Una uhakika hajamsamehe na hamtunzi au kwa sababu ya scene ya kuugua?Nakumbuka huyu Mzee alishawahi muomba msamaha kijana wake halafu mtoto anashindwa kukubali msamaha wa baba yake. Yeye Dai anamkosea mangapi Muumba wake?
Tatizo nalo lipo kwa Mama yake, anaona alishaachana na huyo Mzaz mwenzake na ana maisha mengine so anaona Dai atamtunza mke mwingine wa huyo mzee. Uswahili umemjaa huyo mama
thubutuuu haipo hio.....nisisome nihangaike nizurure nikumbane na adha za kila namna AF we upo end of the day ati mi ni mzaz wako ...pumbavuuuuuu .....diamond yupo sahihiMzazi ni mzazi
Teh Teh huwa nikiona comments zako napata picha jinsi nyumbani kwako kulivyo jaa matunguri.Sioni ethics za udaktari hapa
Hakuna kitanda maalum cha kumfanyia mgonjwa uchunguzi
Glove imevaliwa mkono mmoja [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwandishi/waandishi kuruhusiwa kuingia mpaka ndani ya chumba cha matibabu
Licha ya tukio zima kuonyesha wazi ni la kuandaa lakini walioliandaa daktari mgonjwa na waandishi kwa ufinyu wao mdogo wa akili kwa kukosa weledi (kudhalilisha tasnia ya udaktari )na hata uelewa wao wamekosa kabisa kutengeneza uhalisia wa tukio
Mgonjwa ni kanjanja
Daktari ni kanjanja
Mwandishi ni kanjanja
Na hata gazeti lenyewe ni kanjanja (inafika mahali unaona ni afadhali usome hata uhuru kuliko haya magazeti ya udaku)
Kwa hiyo baada ya kuona hii scene ya Fadhaget ndio umebaini kuwa Diamond kalipiza?Hata kama mzazi alikutesa kwa namna gani hupaswi kulipiza ubaya kwa ubaya pia ukumbuke Hugo ndiye alikuleta duniani,ni heli ya Hugo diamond akamsaidia baba yake japo Paso na kuonana nae lkn mzee akajua msaada umetoka kwa mwanangu lkn anachokifanya hakipaswi kushabikiwa Leo huyo mzee ktk uhai wake ataona sasa lkn kesho ktk mauti yake yeye(mtoto)atakapokuja kukumbuka ayafanyayo Leo atatamani mzee Huyo aamke japo nusu SAA amsaidie na amshukuru japo apate radhi zake naamini c jambo jema uende kwenye hbdy umwage fedha na bado wanaadam wengine wakiteseka akiwepo mzazi wako hii ni dunia starehe chache ndio zinatupumbaza tufikie hapa,M/Mungu ni kwenye kujua zaidi.
Yani nilipo fungua tangazo hili nilicheka sana yani huyu Fadhili Haule ni bure kabisa ameshindwa kumtumia Diamond anamtumia Baba yake kufanya matangazo...Hilo ni Tangazo la mganga kienyeji. Hapo Mzee keshachukua chake.
Yaani mgonjwa azidiwe Magomeni halafu tiba akaipate Mbezi beach Afrikana kwa mganga wa kienyeji!!!
Huyo jamaa yupo hapa Mbezi huu mwaka wa tatu anapiga sana fedha kwa kipimo chake kinachoitwa quantam magnetic analyser, eti ukikishika anawasha kompyuta kusoma magonjwa yote mwilini!! Hahaha
Huyu Mzee anapenda sana kutumika na Shigongo!!Hivi huyo anaumwa kweli au anatafuta kiki tu?
Basi na wewe zaa wako umtelekeze ili baadae aje kuwa star mkubwa!Huyo mzee asingemtelekeza daimond, huyo daimond asingekuwa staa.
Kwa maana angemsomesha madrasa saa hii angekuwa sheikh mkubwa tu.
Au angemsomesha akafeli form four, akarudia rudia akishtuka ana 35 rain,
Au angemsomesha akawa afisa ugani nani angemjua!!!
KUNA KILE KIONEKANACHO KAMA LAANA KUMBE NI BARAKA, UNAHITAJI MACHO YA KUKIONA.
Una uhakika hajamsamehe? Au kwa sababu ya scene hii ya Fadhaget?Diamond should learn to forgive and forget,ugomvi wa baba na mama hasiuendekeze maana kata ya hao wawili hakuna hata mmoja atakayemueleza Diamond ukweli wa kiaiini cha ugomvi wao,kila mmoja anamlaumu mwenzie ilihali kila mtu ana siri yake moyoni
Teh Teh wanapenda kiki sana lakini jamaa ka andaa scene zake vizuri...Dr Fadhili Haule..Hehehe ni yule jamaa wa mitishamba?? Kwanini ni wao tu wanapenda promo?
Upuuzi mtupu hawa watuIjumaa kweli fundi hapa wanatafuta namna ya kumtangaza hyu Dr hamna chochote Dr mwenyewe ana mkataba na Risasi kuandika makala afu hyo hyo Dr ndo anahusika na matibabu ya mzee Abdul
Hapa hamna mgonjwa na kiki tu wanatafuta kumtangaza Dr Shame on you
Muulize Diamond mwenyewe.Tuambie we mjuaji
usiangalie matokeo angalia na sababu ya matokeo pia...hawa wazee waliokula ujana enzi zao na kuwaacha watoto wao wakiteseka na mama zao huwaga siwaonei huruma kabisa.
Mimi pia yamenikuta kama hayo..naumwa nimelazwa Amana hospital na bi.mkubwa alikila pembeni uangu hana kitu baba yangu mzazi anashindana kuwatunza hela wakina Tx Moshi na Maalim Gurumo pale Amana Vijana center
mkuu hili ni TANGAZO[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]