Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo unakuta hiyo 'k' imeishagongwa kilometer beyond repair! Kwahiyo unakuwa umepigwa mara mbili yaani gharama na poor quality. Bora uonje ndo ulipie ubora wa bidhaa!Wanawake zindukeni mnabembeleza nini kwa wanaume? Mtu akutoe huko mpaka kule nauli Yako chakula juu Yako, utajuaje kama ni mwanaume na si kiben ten? Mtu amekithamini kitu akigharamikie, mkitulia watakuja tu acheni papara.
Huu nao ni Ukweli Mchungu sanaMaskini wengi hawajui kupenda, hisia zao zinaongozwa na njaa, tena njaa kali sana, njaa yake ikiisha ndiyo anagundua kuwa hajawahi kukupenda hata kidogo
Obvious akishakuomba hela Mwanzoni tu basi jua ana mtu wake wa uhakika hapo anaongezea kipato tu.Umemaliza mkuu, mi ndo formula yangu, mwanamke akianza habari za nauli story zinaishia hapo!
Kuna mmoja aliomba mpaka hela ya kushona nguo ili tutoke, na siku yenyewe ya kutoka eti anakuja na rafiki yake!
Hii nimeichukua kama ilivyoDon't forget to focus on money, food and hobbies love is a scam
Dah!!! WTF NiggazMaskini mwenyewe alipokuwa mdogo...........View attachment 3176871
Mwanaume yeyote anayeendeshwa na K uzee wake huwa unamjia vibaya sana.Hiki kitu kinakera sana. Au anakuambia anakuja na wenzie. Mimi hiyo sms huwa siijibu kabisa. Napiga bunda asipojiongeza basi. Hizi K zisituendeshe
Uliongeza Nauli?😅😅Kuna mmoja nilimtumia nauli 10k kutoka moshi kunifuata arusha akasema hela gani hiyo hata maji sinunui kuja geto napiga hana maajabu.
It is what it is bruh hahahDah!!! WTF Niggaz
Ww una offer nn?Akili finyu wewe mbona ndo wa kwanza kumuomba mtoko? Yeye akiomba maskini wewe ukiomba una akili we ndo maskini, mwanamke kama mwanaume hawezi kukuhudimia mkimbie,, hayo mambo kama huyawezi waachie wenyewe katafte pesa, umtie shombo sabuni manukato anunue mwenyewe, tafuta watoto wenzako mkacheze
UTI -SUGU na MIKOSIWw una offer nn?
Maisha magumu sana mtaani jomba. Kodi, umeme, chakula, mavazi, maji, usafiri.Kwanini wanawake wengi hutazama kipochi kama source of income!?
Wanazingua hawa watu, ni wabinafsi sana.Yeye anaona kuwa jukumu la survival ya mwanamke ni juu ya mwanaume no matter ni boyfriend au mume!? Labd mshua wake