadhi na utu wa mtanzania tunaheshimika sasa popote tuendako
Huruma ya Magufuli imeonakana kwa Machinga, mamantilie, bodaboda, wakulima na wafugaji
Miradi ya Magufuli ya maji inamtua ndoo mama
# Octoba2020 tutampa Magufuli ushindi wa 100%