Masister duu na wanawake wa maofisini mnatembea na vinyesi

Masister duu na wanawake wa maofisini mnatembea na vinyesi

Hivi wanaokwenda maliwatoni ni wanawake tu???. Hii ingekuwa pande zote ME NA KE.
Kama ni uchafu kama ulivyosema basi hata ME anahusika.
 
Bora hao kuliko wale wanaotumia mawe kupangusia dushe zao na tunakuta kwenye masink ya kukojolea.
 
Sio wanawake tu hata baadhi ya wanaume kuna yule bwana Nyani Ngabu aliwahi kuandika kuwa maisha yake yote huwa anatumia toilet papers tu yani hawezi kutumia maji kabisa anasema yanampa kinyaa sijui yanamtekenya bla bla nyingi.

Nilistuka sana ila baadaye nikagundua kuwa jamaa ni msukuma nikamuelewa tu.
 
Io ni kwel kabsa mmoja best yangu kabisa huwa haniogopi, akienda kukata gogo ananionesha toilet pepa akinitania nimcndikize
 
Yaani siku izi wadada wengi haswa warembo na wa maofisini wanamchezo wa kutembea na tishu na vijitambaa flani mfano wa tishu vinakuwa na unyevu unyevu hivi sasa kumbe hizi tissue na vijitambaa ndo wakienda msalani kukata magogo au haja ndogo wanajipangusa wanaondoka eti kisa hawataki mimaji maji mimaji yaani huu ni uchafu wa kiwango cha kimataifa ivi kwa nn mwanamke utumie tissue? Ndo maana nyuzi za maradhi yenu sehemu za siri haziishi mnatembea na uchafu haswa madada wa maofisini, wadada wa chuo na ma sister duu tishu mnajipaka vinyesi
Unashauri nin kifanyike?
MAANA kutembea na kinyesi nayo ni soo.
 
Ha ha ha haaaa, wadau wamemjibu vizuri kweli.
Wewe ishi maisha yako, zile wipes sio za chooni tu hata mikononi na usoni pia, halafu unaonekana huna kazi ya kufanya.
Yaani umekaa mpaka unachunguza muda watu wanaenda kukata magogo?
Eboooo. Kasome kule.
Jiwe la gizani
 
Sio wanawake tu hata baadhi ya wanaume kuna yule bwana Nyani Ngabu aliwahi kuandika kuwa maisha yake yote huwa anatumia toilet papers tu yani hawezi kutumia maji kabisa anasema yanampa kinyaa sijui yanamtekenya bla bla nyingi.

Nilistuka sana ila baadaye nikagundua kuwa jamaa ni msukuma nikamuelewa tu.
Nadhani ni malezi mabovu..😀
 
Unadhani sisi tuna kazi my dear. Wale wanaokerwa na mambo yasiyo yao ndio wana kazi. Hahahaaa.

Sababu nina uhakika kwa asilimia 80 hajui hata wanawake wanatumia tishu wakati gani.

Hebu atupishe sie. Ila namshauri aende huko akarudie kuchungulia wanawake wanatumiaje tishu sababu hapo hajaona kitu. Hahahaaaa.
best yangu alinambia akichambia maji ndo anafutia tishu ili asilowane chupi
 
Back
Top Bottom