Uchaguzi 2020 Masimango ya kudharau miundombinu yetu, maendeleo yetu, hospitali yetu adhabu yake ni kukunyima kura upate 0%

Uchaguzi 2020 Masimango ya kudharau miundombinu yetu, maendeleo yetu, hospitali yetu adhabu yake ni kukunyima kura upate 0%

Utakuwa huelewi kwa nini meko anachukiwa au ni kujifanya hamnazo tu?

Kwani miundombinu bora inazuiliwa vipi kama angekuwa ni mtu:

View attachment 1539263

Haka ka uminywaji ka haki na demokrasia ndiko kanakomuweka meko katika hiyo daraja ya chini huko anakolalamikiwa na hata kuonekana ni asiyefaa kabisa.

Hivi hawezi kubadilika? Kwani ana taabu na lipi kwenye hiyo list ya takribani mambo 6 tu?

Pana hatari ya kuwa kila mtu yu anamshangaa mwingine. Yaani unavyoshangaa wewe na wenzio wanakushangaa hivyo hivyo labda hata kukuzidi.
Democratically atuwezi wote kukaa pamoja jimbo zima tuchague tunataka nini.

Mmbunge wetu ndio anawasilisha vipaumbele vyetu vya maeneo.

Taja mmbunge mmoja katika uchangiaji waje ahusiani na miundombinu. Nikurahisishie kazi tu hakuna wote katika maswali waliyopoleka (sizungumzii miswada waliochangia) ni maswala ya umeme, maji, barabara, ardhi na afya.

Unabisha chagua mmbunge wa CDM ambae unadhani alikuwa tofauti na madai ya miundombinu; ushahidi upo.

Sasa utasemaje apendwi wakati anafanya wananchi wanachotaka na ziada. Sema wewe ndio usiempenda sio watu awampendi.
 
Democratically atuwezi wote kukaa pamoja jimbo zima tuchague tunataka nini.

Mmbunge wetu ndio anawasilisha vipaumbele vyetu vya maeneo.

Taja mmbunge mmoja katika uchangiaji waje ahusiani na miundombinu. Nikurahisishie kazi tu hakuna wote katika maswali waliyopoleka (sizungumzii miswada waliochangia) ni maswala ya umeme, maji, barabara, ardhi na afya.

Unabisha chagua mmbunge wa CDM ambae unadhani alikuwa tofauti na madai ya miundombinu; ushahidi upo.

Sasa utasemaje apendwi wakati anafanya wananchi wanachotaka na ziada. Sema wewe ndio usiempenda sio watu awampendi.

Kwenye bandiko langu pana question marks 2.

Unaweza kuangalia na kujiridhisha kama umejibu au ku address hata moja?

Mjadala makini huenda hatua kwa hatua. Hivyo ndivyo haba na haba kibaba hujaa.
 
Unapodharau mradi wa REA umedharau hadhi yetu, utu wetu, ubinadamu wetu unataka wanaonufaika na umeme huo waone kawaida wewe Tundu Lisu tutakuadhibu tar 28/10/2020 kwenye sanduku la kura "Tuachie shujaa wetu Magufuli atusambazie umeme vijiji vyote Tanzania"

Unapodharau miundombinu ya Bwawa la umeme ina maana huna huruma na vijana wanaoteseka kukosa ajira ina maana unataka watu waendelee kutozwa umeme kwa bei kubwa ww Tundu Lisu acha unafiki, anayetuhurumia na kutambua hadhi yetu ni yule anayeona umuhimu wa sisi kupunguziwa umeme maana gharama za umeme zinatesa sana watu " Magufuli shujaaa wetu kanyaga twende"

Unapopuuza ujenzi wa Reli ya kisasa wewe mnafiki wewee Tundu Lissu lopolopo unamaanisha unataka watu waendelee kuteseka na Usafiri wa Mabasi wa kutwa nzima usiku kucha tunahangaika "Rais Magufuli shujaa wetu kanyaga twende"

Magufuli ameleta hadhi na heshima ya Mtanzania ameiheshimisha Tanzania

Magufuli ameleta hadhi na utu wa mtanzania tunaheshimika sasa popote tuendako

Huruma ya Magufuli imeonakana kwa Machinga, mamantilie, bodaboda, wakulima na wafugaji

Miradi ya Magufuli ya maji inamtua ndoo mama

# Octoba2020 tutampa Magufuli ushindi wa 100%
Punguza jazba na kutokuwaza vyema
Live Long TL
 
Kwenye bandiko langu pana question marks 2.

Unaweza kuangalia na kujiridhisha kama umejibu au ku address hata moja?

Mjadala makini huenda hatua kwa hatua. Hivyo ndivyo haba na haba kibaba hujaa.
Basi itakuwa hoja zako na ulicho quote kwangu aziendani maana mie nili comment kutokana na mwongozo wa mleta mada miundombinu.

Apparently ata michango ya Mbowe kuhusiana na Hai ni lami, mabweni na afya. Na ndio msingi wa mada utamaduni wa CDM kudharau miundombinu sio mzuri.

