Vile hatujuani tu humu mngeona maajabu ya familia zao na dada zao walivyopauka alafu hapa anataka dinner na Hela hana eti mrembo jigharamikie mwenyewe matajiri wa wapi nyinyi? Nyinyi ni njaa Kali, huna kitu mwambie shida Yako hapo hapo acha mbwembwe.Kazi kuwasema sema watoto wa watu, dada zao hapana huku wamejaza magaga miguuni, halafu wale wanaosemaga vibaya wanawake au wasichana dada zao huwa wahovyo hovyo kweli.