Maskini hana aibu, kimbia ukiona hivi

Maskini hana aibu, kimbia ukiona hivi

Siku ya kwanza unamuomba mtoke chakula cha jioni ili kufahamiana (dinner date), anakuomba nauli na hela ya kusuka, mara hana viatu, nusu saa kabla amekuomba umnunulie salio. Achana na hayo matatizo ndugu unakaribisha umaskini. Maskini huwa hawana aibu rafiki yangu, muache atafute kwanza shughuli ya kufanya ndiyo aingie kwenye mahusiano. Atafute kazi ya kuingiza kipato kwanza.
View attachment 3176796

Maskini wengi hawajui kupenda, hisia zao zinaongozwa na njaa, tena njaa kali sana, njaa yake ikiisha ndiyo anagundua kuwa hajawahi kukupenda hata kidogo. Achana na matatizo hayo. Kimbia janga hilo. Tafuta mtu mwenye akili timamu, na sio mtoto ambaye anatembea kwa kunusa pesa za watu bila jitihada.
mungu fundi aisee. tatizo watoto hawa wenye njaanjaa mungu kawabariki uzuri wa asili unakuta mtoto ni kama yule amisa mobeto sasa unachomokaje apo?
 
Back in my days, wkt huo mgeni mgen na mabinti, akanipangia birthday yake, nimnunulie nini na twende wapi, akandaa mkeka wa gharama akanitumia. Kodi, nimfungulie biashara huku aki demand niende kwao
Aisee just imagine mtu hakufahamu, mnakutana mara chache but demand kama zote
Wewe umegeuka Baba yake mzazi?
 
Siku ya kwanza unamuomba mtoke chakula cha jioni ili kufahamiana (dinner date), anakuomba nauli na hela ya kusuka, mara hana viatu, nusu saa kabla amekuomba umnunulie salio. Achana na hayo matatizo ndugu unakaribisha umaskini. Maskini huwa hawana aibu rafiki yangu, muache atafute kwanza shughuli ya kufanya ndiyo aingie kwenye mahusiano. Atafute kazi ya kuingiza kipato kwanza.
View attachment 3176796

Maskini wengi hawajui kupenda, hisia zao zinaongozwa na njaa, tena njaa kali sana, njaa yake ikiisha ndiyo anagundua kuwa hajawahi kukupenda hata kidogo. Achana na matatizo hayo. Kimbia janga hilo. Tafuta mtu mwenye akili timamu, na sio mtoto ambaye anatembea kwa kunusa pesa za watu bila jitihada.
Jiongeze mwanamke anayekupenda nauli anajilipia , ukiona anaomba hela Sana jua hakuthamini hakujali wala hakupendi na usitumie pesa zako ili akupende , zaidi ukiona mwanamke analia matatizo kwako daily mpuuzie huyo ni Malaya anayekulia timing ale vyako atembee mbele hivo kua mbele ya muda
 
Hiyo ni style tu ya kukataliwa.
Hapo unaachia ngazi mwenyewe tena bila kelele😃😃
Huwa mnaamini mwanamke hana viatu nauli hadi umpe??
Mwanamke akikupenda na akikuhitaji hizo kelele zote hakuna
Hamna kitu kama hicho, njaa tu zimewazidi wanawake wa siku hizo.

Ni kweli mwanamke akikupenda hata kwa miguu atakuja.
 
Hiyo ni style tu ya kukataliwa.
Hapo unaachia ngazi mwenyewe tena bila kelele[emoji2][emoji2]
Huwa mnaamini mwanamke hana viatu nauli hadi umpe??
Mwanamke akikupenda na akikuhitaji hizo kelele zote hakuna

Sasa kama lengo ni kumkataa mtu, mbona mkipewa hivyo vitu hamkatai? Kama sio njaa ni nini? Labda tuite ni utapeli!
 
Aisee yan hawa wanawake sio,nowdays wanachoangalia wao ni pesa tu kwenye mahusiano..yeye binafsi hana anachokupa zaid ya tako na K ila yey atataka umnunulie simu,ulipe kodi sijui saloon yan usenge mtupu..hapo bado mkitoka out show nzima usimamie wew kuanzia chakula mpaka vinywaji,na vinywaji vyao ni Savannah,windhoek,disperado,heineken mara Four cousin wkat msela hapo unashushia konyagi ndogo...bado ukienda nae geto kumkaza umpe hela ya nauli...dah huu ni usenge jazband
Utapigwa ufe hawana huruma na wewe
 
Mwanaume mwenye confidence hujibu kwa sentensi moja tu kwenye mazingira kama hayo, "SINA HELA." Hiyo ni hata kama ulitoa wallet mbele yake na aliiona imevimba. Halafu baada ya hapo uamuzi namuachia yeye kuendelea kuwa karibu yako au aende. Simple!
 
Back
Top Bottom