Kama kulikuwa na mingine kwako sikuyajibu niwie radhi ngonja nipitie vizuri maandishi yako mkuu.
 
Democratically atuwezi wote kukaa pamoja jimbo zima tuchague tunataka nini.

Mmbunge wetu ndio anawasilisha vipaumbele vyetu vya maeneo.

Taja mmbunge mmoja katika uchangiaji waje ahusiani na miundombinu. Nikurahisishie kazi tu hakuna wote katika maswali waliyopoleka (sizungumzii miswada waliochangia) ni maswala ya umeme, maji, barabara, ardhi na afya.

Unabisha chagua mmbunge wa CDM ambae unadhani alikuwa tofauti na madai ya miundombinu; ushahidi upo.

Sasa utasemaje apendwi wakati anafanya wananchi wanachotaka na ziada. Sema wewe ndio usiempenda sio watu awampendi.
Akikutajia hao wabunge Nitag
 
Akikutajia hao wabunge Nitag
Atamtolea wapi wakati kila mtu michango yake ipo on record na wote ni ardhi, afya, umeme, barabara na maswala mengine ya miundombinu; ndio asilimia kubwa ya mambo waliyoulizia kama madai ya mahitaji ya wananchi wao.
 
Hujaeleweka vizuri rudi kajipange! Ukimsikiliza Lissu ukauondoa ushabiki wa Pale Lumumba.Mbona utamuelewa tu.
 
Basi itakuwa hoja zake

Basi itakuwa hoja zako na ulicho quote kwangu aziendani maana mie nili comment kutokana na mwongozo wa mleta mada miundombinu.

Apparently ata michango ya Mbowe kuhusiana na Hai ni lami, mabweni na afya. Na ndio msingi wa mada utamaduni wa CDM kudharau miundombinu sio mzuri.

Kama kulikuwa na mingine kwako sikuyajibu niwie radhi ngonja nipitie vizuri maandishi yako mkuu.

Asante kutambua kuwa waungwana tunaweza kujadili kiungwana. Hoja kwa hoja.

Hakuna asiyetambua wala kuthamini uwepo wa miundombinu ya maana.

Binafsi nimeandika sana pia kuhusu miundo mbinu. Mifano kidogo ni hii hapa, tokea years back nyuma na hata leo:

Barabara ya Rusahunga Rusumo mtaji kwa wagombea

Hali ya mbaya mno ya barabara Nyakanazi Rusumo vipaumbele vyetu ni nini?
 
Asante kutambua kuwa waungwana tunaweza kujadili kiungwana. Hoja kwa hoja.

Hakuna asiyetambua wala kuthamini uwepo wa miundombinu ya maana.

Binafsi nimeandika sana pia kuhusu miundo mbinu. Mifano kidogo ni hii hapa, tokea years back nyuma na hata leo:

Barabara ya Rusahunga Rusumo mtaji kwa wagombea

Hali ya mbaya mno ya barabara Nyakanazi Rusumo vipaumbele vyetu ni nini?
Kwa ivyo Lissu na Zitto tuwachukuliaje wao wanaetembea wakiponda vitu ambavyo watanzania wanaomba; badala ya kujinadi watawafanyia nini.

Binafsi naona kama vile hawana cha kuwafanyia watanzania kilichobaki ni kubeza tu kilichofanyika.
 
CCM ilituambia Gesi ikianza kutumika Umeme utashuka bei zaidi, kiasi cha Familia Masikini kuweza kumudu kutumia Umeme kupikia....

Viongozi wako wa CCM walishawahi kukwambia kwa nini ilishindikana?
 
Akikutajia hao wabunge Nitag

Kuelewa kazi kubwa na hasa kama ushabiki umetangulizwa mbele.

Tangu lini simba na yanga wakaelewana?

Waungwana hatuko hivyo. Sisi ni hoja kwa hoja. Wewe ukiwa siyo wa hoja, unakuwa haumo kwenye kundi hilo.

Makundi yapo mengi. Wengine siyo mashabiki. Washabiki na waungwana ni tofauti kabisa, kama yalivyo maji na mafuta. Katu hawachangamani.

Pole lakini kwa ukweli huo.
 
Unapodharau mradi wa REA umedharau hadhi yetu, utu wetu, ubinadamu wetu unataka wanaonufaika na umeme huo waone kawaida wewe Tundu Lisu tutakuadhibu tar 28/10/2020 kwenye sanduku la kura "Tuachie shujaa wetu Magufuli atusambazie umeme vijiji vyote Tanzania"

Unapodharau miundombinu ya Bwawa la umeme ina maana huna huruma na vijana wanaoteseka kukosa ajira ina maana unataka watu waendelee kutozwa umeme kwa bei kubwa ww Tundu Lisu acha unafiki, anayetuhurumia na kutambua hadhi yetu ni yule anayeona umuhimu wa sisi kupunguziwa umeme maana gharama za umeme zinatesa sana watu " Magufuli shujaaa wetu kanyaga twende"

Unapopuuza ujenzi wa Reli ya kisasa wewe mnafiki wewee Tundu Lissu lopolopo unamaanisha unataka watu waendelee kuteseka na Usafiri wa Mabasi wa kutwa nzima usiku kucha tunahangaika "Rais Magufuli shujaa wetu kanyaga twende"

