Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungemvua nguo zakoUmemaliza mkuu, mi ndo formula yangu, mwanamke akianza habari za nauli story zinaishia hapo!
Kuna mmoja aliomba mpaka hela ya kushona nguo ili tutoke, na siku yenyewe ya kutoka eti anakuja na rafiki yake!
Hii ndio kazi yangu. Hapa nime enjoy sana kabla sijalala nimemfundisha kijana mmoja bahili.Kama kawaida umepata sehemu ya kukosoa 😃 hongera sana 😃
Afterall this game is all about money these daysSiku ya kwanza unamuomba mtoke chakula cha jioni ili kufahamiana (dinner date), anakuomba nauli na hela ya kusuka, mara hana viatu, nusu saa kabla amekuomba umnunulie salio. Achana na hayo matatizo ndugu unakaribisha umaskini. Maskini huwa hawana aibu rafiki yangu, muache atafute kwanza shughuli ya kufanya ndiyo aingie kwenye mahusiano. Atafute kazi ya kuingiza kipato kwanza.
View attachment 3176796
Maskini wengi hawajui kupenda, hisia zao zinaongozwa na njaa, tena njaa kali sana, njaa yake ikiisha ndiyo anagundua kuwa hajawahi kukupenda hata kidogo. Achana na matatizo hayo. Kimbia janga hilo. Tafuta mtu mwenye akili timamu, na sio mtoto ambaye anatembea kwa kunusa pesa za watu bila jitihada.
Karibu tenaAkili finyu wewe mbona ndo wa kwanza kumuomba mtoko? Yeye akiomba maskini wewe ukiomba una akili we ndo maskini, mwanamke kama mwanaume hawezi kukuhudimia mkimbie,, hayo mambo kama huyawezi waachie wenyewe katafte pesa, umtie shombo sabuni manukato anunue mwenyewe, tafuta watoto wenzako mkacheze
Ungemvua nguo zako
Wanawake zindukeni mnabembeleza nini kwa wanaume? Mtu akutoe huko mpaka kule nauli Yako chakula juu Yako, utajuaje kama ni mwanaume na si kiben ten? Mtu amekithamini kitu akigharamikie, mkitulia watakuja tu acheni papara.mkuu umemaliza hakika hii ni miongoni mwa thread bora ya mwaka
Unamuona yaani amekaa hawazi.namna ya kujipatia mahitaji anategemea ku exchange mbunye na mahitaji yake,Acha kutetea ombaomba. Ni aibu mtu mwenye mikono miwili, miguu miwili na akili timamu kuwa ombaomba kwa kigezo cha kuumbwa na utelezi.
Ushauri Murua kabisa...Madogo siku hizi ni Kama Manyumbu.Siku ya kwanza unamuomba mtoke chakula cha jioni ili kufahamiana (dinner date), anakuomba nauli na hela ya kusuka, mara hana viatu, nusu saa kabla amekuomba umnunulie salio. Achana na hayo matatizo ndugu unakaribisha umaskini. Maskini huwa hawana aibu rafiki yangu, muache atafute kwanza shughuli ya kufanya ndiyo aingie kwenye mahusiano. Atafute kazi ya kuingiza kipato kwanza.
View attachment 3176796
Maskini wengi hawajui kupenda, hisia zao zinaongozwa na njaa, tena njaa kali sana, njaa yake ikiisha ndiyo anagundua kuwa hajawahi kukupenda hata kidogo. Achana na matatizo hayo. Kimbia janga hilo. Tafuta mtu mwenye akili timamu, na sio mtoto ambaye anatembea kwa kunusa pesa za watu bila jitihada.
Mbona unayakimbia majukumu kakaSiku ya kwanza unamuomba mtoke chakula cha jioni ili kufahamiana (dinner date), anakuomba nauli na hela ya kusuka, mara hana viatu, nusu saa kabla amekuomba umnunulie salio. Achana na hayo matatizo ndugu unakaribisha umaskini. Maskini huwa hawana aibu rafiki yangu, muache atafute kwanza shughuli ya kufanya ndiyo aingie kwenye mahusiano. Atafute kazi ya kuingiza kipato kwanza.
View attachment 3176796
Maskini wengi hawajui kupenda, hisia zao zinaongozwa na njaa, tena njaa kali sana, njaa yake ikiisha ndiyo anagundua kuwa hajawahi kukupenda hata kidogo. Achana na matatizo hayo. Kimbia janga hilo. Tafuta mtu mwenye akili timamu, na sio mtoto ambaye anatembea kwa kunusa pesa za watu bila jitihada.
Sio kwamba mtalala njaa wajameni?Wanawake zindukeni mnabembeleza nini kwa wanaume? Mtu akutoe huko mpaka kule nauli Yako chakula juu Yako, utajuaje kama ni mwanaume na si kiben ten? Mtu amekithamini kitu akigharamikie, mkitulia watakuja tu acheni papara.
Unatka aombe wapiYaan mm kumwambia Leo tuonane ndo aanze kaniletea shda zote kuanzia viatu,nguo ,Kodi ya nyuma,luku imeisha Cha kufia nn??
Kuna kuhudumia kwa Mpenzi lakini kuna wizi we Aunt.Akili finyu wewe mbona ndo wa kwanza kumuomba mtoko? Yeye akiomba maskini wewe ukiomba una akili we ndo maskini, mwanamke kama mwanaume hawezi kukuhudimia mkimbie,, hayo mambo kama huyawezi waachie wenyewe katafte pesa, umtie shombo sabuni manukato anunue mwenyewe, tafuta watoto wenzako mkacheze