Hapo ni Tanzania πΉπΏ MkuuKuna Madem Nchi fulani Siitaji Jina hapa hapa Africa Yani Mpaka Unawashangaa Ukiomba Namba tuu Na Ukataka Mkutane Sehem ujue Ndio anaanza na Hiyo Inshu Yani Kwao ndio kama Sifa Yani ni ushamba Balaa Unabaki kuwatazama tuu
Hahha shida hiiBusiness kama Business
Unauza vitu ulivyo pewa kwa ajili yetuKwanini mkuu
Kuna baadhi ya wadada ilibidi tu niwakimbie maana si kwa vizinga vile, cha ajabu Wana kazi, na kwa tabia hizo wanategemea waolewe Hannah Kelsea To yeye DamasoKama mtoto wa kike ana wazazi wake wote wawili na anafanya kazi ambayo analipwa mshahara. Je kuhitaji pesa nyingine kwa multiple men ni ubinafsi, uchoyo au ni kitu gani!? π€
Kwao ni biashara isiyo na leseniKuna Madem Nchi fulani Siitaji Jina hapa hapa Africa Yani Mpaka Unawashangaa Ukiomba Namba tuu Na Ukataka Mkutane Sehem ujue Ndio anaanza na Hiyo Inshu Yani Kwao ndio kama Sifa Yani ni ushamba Balaa Unabaki kuwatazama tuu