Maskini hana aibu, kimbia ukiona hivi

Maskini hana aibu, kimbia ukiona hivi

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
Siku ya kwanza unamuomba mtoke chakula cha jioni ili kufahamiana (dinner date), anakuomba nauli na hela ya kusuka, mara hana viatu, nusu saa kabla amekuomba umnunulie salio. Achana na hayo matatizo ndugu unakaribisha umaskini. Maskini huwa hawana aibu rafiki yangu, muache atafute kwanza shughuli ya kufanya ndiyo aingie kwenye mahusiano. Atafute kazi ya kuingiza kipato kwanza.
images (60).jpeg


Maskini wengi hawajui kupenda, hisia zao zinaongozwa na njaa, tena njaa kali sana, njaa yake ikiisha ndiyo anagundua kuwa hajawahi kukupenda hata kidogo. Achana na matatizo hayo. Kimbia janga hilo. Tafuta mtu mwenye akili timamu, na sio mtoto ambaye anatembea kwa kunusa pesa za watu bila jitihada.
 
Ha ha ha hawa watu ni majasiri sana!
Back in my days, wkt huo mgeni mgen na mabinti, akanipangia birthday yake, nimnunulie nini na twende wapi, akandaa mkeka wa gharama akanitumia. Kodi, nimfungulie biashara huku aki demand niende kwao
Aisee just imagine mtu hakufahamu, mnakutana mara chache but demand kama zote
 
Back in my days, wkt huo mgeni mgen na mabinti, akanipangia birthday yake, nimnunulie nini na twende wapi, akandaa mkeka wa gharama akanitumia. Kodi, nimfungulie biashara huku aki demand niende kwao
Aisee just imagine mtu hakufahamu, mnakutana mara chache but demand kama zote
Hiyo confidence anaitolea wapi!?
 
Siku ya kwanza unamuomba mtoke chakula cha jioni ili kufahamiana (dinner date), anakuomba nauli na hela ya kusuka, mara hana viatu, nusu saa kabla amekuomba umnunulie salio. Achana na hayo matatizo ndugu unakaribisha umaskini. Maskini huwa hawana aibu rafiki yangu, muache atafute kwanza shughuli ya kufanya ndiyo aingie kwenye mahusiano. Atafute kazi ya kuingiza kipato kwanza.
View attachment 3176796

Maskini wengi hawajui kupenda, hisia zao zinaongozwa na njaa, tena njaa kali sana, njaa yake ikiisha ndiyo anagundua kuwa hajawahi kukupenda hata kidogo. Achana na matatizo hayo. Kimbia janga hilo. Tafuta mtu mwenye akili timamu, na sio mtoto ambaye anatembea kwa kunusa pesa za watu bila jitihada.
Kuna mmoja nilimtumia nauli 10k kutoka moshi kunifuata arusha akasema hela gani hiyo hata maji sinunui kuja geto napiga hana maajabu.
 
Back
Top Bottom