Maskini hana aibu, kimbia ukiona hivi

Maskini hana aibu, kimbia ukiona hivi

Unamtafuta kwa shida zako, naye anakupokea kwa shida zake.

1 - 1 Full time

Shida unaenda kuzisakanyua wewe mwenyewe; kwa hiyo pambana na hali yako.
Jibu sahihi kabisa. Sisi wanaume huwa tunajiona kila tunachofanya kwenye mahusiano tuko sahihi na wanawake wako makosa. Halafu mwanaume wa aina hiyo utasikia anasema..... ''nasafisha rungu tu sina mpango wa kumuoa''.
 
Jibu sahihi kabisa. Sisi wanaume huwa tunajiona kila tunachofanya kwenye mahusiano tuko sahihi na wanawake wako makosa. Halafu mwanaume wa aina hiyo utasikia anasema..... ''nasafisha rungu tu sina mpango wa kumuoa''.
Yes ukigundua anataka akutumie mpe ahadi za uongo usitimize hata moja gonga na songa mbele muachie kumbukumbu kua yeye akitumia kwako na sio wewe ulitumika kwake zaidi ya hapo utajuta
 
Angekuja mchafu mchafu pia ungelalamika. Kama vipi achana na broke girls tafuta ambao wameshajipata tayari halafu uje hapa kuleta mrejesho
Kwani hadi anakua hawezi kujimudu? Anasehemu ambayo anapenda na ukimpa pesa anampelekea mwana anayempenda langa alisema wewe unauziwa Mimi napewa bure tena kwa kubembelezwa
 
Yes ukigundua anataka akutumie mpe ahadi za uongo usitimize hata moja gonga na songa mbele muachie kumbukumbu kua yeye akitumia kwako na sio wewe ulitumika kwake zaidi ya hapo utajuta
Na ndiyo hasa hiki ninachosema. Tumeshatengenza visual circle ya hili jambo na kutoka hapo ni ngumu. Mwanamme anadhani anatumika, na bibi naye anadhani anatumika. Sasa malalamiko wanayotoa wanaume kila siku ni ya nini?
 
Siku ya kwanza unamuomba mtoke chakula cha jioni ili kufahamiana (dinner date), anakuomba nauli na hela ya kusuka, mara hana viatu, nusu saa kabla amekuomba umnunulie salio. Achana na hayo matatizo ndugu unakaribisha umaskini. Maskini huwa hawana aibu rafiki yangu, muache atafute kwanza shughuli ya kufanya ndiyo aingie kwenye mahusiano. Atafute kazi ya kuingiza kipato kwanza.
View attachment 3176796

Maskini wengi hawajui kupenda, hisia zao zinaongozwa na njaa, tena njaa kali sana, njaa yake ikiisha ndiyo anagundua kuwa hajawahi kukupenda hata kidogo. Achana na matatizo hayo. Kimbia janga hilo. Tafuta mtu mwenye akili timamu, na sio mtoto ambaye anatembea kwa kunusa pesa za watu bila jitihada.
Njaa mbaya Kumbuka Damaso!
 
Na ndiyo hasa hiki ninachosema. Tumeshatengenza visual circle ya hili jambo na kutoka hapo ni ngumu. Mwanamme anadhani anatumika, na bibi naye anadhani anatumika. Sasa malalamiko wanayotoa wanaume kila siku ni ya nini?
Huyo mwanamke alikua hatoki ? Why mapema aingize tamaa hata aibu haoni ni sawa na Una mtu hachangii lolote kwako yeye yupo Tu , hata zawadi hakupi lakini wewe kila Leo unampa zawadi achana nae Hana future huyo
 
Siku ya kwanza unamuomba mtoke chakula cha jioni ili kufahamiana (dinner date), anakuomba nauli na hela ya kusuka, mara hana viatu, nusu saa kabla amekuomba umnunulie salio. Achana na hayo matatizo ndugu unakaribisha umaskini. Maskini huwa hawana aibu rafiki yangu, muache atafute kwanza shughuli ya kufanya ndiyo aingie kwenye mahusiano. Atafute kazi ya kuingiza kipato kwanza.
View attachment 3176796

Maskini wengi hawajui kupenda, hisia zao zinaongozwa na njaa, tena njaa kali sana, njaa yake ikiisha ndiyo anagundua kuwa hajawahi kukupenda hata kidogo. Achana na matatizo hayo. Kimbia janga hilo. Tafuta mtu mwenye akili timamu, na sio mtoto ambaye anatembea kwa kunusa pesa za watu bila jitihada.
Wewe na huyo dada wote ni maskini. Trust ne bro
 
Back
Top Bottom