Hayupo na hakuna asiekua na bei,Hakuna Mwanamke asietombeka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayupo na hakuna asiekua na bei,Hakuna Mwanamke asietombeka
Huyo muongo usimzingatie sanaSasa kama lengo ni kumkataa mtu, mbona mkipewa hivyo vitu hamkatai? Kama sio njaa ni nini? Labda tuite ni utapeli!
Huyo muongo usimzingatie sana
Kweli kabisa ni wewe tu una kiasi ganiHayupo na hakuna asiekua na bei,
Jibu sahihi kabisa. Sisi wanaume huwa tunajiona kila tunachofanya kwenye mahusiano tuko sahihi na wanawake wako makosa. Halafu mwanaume wa aina hiyo utasikia anasema..... ''nasafisha rungu tu sina mpango wa kumuoa''.Unamtafuta kwa shida zako, naye anakupokea kwa shida zake.
1 - 1 Full time
Shida unaenda kuzisakanyua wewe mwenyewe; kwa hiyo pambana na hali yako.
Yes ukigundua anataka akutumie mpe ahadi za uongo usitimize hata moja gonga na songa mbele muachie kumbukumbu kua yeye akitumia kwako na sio wewe ulitumika kwake zaidi ya hapo utajutaJibu sahihi kabisa. Sisi wanaume huwa tunajiona kila tunachofanya kwenye mahusiano tuko sahihi na wanawake wako makosa. Halafu mwanaume wa aina hiyo utasikia anasema..... ''nasafisha rungu tu sina mpango wa kumuoa''.
Kwani hadi anakua hawezi kujimudu? Anasehemu ambayo anapenda na ukimpa pesa anampelekea mwana anayempenda langa alisema wewe unauziwa Mimi napewa bure tena kwa kubembelezwaAngekuja mchafu mchafu pia ungelalamika. Kama vipi achana na broke girls tafuta ambao wameshajipata tayari halafu uje hapa kuleta mrejesho
Sasa unanitoa out nywele zangu zipo hovyo nisikwambie? Nikaaibike huko nani kasema?Kwani hadi anakua hawezi kujimudu? Anasehemu ambayo anapenda na ukimpa pesa anampelekea mwana anayempenda langa alisema wewe unauziwa Mimi napewa bure tena kwa kubembelezwa
Na ndiyo hasa hiki ninachosema. Tumeshatengenza visual circle ya hili jambo na kutoka hapo ni ngumu. Mwanamme anadhani anatumika, na bibi naye anadhani anatumika. Sasa malalamiko wanayotoa wanaume kila siku ni ya nini?Yes ukigundua anataka akutumie mpe ahadi za uongo usitimize hata moja gonga na songa mbele muachie kumbukumbu kua yeye akitumia kwako na sio wewe ulitumika kwake zaidi ya hapo utajuta
Hamna kitu kama hicho, njaa tu zimewazidi wanawake wa siku hizo.
Ni kweli mwanamke akikupenda hata kwa miguu atakuja.
Njaa mbaya Kumbuka Damaso!Siku ya kwanza unamuomba mtoke chakula cha jioni ili kufahamiana (dinner date), anakuomba nauli na hela ya kusuka, mara hana viatu, nusu saa kabla amekuomba umnunulie salio. Achana na hayo matatizo ndugu unakaribisha umaskini. Maskini huwa hawana aibu rafiki yangu, muache atafute kwanza shughuli ya kufanya ndiyo aingie kwenye mahusiano. Atafute kazi ya kuingiza kipato kwanza.
View attachment 3176796
Maskini wengi hawajui kupenda, hisia zao zinaongozwa na njaa, tena njaa kali sana, njaa yake ikiisha ndiyo anagundua kuwa hajawahi kukupenda hata kidogo. Achana na matatizo hayo. Kimbia janga hilo. Tafuta mtu mwenye akili timamu, na sio mtoto ambaye anatembea kwa kunusa pesa za watu bila jitihada.
NI nyepesi tu mkuu! Hakutaki hakupendi hutaki basiSasa kama lengo ni kumkataa mtu, mbona mkipewa hivyo vitu hamkatai? Kama sio njaa ni nini? Labda tuite ni utapeli!
Huyo mwanamke alikua hatoki ? Why mapema aingize tamaa hata aibu haoni ni sawa na Una mtu hachangii lolote kwako yeye yupo Tu , hata zawadi hakupi lakini wewe kila Leo unampa zawadi achana nae Hana future huyoNa ndiyo hasa hiki ninachosema. Tumeshatengenza visual circle ya hili jambo na kutoka hapo ni ngumu. Mwanamme anadhani anatumika, na bibi naye anadhani anatumika. Sasa malalamiko wanayotoa wanaume kila siku ni ya nini?
Sio uongo, ni mawazo yangu na vile ninavyoamini mkuuUongo
Yaani uliyeamua kukaa hovyo no Wewe Mimi nifanye nini sasa , njoo vyovyote vile Sawa Tu , kwani wote waliokutoa out maishani mwako uliwaomba hela ukasuke?Sasa unanitoa out nywele zangu zipo hovyo nisikwambie? Nikaaibike huko nani kasema?
Wewe na huyo dada wote ni maskini. Trust ne broSiku ya kwanza unamuomba mtoke chakula cha jioni ili kufahamiana (dinner date), anakuomba nauli na hela ya kusuka, mara hana viatu, nusu saa kabla amekuomba umnunulie salio. Achana na hayo matatizo ndugu unakaribisha umaskini. Maskini huwa hawana aibu rafiki yangu, muache atafute kwanza shughuli ya kufanya ndiyo aingie kwenye mahusiano. Atafute kazi ya kuingiza kipato kwanza.
View attachment 3176796
Maskini wengi hawajui kupenda, hisia zao zinaongozwa na njaa, tena njaa kali sana, njaa yake ikiisha ndiyo anagundua kuwa hajawahi kukupenda hata kidogo. Achana na matatizo hayo. Kimbia janga hilo. Tafuta mtu mwenye akili timamu, na sio mtoto ambaye anatembea kwa kunusa pesa za watu bila jitihada.
Jamaa nawaza kwa kina , tamaa ya ghafla ya huyo mtu wake inaletwa na nini?Wewe na huyo dada wote ni maskini. Trust ne bro