Sina hasira nimesema nyinyi na wao nani anaanza kuomba? Wewe unaomba unaona Sahihi Sasa unampangia Cha kuomba we mtoko kakupangia nani kuomba? Shida yenu hamtaki ukweliJaboja anapambania Ajira yake yupo sahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina hasira nimesema nyinyi na wao nani anaanza kuomba? Wewe unaomba unaona Sahihi Sasa unampangia Cha kuomba we mtoko kakupangia nani kuomba? Shida yenu hamtaki ukweliJaboja anapambania Ajira yake yupo sahihi
Kusema ukweli ndo jazba, siku zote ukinyoosha maelezo watu hawataki, ndo utasikia punguza jazba, ila Uzi hawasemi una jazba ajabuMkuu Jaboja mbona umekasirika hivyo?
Nachojua mimi haya mambo hayana mwenyewe tunaelekezana tu humu punguza jazba.
Ili iwejeWw una offer nn?
ungechukua rafiki yake! Fisi kakuletea nyama!Umemaliza mkuu, mi ndo formula yangu, mwanamke akianza habari za nauli story zinaishia hapo!
Kuna mmoja aliomba mpaka hela ya kushona nguo ili tutoke, na siku yenyewe ya kutoka eti anakuja na rafiki yake!
Kwa hiyo hiyo hasara apate nani?Tatizo unakuta hiyo 'k' imeishagongwa kilometer beyond repair! Kwahiyo unakuwa umepigwa mara mbili yaani gharama na poor quality. Bora uonje ndo ulipie ubora wa bidhaa!
Mada ni pesa ya mtoko, pili amekuomba kama huna si useme huna tatizo lipo wapi?Kuna kuhudumia kwa Mpenzi lakini kuna wizi we Aunt.
Mmejuana wiki moja tayari Ushaomba Kodi, Wigi, Vocha zaidi ya mara 5, Mama anaumwa.
Huo si utapeli midemu ya ivi Wanaume tuikimbie
Ndo maana ukitaka kuoa uchague, ukitaka kuolewa uchague, kwa hiyo wote mko kwenye mizani, ukipimwa wewe kelele, huwezi kugharamia mtoko familia utaiweza?Broke women ni wa kuwakwepa sana, wana mentality ya kijinga sana + Roho mbaya & ubinafsi
Kwa maskini umefata nini tajiri wewe? Fata matajiri wenzako acha kuwafanya ngazi wadada wa watu hana shida na mtoko wako, auze uji wake kifaida chake kiishie kwenye mtoko wako?.Mbona unayakimbia majukumu kaka
Ulitegemea maajabu gani mkuu?Kuna mmoja nilimtumia nauli 10k kutoka moshi kunifuata arusha akasema hela gani hiyo hata maji sinunui kuja geto napiga hana maajabu.
Kwahiyo unataka aje Kwa kujigharamikia mwenyewe?Kuna mwingine nilimfanyia unyama hatakaa asahau nilimtumia 35k halafu akasema hela gani hiyo nikilipa nauli nabakiwa na 10k hadi dk haikuisha nimerudisha muamala shwaaaaaah. Mara akaanza kulalamika tena oooh ulikuwa unanijaribu tu huna nia na mimi.
Ukweli ni kwamba mwanamke anayetanguliza pesa na mahitaji yake binafisi huyo ni MALAYA. Hujawahi mkuta bikira gharama zooote hizo za nini na ukae ukijua kama ulikuta sheby kapita jua wanakula msululu na wewe upo kwenye foleni ya wateja wake.
Sahihi kabisa na hawajawahi wapeleka dada zao na shangazi zao dinner matajiri Hawa.Kwani si huwa mnawatafuta wenyewe? Au hutuma maombi? Msichana yupo katulia lakini unaenda mchokonoa mwenyewe Kisha unarudi kulalamika, hiyo dinner mpeleke dada yako au shangazi yako.
Ndiyo wale wakumwambia mkewe mama chanja fanya fanya hapo kachume hata matembele Kwa jirani, maji yenyewe wanayomwagia sasa 😀😀😀Ndo maana ukitaka kuoa uchague, ukitaka kuolewa uchague, kwa hiyo wote mko kwenye mizani, ukipimwa wewe kelele, huwezi kugharamia mtoko familia utaiweza?
Ulitegemea maajabu gani mkuu?
Sahihi kabisaNdiyo wale wakumwambia mkewe mama chanja fanya fanya hapo kachume hata matembele Kwa jirani, maji yenyewe wanayomwagia sasa 😀😀😀
Kazi kuwasema sema watoto wa watu, dada zao hapana huku wamejaza magaga miguuni, halafu wale wanaosemaga vibaya wanawake au wasichana dada zao huwa wahovyo hovyo kweli.Sahihi kabisa na hawajawahi wapeleka dada zao na shangazi zao dinner matajiri Hawa.
Umeelewa nilicho andika mkuu? nilimtumia nauli 35,000 akitoa lazima angebaki na 32000 akasema ni ndgo sana hiyo nauli maana nauli kwenye gari ilikuwa 20,000 boda kwenda stend 2000 ten ya maji akasema ndogo nikarudisha muamala chaaaapKwahiyo unataka aje Kwa kujigharamikia mwenyewe?