Maskini hana aibu, kimbia ukiona hivi

Maskini hana aibu, kimbia ukiona hivi

Akili finyu wewe mbona ndo wa kwanza kumuomba mtoko? Yeye akiomba maskini wewe ukiomba una akili we ndo maskini, mwanamke kama mwanaume hawezi kukuhudimia mkimbie,, hayo mambo kama huyawezi waachie wenyewe katafte pesa, umtie shombo sabuni manukato anunue mwenyewe, tafuta watoto wenzako mkacheze
Mkuu Jaboja mbona umekasirika hivyo?

Nachojua mimi haya mambo hayana mwenyewe tunaelekezana tu humu punguza jazba.
 
Mwanaume yeyote anayeendeshwa na K uzee wake huwa unamjia vibaya sana.

K zinakula wallet si mchezo. Harafu wakati unagawa na kuwafumua hua huoni kama you are loosing. Umri ukishasonga ndio unagundua ulifanya ujinga.
Verry sure blood kama mimi nimefocus na K ndani ya wiki mbili nimeshapoteza kama 400k aisee imenibidi wanawake wote nipige chini nikae nijitafakari upya
 
Verry sure blood kama mimi nimefocus na K ndani ya wiki mbili nimeshapoteza kama 400k aisee imenibidi wanawake wote nipige chini nikae nijitafakari upya
K hata kama ukapiga kumi kwa siku ukiamka kesho yake una hesabu hasara tu. Hakunaga faida.

Wazee wengi wako Broke na wa aanza kulalama kutaka kulaani watoto wakati walitumia ujana wao vibaya.
 
Maisha magumu sana mtaani jomba. Kodi, umeme, chakula, mavazi, maji, usafiri.

Yaani K zinapigwa mpaka zinataka kuchanika sasa.
Ikija kufika year 2030 vitoto vingi vya 2000s
FB_IMG_1720796731099.jpg
 
Akili finyu wewe mbona ndo wa kwanza kumuomba mtoko? Yeye akiomba maskini wewe ukiomba una akili we ndo maskini, mwanamke kama mwanaume hawezi kukuhudimia mkimbie,, hayo mambo kama huyawezi waachie wenyewe katafte pesa, umtie shombo sabuni manukato anunue mwenyewe, tafuta watoto wenzako mkacheze
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Verry sure blood kama mimi nimefocus na K ndani ya wiki mbili nimeshapoteza kama 400k aisee imenibidi wanawake wote nipige chini nikae nijitafakari upya
Mshahara wa mtu miezi miwili huo,aisee wewe unapaswa ujitathmini.

Tanzania hii hakuna mwanamke wa kula laki nne ndani ya week mbili labda mama mzazi,au mzee ulichangia kodi nini?ukajua utapunguza gharama za lodge,ngoja siku uende umkute mwenzako kajifunga taulo sijui utapigana maana hata kwao sidhani kama wanakujua.
 
Fact -barikiwa Sana Mafundisho yako yanatujenga sana na kutupa ukumbusho imara kuhusu kesho yetu

Hakika (Bush Dokta) wewe ni Hazina Kwa Taifa.
Ndio Braza utu uzima dawa. Nimejifunza by experience.

Kwenye haya maisha hakuna kijana ambaye Mungu hamjalii neema ya kipato. Hata kama ni kijijini huko ndani ndani.

Ktk ujana kila mtu anapata fursa ispokuwa zinatumika kwa mambo matatu au zaidi hasa
1. Ulevi
2. Anasa za zinaa/wanawake
3. Uvivu.

Asikwambie mtu akakudanganya kwamba enzi zao hali ilikuwa mbaya sio kweli
 
Siku ya kwanza unamuomba mtoke chakula cha jioni ili kufahamiana (dinner date), anakuomba nauli na hela ya kusuka, mara hana viatu, nusu saa kabla amekuomba umnunulie salio. Achana na hayo matatizo ndugu unakaribisha umaskini. Maskini huwa hawana aibu rafiki yangu, muache atafute kwanza shughuli ya kufanya ndiyo aingie kwenye mahusiano. Atafute kazi ya kuingiza kipato kwanza.
View attachment 3176796

Maskini wengi hawajui kupenda, hisia zao zinaongozwa na njaa, tena njaa kali sana, njaa yake ikiisha ndiyo anagundua kuwa hajawahi kukupenda hata kidogo. Achana na matatizo hayo. Kimbia janga hilo. Tafuta mtu mwenye akili timamu, na sio mtoto ambaye anatembea kwa kunusa pesa za watu bila jitihada.
Huu Uzi bhn kila siku tunakutana na matukio
 
Mshahara wa mtu miezi miwili huo,aisee wewe unapaswa ujitathmini.

Tanzania hii hakuna mwanamke wa kula laki nne ndani ya week mbili labda mama mzazi,au mzee ulichangia kodi nini?ukajua utapunguza gharama za lodge.
Hiyo Pesa angemtumia Mama yake angebarikiwa sana. Ila haitapita miezi sita huyo demu anamtema bila kujali gharama alizompotezea
 
Hiyo Pesa angemtumia Mama yake angebarikiwa sana. Ila haitapita miezi sita huyo demu anamtema bila kujali gharama alizompotezea
Hakika,bahati mbaya vijana wengi hawalitambui hili.

Na wanaofuja hizo hela kwa wanawake unadhani wana vipato vya maana basi,ni hawa hawa papatu papatu jua kali mvua yao mwisho wanakabidhi kwa viumbe visivyokuwa na shukrani.
 
Ushauri Murua kabisa...Madogo siku hizi ni Kama Manyumbu.
Mtu unaona apa Naibiwa ila umo tu.
Acheni kuomba mitoko nyinyi kwanza muone kama Kuna mtu anakuomba, ombaomba nyie mnaoanza kuomba mitoko, mwambie shida Yako hapo mnapokutana mpaka mkafahamiana acheni kurudisha wanawake nyuma na bajet za mitoko yenu, subir akiomba yeye mtoko atagharamikia
 
Back
Top Bottom