Magufuli ameleta hadhi na heshima ya Mtanzania ameiheshimisha Tanzania

Magufuli ameleta hadhi na utu wa mtanzania tunaheshimika sasa popote tuendako

Huruma ya Magufuli imeonakana kwa Machinga, mamantilie, bodaboda, wakulima na wafugaji

Miradi ya Magufuli ya maji inamtua ndoo mama

# Octoba2020 tutampa Magufuli ushindi wa 100%
REA si huruma ya Magufuli, REA ninaifadhili mimi na wewe watumiaji wa umeme, bila sisi kuchangia hakuna REA, tatizo hapa ni wanaccm kuwadanganya wanavijiji kuwa Magufuli anatoa hela za REA. Maneno yote yanayotokea ni kutokana na CCM kutokutaka kusema ukweli kwa wananchi.
 
Unapodharau mradi wa REA umedharau hadhi yetu, utu wetu, ubinadamu wetu unataka wanaonufaika na umeme huo waone kawaida wewe Tundu Lisu tutakuadhibu tar 28/10/2020 kwenye sanduku la kura "Tuachie shujaa wetu Magufuli atusambazie umeme vijiji vyote Tanzania"

Unapodharau miundombinu ya Bwawa la umeme ina maana huna huruma na vijana wanaoteseka kukosa ajira ina maana unataka watu waendelee kutozwa umeme kwa bei kubwa ww Tundu Lisu acha unafiki, anayetuhurumia na kutambua hadhi yetu ni yule anayeona umuhimu wa sisi kupunguziwa umeme maana gharama za umeme zinatesa sana watu " Magufuli shujaaa wetu kanyaga twende"

Unapopuuza ujenzi wa Reli ya kisasa wewe mnafiki wewee Tundu Lissu lopolopo unamaanisha unataka watu waendelee kuteseka na Usafiri wa Mabasi wa kutwa nzima usiku kucha tunahangaika "Rais Magufuli shujaa wetu kanyaga twende"

Magufuli ameleta hadhi na heshima ya Mtanzania ameiheshimisha Tanzania

Magufuli ameleta hadhi na utu wa mtanzania tunaheshimika sasa popote tuendako

Huruma ya Magufuli imeonakana kwa Machinga, mamantilie, bodaboda, wakulima na wafugaji

Miradi ya Magufuli ya maji inamtua ndoo mama

# Octoba2020 tutampa Magufuli ushindi wa 100%

Kumbuka hiyo ni kodi yako
 
Halima Mdee 👇 anataka maji, barabara na afya (tena Mdee kasifia barabara ya Mwenge - Tegeta kumaliza foleni na kuokoa muda). Wakati huo anataka wapelekewe barabara ya lami chuo kikuu cha ardhi mpaka Madale

Bunge Polis

Halafu anakuja Lissu anakwambia miundombinu aina tija na kuna watu wanamshangilia.

Hizo ndio siasa Sasa
 
Halima Mdee 👇 anataka maji, barabara na afya (tena Mdee kasifia barabara ya Mwenge - Tegeta kumaliza foleni na kuokoa muda). Wakati huo anataka wapelekewe barabara ya lami chuo kikuu cha ardhi mpaka Madale

Bunge Polis

Halafu anakuja Lissu anakwambia miundombinu aina tija na kuna watu wanamshangilia.
Wataelewa tuu
 
Unapodharau mradi wa REA umedharau hadhi yetu, utu wetu, ubinadamu wetu unataka wanaonufaika na umeme huo waone kawaida wewe Tundu Lisu tutakuadhibu tar 28/10/2020 kwenye sanduku la kura "Tuachie shujaa wetu Magufuli atusambazie umeme vijiji vyote Tanzania"

Unapodharau miundombinu ya Bwawa la umeme ina maana huna huruma na vijana wanaoteseka kukosa ajira ina maana unataka watu waendelee kutozwa umeme kwa bei kubwa ww Tundu Lisu acha unafiki, anayetuhurumia na kutambua hadhi yetu ni yule anayeona umuhimu wa sisi kupunguziwa umeme maana gharama za umeme zinatesa sana watu " Magufuli shujaaa wetu kanyaga twende"

Unapopuuza ujenzi wa Reli ya kisasa wewe mnafiki wewee Tundu Lissu lopolopo unamaanisha unataka watu waendelee kuteseka na Usafiri wa Mabasi wa kutwa nzima usiku kucha tunahangaika "Rais Magufuli shujaa wetu kanyaga twende"

Magufuli ameleta hadhi na heshima ya Mtanzania ameiheshimisha Tanzania

Magufuli ameleta hadhi na utu wa mtanzania tunaheshimika sasa popote tuendako

Huruma ya Magufuli imeonakana kwa Machinga, mamantilie, bodaboda, wakulima na wafugaji

Miradi ya Magufuli ya maji inamtua ndoo mama

# Octoba2020 tutampa Magufuli ushindi wa 100%
Kura yangu safari hii inaenda kwa Lisu
 
Back
Top Bottom